Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Yeah! Malimao na tangawizi yana virutubisho vinavyosaidia sana metabolism ya mwili na kuimarisha mfumo wa kinga wa mwili. Ilishathibitishwa zamani sana.Hata corona nayo inafanyiwa utafiti, lakini inakula vichwa sana! Dawa zote ni sumu, kutokana na matumizi! Mliambiwa mjifukize, sijui mle malimao na tangawizi, utafiti, hata wa hiyo Vodafasta, ulifanyika?!