Wakampa na Ubunge.Serikali ilikuwa wapi wakati 'anafufua watu'?
Walikuwa wapi wakati anavamia
Viwanja vya Tanganyika packers na kugeuza kanisa?
Walikuwa wapi wakati anaahidi kuwapeleka Marekani wapiga kura wa Kawe?
Walikuwa wapi wakati anatoa kauli za ajabu nyingi kuliko hii ya sasa?
Wanafuga nyoka Hadi aanze kuwang'ata na wao ndo waone hatari?
Raia wasio na elimu ndiyo mnamuunga mkono.Jibuni hoja zake kwa hoja sio kukimbilia akamatwe. Yuko sahihi na raia tunamuunga mkono...
Kwa hiyo tz ndio majaribio....Kama chanjo zingekuwa salama, serikali isingejitenga na madhara yanayoweza kujitokeza. Hii chanjo ni ya Vodafasta. Bado upo kwenye utafiti na ndiyo maana inabidi utoe ridhaa ya kufanyiwa utafiti.
ndgu, nawe umepigwa upofu wa fikra kiasi hicho? kwanini chanjo hii inaambatana na ujazwaji wa fomu kuwa endapo madhara yakitokea serikali isilaumiwe?Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya Mmarekani? kama hoja ni chanjo ya mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.
Chanjo za watoto chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure ,kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua watatumia hata hizo za watoto za surua,ndu,kifua kikuu,tetekuwanga,polio ,pepopunda(tetenus) za wajawazito.Hakuna dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica,zote zinatoka kwa hao hao.
Dawa za Ukimwi,kifua kikuu, Presha ,kisukali,madawa ya operation,Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe, hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini,vinginevyo kama nia ni kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.
Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.
Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge. Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini.
Ni wendawazimu kudhani nchi ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania.
Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni mpinga kristo , kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui mara bado ipo kwenye majaribio,mara zimetengenezwa kwa muda mfupi,anajaribu kulinganisha chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia
Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania? Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao?
Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
Si chanjo ni hiari? Sasa kelele za nini? Kama Dk. Gwajima kasema hazifai, achaneni nae. Nyie mumkomoe kwa kwenda "kula" chanjo. Au demokrasia mnayoipigania hamuielewi? Kwani Wazungu wore wanaunga mkono chanjo?Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya Mmarekani? kama hoja ni chanjo ya mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.
Chanjo za watoto chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure ,kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua watatumia hata hizo za watoto za surua,ndu,kifua kikuu,tetekuwanga,polio ,pepopunda(tetenus) za wajawazito.Hakuna dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica,zote zinatoka kwa hao hao.
Dawa za Ukimwi,kifua kikuu, Presha ,kisukali,madawa ya operation,Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe, hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini,vinginevyo kama nia ni kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.
Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.
Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge. Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini.
Ni wendawazimu kudhani nchi ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania.
Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni mpinga kristo , kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui mara bado ipo kwenye majaribio,mara zimetengenezwa kwa muda mfupi,anajaribu kulinganisha chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia
Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania? Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao?
Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
Kwenye hili mm naungana na hayati Jpm....Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya Mmarekani? kama hoja ni chanjo ya mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.
Chanjo za watoto chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure ,kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua watatumia hata hizo za watoto za surua,ndu,kifua kikuu,tetekuwanga,polio ,pepopunda(tetenus) za wajawazito.Hakuna dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica,zote zinatoka kwa hao hao.
Dawa za Ukimwi,kifua kikuu, Presha ,kisukali,madawa ya operation,Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe, hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini,vinginevyo kama nia ni kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.
Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.
Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge. Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini.
Ni wendawazimu kudhani nchi ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania.
Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni mpinga kristo , kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui mara bado ipo kwenye majaribio,mara zimetengenezwa kwa muda mfupi,anajaribu kulinganisha chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia
Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania? Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao?
Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
Makamba yuko sahihi, huyu Gwajima ni mpotoshaji na hana uelewa wa mambo ila analazimisha maadam tu ana platform ya kuongelea apuuzwe, akemewe kama alivyofanya JM. Ila najua wachache watamkemea maana wanaogopa reaction yake.
Vijana wa gaidi mnaupiga mwingi Sana.Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944
Kama umeishia La Saba huwezi kujua. Laumu wazazi waoMaster ndo nini?
Andika kwa herufi kubwa ionekane hii.Tuwe wakweli kwenye hili. Polisi au chombo cha dola chenye mamlaka kilipaswa IMMEDIATELY kumkamata na kumhoji huyu FAKE PASTOR Gwajima. Ametoa tuhuma nzito kuhusu watu walioruhusu chanjo ziingie Tanzania kuwa wanahongwa au na Bill Gates au na wazakishaji wa chanjo wa Marekani.
Kwa uelewa wangu aliyeruhusu chanjo zije ni Rais Samia baada ya kushauriwa na timu yake ya wataalamu. Kwa hiyo tuhuma ya Gwajima inamlenga Rais SSH moja kwa moja.
TISS na POLISI kamata huyu Fake Pastor Gwajima
Very sureSerikali irekebishe consent form kama haidhuru ili kuondoa hii taharuki
Nchi nzima hakuna mtaalamu wa kutengeneza simu sembuse virological analysis bro acha utaniNilivyo muelewa gwaji boy anataka wanao pigia debe chanjo waje na scientific analysis ya kilichomo kwenye chanjo (analysis waliofanya wenyewe, na sio uliyoandikwa kwenye kasha).
Kutokua mwanasayansi haimaanishi hana mamlaka ya kuhoji na kujiridhisha na dawa anayotakiwa kuitumia. Alicho andika makamba hakiwezi mridhisha kulingana na matakwa ya hiyo hoja yake.
Gwajima ajibiwe na wataalam walioichunguza chanjo kisayansi.
Kwaio chanjo ya Uingereza nayo yamajaribioKwenye hili mm naungana na hayati Jpm....
Tunapinga KUA sehemu ya majaribio ya hizo chanjo.....
Waziri wa afya uingereza pamojaa na chanjo still alipatwa na covid 19......
Study zinasema chanjo hazina ufanisi wa 100%
Mm na ungana na Gwajima kukataa KUA sehemu ya majaribio...
Askofu Gwajima ANATIA AIBU....Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.
Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba
View attachment 1868944