January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Mtamnunua kwa shilingi ngapi?
 
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.

Kwanini CHADEMA mnapenda sana Kuchukua Makapi ya kutoka CCM na hamjiamini katika Kuwaandaa na Kuwapika Watu wenu wenyewe? Huu nao ni Udhaifu kwa upande wenu na ni kama vile bado hamjajifunza kutokana na Fundisho la Lowassa hadi akawakimbieni. Japo Mimi mwana CHADEMA ( bali ni Mtu tu wa Kawaida ) ila ninachojua ni kwamba kuna Watu wengi huko huko CHADEMA Kwenu wenye si tu Uwezo bali hata Utashi wa kuweza kuwa Wagombea Urais kuliko hata hiyo Mizoga ambayo huwa mnaipokea kutoka CCM.
 
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Hahaha! Chadema bado inawafuasi..?
 
CHADEMA haiwezi kupata Mgombea mpaka lazima atoke CCM
Kama ambavyo mawaziri, rc, dc na sg wanavyotoka upinzani huku ninyi mkikata viunu na kushangilia kwa buku saba na shati pasi sarawili 😀 😀
Mkimaliza kugawana fito tembezeaneni bakora maana mpaka mwezi ukipevuka sijui...
 
Kama ambavyo mawaziri, rc, dc na sg wanavyotoka upinzani huku ninyi mkikata viunu na kushangilia kwa buku saba na shati pasi sarawili 😀 😀
Mkimaliza kugawana fito tembezeaneni bakora maana mpaka mwezi ukipevuka sijui...
Jiandae kumsafisha na kumuombea kura Makamba huko Chadema.
 
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Halafu ni ujinga mtupu kuzidisha uhasama na watu kwa kitu ambacho hakijulikani kitapatikana lini.
Ni afadhali ungesema aende chadema agombee ubunge kuliko kugombea uraisi kitu ambacho ni ndoto ya miaka 100.
 
Twende na Membe 2020
Twende na Antiphas 2020
Twende na Membe 2020
Twende na Makamba 2020
Twende na Mdude 2020
Twende na Nyarandu 2020
Twende na Mdee 2020
Twende na Kinana 2020
Twende na Ngeleja 2020
Twende na Nape 2020
Twende na Hawa 2020
Twende na January 2020
Twende na Mwigulu 2020
CDM mna PHD ya ulaghai
 
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Atakuwa kafanya grave mistake
 
Nilidhani funzo la EL lilishawatosha...!
 
Jiandae kumsafisha na kumuombea kura Makamba huko Chadema.
Wazee wa kashfa... mmesahau mara hii kuwa mamvi mlisema anajinyea Je mlipompokea mlivisha pampas au mlimsafisha na JIK...
Saa hizi anawaburuta atakavyo timu yake ndio imeshika sukani nyie kuleni buku saba za bado na mashati bila vyupi
 
Wazee wa kashfa... mmesahau mara hii kuwa mamvi mlisema anajinyea Je mlipompokea mlivisha pampas au mlimsafisha na JIK...
Saa hizi anawaburuta atakavyo timu yake ndio imeshika sukani nyie kuleni buku saba za bado na mashati bila vyupi
Kumbuka Lowasa yupo kwenye list of shame ya Chadema
 
Back
Top Bottom