Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Membe siyo?Nadhani sasa ni rasmi anaelekea ACT wazalendo!
Membe hawezi toka CCM!Kama Membe siyo?
Nadhani sasa ni rasmi anaelekea ACT wazalendo!
Kumbe ndiyo hivyo mnavuna?? Wewe utavunwa lini?Aachie vijana sasa,ameshavuna vya kutosha
Even if it were me, I would take that course to avoid shame as it is clearly known that Jiwe will not accept his nomination even if the opinion polls will favour him!
Hhahhahaha apale ndio nilizidi kucheka, CCM haya mambo wameyazoea sana, Mbunge akapata kura zote na Raisi akapata mara mbili? DuhMpwa kulikuwa na dafatari mbili za waliojindikisha kupiga kura ya mbunge na lingine lla raisi.
Hahaha..si aliomba msamaha mkuu? agombee aone huo msamaha kama alimuomba JPM au aliomba chama.Anajua hatapitishwa
ana 43 unasemaje aachie vijana
Duuuh....![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...! Kura zinazidi wapiga kura? Hii ni Tanzania peke yake inawezekana kutokeaChakaza unajua jamaa bado nafsi inamsuta sana, Bumbuli ndio ambako kura za Urais zilikua nyingi zaidi ya Wapiga kura wenyewe
Aiseee !!Hapana, ana zaidi ya 45, japo sio mzee. Yeye ni baadhi ya watu walioendekeza siasa za hujuma, sasa zimemrudia anazikimbia. Kwa ujumla Januari hawezi siasa zisizo na mbeleko, na safari hii mbeleko imekatika.
Huko hawezi kwenda. Moyoni mwake anautaka sana urais. Kama kweli hatagombea,anataka kutengeneza bomu kwa ajili ya 2025. Afe beki,afe kipa haka kajamaa kanauwinda sana urais. Usije ukashangaa 2020 anataka kupingana na mwingineNadhani sasa ni rasmi anaelekea ACT wazalendo!
Sasa mbona kichwa chako cha habari kipo tofauti?Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020.
Makamba ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema atafanya uamuzi Desemba mwaka huu atakapokuwa mapumzikoni.
“Sina uhakika juu ya hili, sina hakika kama nitahitaji tena kugombea ubunge mwakani. Nitafanya maamuzi sahihi nikiwa mapumzikoni Desemba mwaka huu,” ameandika Makamba.
Makamba amewahi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Muungano, kabla Rais Dk. John Magufuli hajatengua uteuzi huo mapema mwaka huu!
Pia amewahi kugombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, lakini alibwagwa kwenye kura za maoni ambapo chama chake kilimteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.
Chanzo: Mtanzania