Vipi Nape na Nnauye??Baba na mwana katika hizi familia mbili za wapakwa mafuta zinatafakarisha.
UKimchukua January Makamba na mzee wake Yusuf ukaweweka kwenye mzani,Yusuf atamzidi January kwa umri tu,ni dhairi January alijifunza siasa kwa mzeewake na akampiku kila kitu,elimu,aiba nk.
Njoo kwa Rizwan ambaye nilitarajia awe bora kuliko mzee wake lakini wapi,kwa umri wake wa miska 45 mzee wake alikuwa anatetemesha nchi hadi mwalimu Nyerere alijuta kumfahamu,leo hii tukiambiwa tuchague Rais chini ya mtutu wa bunduki kati ya Rizwan au JK ,tutamchagua JK,
Rizwan unafeli wapi???
Qualification pekee aliyokuwa nayo Nape ni kuwa mtoto wa Moses Nnauye, kinyume na hapo he is just an empty tin with lowest I.Q ever.Vipi Nape na Nnauye??
Hawa hawatofautianiLoi Sabaya na Lengai Sabaya??
Mzee Nauye yuko juu,alikuwa Brigedia jeshini kabla ya kuingia kwenye Siasa,Alikuwa mwana mikakati mzuri sana sema alikuwa mtu wa bata sana mpaka akafa bila kujenga masikini mzee wa watu,Baada ya kufariki Mzee Makamba akamlea Nape kama mwanae,na hata msiba wa mzee Nnauye tuliufanyia kwa mzee Makamba,Vipi Nape na Nnauye??
Uko sahihi kiongoziQualification pekee aliyokuwa nayo Nape ni kuwa mtoto wa Moses Nnauye, kinyume na hapo he is just an empty tin with lowest I.Q ever.
Kama isingekuwa kubebwa na jina, Nape angekuwa dalali wa vyumba vya mabondeni huko.
Wako vzr wanalinganaVipi Hussein Mwinyi na Ali Hassan Mwinyi?
Mabomu ya mbagala na gongo la mboto yalitosha kumtema Hussein Mwinyi nje ya ulingo.uzembe wa hali ya juu ulioleta taharuki nchini,Vipi Hussein Mwinyi na Ali Hassan Mwinyi?
Pole pole ndio mwendo, mwenda pole hajikwai🐒Baba na mwana katika hizi familia mbili za wapakwa mafuta zinatafakarisha.
UKimchukua January Makamba na mzee wake Yusuf ukaweweka kwenye mzani,Yusuf atamzidi January kwa umri tu,ni dhairi January alijifunza siasa kwa mzeewake na akampiku kila kitu,elimu,aiba nk.
Njoo kwa Rizwan ambaye nilitarajia awe bora kuliko mzee wake lakini wapi,kwa umri wake wa miska 45 mzee wake alikuwa anatetemesha nchi hadi mwalimu Nyerere alijuta kumfahamu,leo hii tukiambiwa tuchague Rais chini ya mtutu wa bunduki kati ya Rizwan au JK ,tutamchagua JK,
Rizwan unafeli wapi???
Unamaanisha Mark?Vipi Nape na Nnauye??
Rizi yupo Lowkey, Janu ana mbwembwe sanaBaba na mwana katika hizi familia mbili za wapakwa mafuta zinatafakarisha.
UKimchukua January Makamba na mzee wake Yusuf ukaweweka kwenye mzani,Yusuf atamzidi January kwa umri tu,ni dhairi January alijifunza siasa kwa mzeewake na akampiku kila kitu,elimu,aiba nk.
Njoo kwa Rizwan ambaye nilitarajia awe bora kuliko mzee wake lakini wapi,kwa umri wake wa miska 45 mzee wake alikuwa anatetemesha nchi hadi mwalimu Nyerere alijuta kumfahamu,leo hii tukiambiwa tuchague Rais chini ya mtutu wa bunduki kati ya Rizwan au JK ,tutamchagua JK,
Rizwan unafeli wapi???