#COVID19 January Makamba: Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali haikubaliki

#COVID19 January Makamba: Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali haikubaliki

USA wengi wanagoma kuchanjwa hizo ndizo habari lakini Watanzania wengi hawalifahamu hilo. Chanjo iwe ni hiari ya mtu kwa sababu chanjo zenyewe hazijathibitishwa kwamba ni bora na salama. Unachanjwa at your own risk.
USA ya Pale Arumeru Arusha au??? kama kitu hujui si muwe mnanyamaza tu kuliko kuja kujiaibisha humu😂😂😂
 
Swali kwanini iwe hiari kama inafaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtego mdogo
 
Siku ukiganda damu ndipo utakufa huku ukimtazama Gwajima anakucheka.
Gwajima mimi kauli yake naitafsiri kama ifuatavyo; yatupasa nasi tuzichunguze chanjo kabla ya kumchoma mtu sindano pia mtu naye achunguzwe kabla ya chanjo kuhusu mfumo damu na wa chembe chembe zake..
 
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.

Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba

View attachment 1868944
Ndugu yangu sasa unamuona Makamba ndio wa maana kwa kutuletea utopolo wake hapa, kwani yeye anavyompinga Gwajima ndio nani? kwanini mapovu mengi kwa Gwaji boy, hawa mbona hawakusema huko nyuma au ndio wa kujipendekeza,Gwaji hapotoshi bali anatoa elimu kama wengine wanaotaka watu wachanjwe nao wanavyotoa elimu yao, tusitishane bana.
 
Nyie endeleeni kudanganyana wenzenu wanachanjwa .... Siku ikiita kama ilivofanya India ndiyo akili itakuja.

Namibia nao walikuwa wabishi mpaka ilipohit ..... Rais na mkewe wakaumwa, Baba wa Taifa (Nujoma) akaumwa, Mawaziri na watu maarufu wakaondoka ... Watu wakafunguka macho!!

Huu ugonjwa kama haujaingia kwenye inner circle zako unaweza ukaupuuza but it's real.
Usitake kututisha na stori zako za Sam Nujoma kaugua Covid

Walishasema Tanzania tutadondoka kama kuku

Mpaka leo tunasubiri kudondoka kama kuku

Huyo Covid anachukua muda gani kufika Tanzania ???

Mzungu aki survive kwa chanjo si lazima na huku Afrika tuhitaji chanjo, kwa nini mmekuwa matopolo wa kusujudia kila cha Ulaya ?!?
 
Eti wazungu wanaionea wivu Tanzania!

Dah kuna baadhi ya wabongo wapumbavu sana. Hao wazungu hata kuchamba tu wamekufundisha wao wangetaka kukuua si wangetumia hata hizo pedi na madawa mengine ya misaada wanayotupa?
Haya paka mvilainishi mungu wako mzungu anataka mzigo
 
Makamba yuko sahihi, huyu Gwajima ni mpotoshaji na hana uelewa wa mambo ila analazimisha maadam tu ana platform ya kuongelea apuuzwe, akemewe kama alivyofanya JM. Ila najua wachache watamkemea maana wanaogopa reaction yake.
Mtalia sana chanjo zinakwenda ku expire hakuna mtz mwenye akili timamu atakaye poteza muda wake kuchanja bila ya sababu za msingi mm nasema watakao chanja tz hawawezi kuzidi 120000 tu
 
We
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.

Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba

View attachment 1868944
wewe Makamba, huna ubavu wa kuongelea hili kwasababu hakuna unachojua. Unachokifahamu wewe ni siasa za ku distabilize underground. Unachokifanya hapa ni uanfiki. kila mtu anahaki ya kulilnda afya yake na kuwatahadharisha watu. Kama serikali inahakika na hii chanjo, kwa nini wanawasaiisha watu form ya kuwataka wabebe zigo lao kwamba yatakayowakuta baada ya kuchanjwa wasiihusishe wala kuilaum serikali?
 
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.

Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba

View attachment 1868944
Kwa hiyo issue ya mwenyekiti wa Maisha wa saccos ndiyo imeisha hivyo?
 
Wanaoitetea chanjo ni walewale wafuasi wa nyungu ama?? Amakweli dunia ina vihoja
 
Usitake kututisha na stori zako za Sam Nujoma kaugua Covid

Walishasema Tanzania tutadondoka kama kuku

Mpaka leo tunasubiri kudondoka kama kuku

Huyo Covid anachukua muda gani kufika Tanzania ???

Mzungu aki survive kwa chanjo si lazima na huku Afrika tuhitaji chanjo, kwa nini mmekuwa matopolo wa kusujudia kila cha Ulaya ?!?
Ok, Subiri mpaka iingie kwenye inner circle yako ndiyo utajua what are we talking about .....!!
 
Kama chanjo zingekuwa salama, serikali isingejitenga na madhara yanayoweza kujitokeza. Hii chanjo ni ya Vodafasta. Bado upo kwenye utafiti na ndiyo maana inabidi utoe ridhaa ya kufanyiwa utafiti.
Hata corona nayo inafanyiwa utafiti, lakini inakula vichwa sana! Dawa zote ni sumu, kutokana na matumizi! Mliambiwa mjifukize, sijui mle malimao na tangawizi, utafiti, hata wa hiyo Vodafasta, ulifanyika?!
 
Back
Top Bottom