Duh, Safari bado ndefu Watanzania:
Tuanzie hapa
Utueleze sisi tuliopo hapa, maana umeamua kuileta hapa ili isomwe, au kuna jingine??
wewe na nani? nani amekuambia nimeleta hapo ili isomwe na wewe? acha ndoto za mchana!
Twende hapa
Nilitegemea na umama ulionao kama kweli ni mama ungeweza kuielezea ilikuwaje jamaa kajiwa juu na BBC.
Umama nilionao haunilazimishi kuelezea chochote unachotaka wewe nieleze. Kwa hiyo basi, sijisikii kusema chochote juu ya hilo zaidi ya post niliitoa awali. Okay?
HUNIJUI SIKUJUI NA IBAKI HIVYO.
Then kuna hili
I'm buffled by this....kumbe ilikuwa ni kuchokonoa jambo ili uone watu watareact vipi?? Funny!!
Kama una tabia ya kuchokonoa watu sio mimi, usinilazimishe nifulfill matakwa yako while am not ready, its good to be buffled any way!
Hii hapa
Kona ile ya utani kuna kila aina ya vituko...kama ningekumbana nayo kule, then ningecheka nikakenua meno then nikaendelea kuscroll down kupata vichekesho vingine.
Sipo hapa kukutekenya ili ucheke. Wherever you see my sentences, skip them! You have a lot of senses to read non-senses.
Hapa napo
Mwelekeo wangu mimi nimeomba evidence....pindi ukileta evidence...nitakupa thank you then I will move on kwenye ishu nyingine/ I mean thread nyingine.
Mwelekeo wako haunihusu kwa sababu nina right ya kutokukupa evidence. Worse come worse mie sio mama wa dataz na nilivyoregister sikuregister kwa ajili ya thank you. Kuonyesha kuwa wewe sio upupu, onyesha senses an jinsi ya kuzianalyse boss of the bosses.
Hii Kali
Hapa nimechoka...yaani useme kitu kuhusu mtu then ukitakwa ushahidi unasema huna haja ya kuback up your point...Ndio maana nilishauri iende kwenye jokes....kule nisingekuomba ushahidi asilani...
Tafadhali nisikuchoshe ukapata kesi toka kwa mwenzi wako. Kwa mantiki hiyo usisome post yangu utachoka bure bwereree. Wewe kama nani hapa unashauri hiyo iende kwenye jokes????!!!!. That is my post, i have put there for a purpose, unless uniambie wewe siku hizi ndio mwenye mamlaka ya kuamua niandike nini na wapi. Kama kiswahili kinakushinda nenda shule. Hizo senses zako zinaonyesha kuwa more than non-sense kama ulishindwa kuielewa hiyo post intellectually.
???
Huh?!?!?
Hilarious
Samahani sana Mama nimerefuse kujump kwenye bandwagon yako....sababu haileti sense kwenye idara ya fikra zangu. Haoo uliowaona nimejump kwenye bandwagon zao hadi ukanipa heshima tata ya 'mr kiongozi wa bandwagon' pengine walikuwa wanaongea pointi...na usione kama sijawauliza hapa hadharani kwamba sijafuatilia mwenyewe binafsi, huwa nafanya hivyo Mama...just FYI!!!
Umeshajump kwenye bandwagon yangu, halafu unataka jifanya kiongozi wangu... wanielekeza cha kufanya!!!!! Kama hujajump kwenye bandwagon yangu haya yote usingeyaleta. Sorry dude, I am not of your type, out of the window!!
Wheeew Finally umeuliza la Maana
Kumbe wajua maana????
Tumewekewa sehemu za kujadili mambo na hususan mambo yetu sisi kama watanzania; nchi iko mrama, nchi inaendeshwa kama banda uani, nchi inaendeshwa kama mtoto wa kambo kwenye familia isiyojali, nchi inaendeshwa kama part time job, na sisi humu ndio tunayoitegemea kuegemeza identity zetu. Sasa tukiiona inakwenda ovyo tuseme, tuelekeze nguvu zetu katika kuirudisha barabarani na sio Sio Said Yakub kajiwa juu na nani BBC.
wewe na nani? Painkiller au Invisible. Naona wajikweza kwenye minazi ya wenyewe.Wewe kama Said Yaakub unalolote nae, basi mfate. Isijekuwa kutaja jina lake hapa basi roho yakupwita. Acha chuki binafsi. By the way umempandisha chat kinoma kwa kujifanya wajua kuanalyse visentensi uchwara vya Mama wa non-sense. Ukiwa mtu mwenye sense na mwenye kujua kuongea la maana huwezi kujishusha hadhi yako kupangua visentensi vitano visivyomake sense. You are non-sense than Mama is.
Ps: Hoja hujibiwa kwa hoja.....Hupandishi mtu mzuka hapa so Silencer akatokea kwa kutokea na kufungia watu hapa....