Pre GE2025 January Makamba ili ndoto yako itimie ni lazima uwaombe radhi watanzania

Pre GE2025 January Makamba ili ndoto yako itimie ni lazima uwaombe radhi watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wee unajuaje km riz1 sio mwizi?
Mh. Riziwani siyo mwizi na mtu safi kabisa. Sema tu uwezo wa kujenga hoja ndiyo hana kabisa yaani ni tofauti na Baba yake. Yaani hana uwezo wa kujua mazingira na chakuongea kulingana na mazingira, anahitaji kujifunza sana ili awe mwanasiasa mzuri. Achana na akija January ambao ni wezi, Dkt JK kalea familia yake ktk misingi ya uadilifu! Dkt JK ni mzalendo sana wa nchi hii.
 
Sawa
Mh. Riziwani siyo mwizi na mtu safi kabisa. Sema tu uwezo wa kujenga hoja ndiyo hana kabisa yaani ni tofauti na Baba yake. Yaani hana uwezo wa kujua mazingira na chakuongea kulingana na mazingira, anahitaji kujifunza sana ili awe mwanasiasa mzuri. Achana na akija January ambao ni wezi, Dkt JK kalea familia yake ktk misingi ya uadilifu! Dkt JK ni mzalendo sana wa nchi hii.
 
Kama huyo jamaa anataka kuwa rais
kwanini mimi nisiwe rais!
 
Back
Top Bottom