January Makamba ni bora kuliko Yusuf Makamba, Rizwan Kikwete ni dhaifu kwa Jakaya Kikwete

January Makamba ni bora kuliko Yusuf Makamba, Rizwan Kikwete ni dhaifu kwa Jakaya Kikwete

Wewe kutwa kujikomba kwa familia ya kikwete
Waswahili toka mbahatike kuingia ikulu imekuwa nongwa

Et blah blah nyerere anamuogopa?

Unasimulia vitu vya kufikirika
Sisi waswahili ndio tulikufanya ujue TV na kuvaa mitumba badala yasuruali zilizpchanika matakoni,sisi waswahili ndio tulijenga shule za kata ukadoma ukapata mkopo burena aira ta ualimu bila longolongi,tuheshimu basi
 
Back
Top Bottom