Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Mwaka huu hizo chanjo mtachomana na mama zenu.Hizo chanjo wanazochomwa watoto wenu huko clinic mmetengeneza nyie hoja hapa gomeeni na hizo, tena hizo za watoto ndio nzuri mataupata ushoga utotoni
si muanze kwanza kuchanjwa wabunge.nyie ndo mnaoguza swala hili kuwa la kisiasa.kwann mlazimishe watu kuchanja si mtuache tu kila mtu afanye maamuzi yake lkn isiwe shuluti.mnawahi kwa wanajeshi,wazee,watumishi wa afya lkn nyie wenyewe mmebunda pembeni ni unafiki uliopiliza.marekani kwenyewe bado wanazipinga hizo chanzo lkn nyie wanasiasa mmebeba mazima mazima kwa nn kwenye pazia kuhusu hii chanjo?Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944
Halafu nashangaa kwanini hilo la serikali kujitenga kwa madhara yeyote yatakayompata mtu baada ya kuchanjwa halijadiliwi ila watu wameshikilia suala la Gwajima anapotosha.Kama chanjo zingekuwa salama, serikali isingejitenga na madhara yanayoweza kujitokeza. Hii chanjo ni ya Vodafasta. Bado upo kwenye utafiti na ndiyo maana inabidi utoe ridhaa ya kufanyiwa utafiti.
Kama mmekula dola za wazungu nendeni mkachome hizo sindano msilazimishe wengineNdugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944
sisi ndio taifa teure hatutaki chanjo za mrna technologies zinazoleta ushoga kwa kubadirisha vinasaba tunatumia hiari kukataa chanjo za kitaperiKumbe ndio walewakle wapumbavu. Gomeni kupeleka watoto wenu clinik kwenye chanjo, utakuta jitu lina ukimwi linatumia ARV bado linajifanya kuponda chanjo?
Huko hospitalini mnafuata nini una dhani kuna dawa iliyotengenezwa na Mwafrica huko? Mbona hiyo midawa mnakunywa tu hamgomi si muanzishe kampeni mgomee, muendelee kujifunga hirizi na kutegeme ramli
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944
Mzee Makamba alibomoa nyumba ya mganga wa kienyeji pale jangwani kilichompata.....!Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944
Wanaokufa nikua wamechanja?Nenda kachanje ufe ukiwa sio binadamu gwajima katoa pigo moja tu vibalaka mnaanza kujitokeza shimoni acha inyeshe tujue panapovuj
Gwajima tupia tena bomu hao mabroker au middle men wameanza kutetemeka acha wafie mbali hao madalaliNdugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944
Gwajima tupia tena bomu hao mabroker au middle men wameanza kutetemeka acha wafie mbali hao madalali
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944
wanaccm hawafiGawaji atakufa
Jibuni hoja zake kwa hoja sio kukimbilia akamatwe. Yuko sahihi na raia tunamuunga mkono...Tuwe wakweli kwenye hili. Polisi au chombo cha dola chenye mamlaka kilipaswa IMMEDIATELY kumkamata na kumhoji huyu FAKE PASTOR Gwajima. Ametoa tuhuma nzito kuhusu watu walioruhusu chanjo ziingie Tanzania kuwa wanahongwa au na Bill Gates au na wazakishaji wa chanjo wa Marekani.
Kwa uelewa wangu aliyeruhusu chanjo zije ni Rais Samia baada ya kushauriwa na timu yake ya wataalamu. Kwa hiyo tuhuma ya Gwajima inamlenga Rais SSH moja kwa moja.
TISS na POLISI kamata huyu Fake Pastor Gwajima
Nyie endeleeni kudanganyana wenzenu wanachanjwa .... Siku ikiita kama ilivofanya India ndiyo akili itakuja.Kama chanjo zingekuwa salama, serikali isingejitenga na madhara yanayoweza kujitokeza. Hii chanjo ni ya Vodafasta. Bado upo kwenye utafiti na ndiyo maana inabidi utoe ridhaa ya kufanyiwa utafiti.