January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

Mtoa mada anajitekenya na kucheka mwenyewe
Kisha anamalizia na cha kati. Asituletee kebehi sisi, tunachotaka January Makamba , Kinana na Nape ili mioyo yao iwe huru ni kutuletea matokeo halisi ya 2015 kama walivyo yapokea pale Masaki.
Maana tumechoka na mwizi wa kura, kuiba aibe yeye na ukatili afanye yeye. Au Hao kina January hawakumtaarifu kuwa kwenye kura alipigwa chini?
 
Mpuuzi mmoja wewe
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
 
Muda wa rais ni miaka mitano, kwakuwa Januari anakubalika na wanaccm atashindana na Magufuli, ili ccm ipate mgombea kidemokrasia. Wanacdm watamuunga Mkono akiwa huko huko ccm kwani Januari hana siasa za kutumia kundi la watu wasiojulikana, na ameweza ushindani wa kisiasa bila kutumia mabavu.
Usisahau kua pia alikua miongoni mwa waliosimamia bao la mkono 2015.
 
Kitendo cha CDM kumkubali Lowassa na kumpa agombee urais ilikua proof tosha kua na wao nao ni ovyo sawa na CCM yenyewe tu, kumchukua mwizi alafu wanamsafisha kisa walidhani watapata kura ni utako wa hali ya juu. Uchama ni tatizo kubwa sana Tanzania, watu wangepunguza kufocus kwenye uuzaji sura na kufocus kwenye mambo ya msingi tusingekua hapa tulipo.
 
Kitendo cha CDM kumkubali Lowassa na kumpa agombee urais ilikua proof tosha kua na wao nao ni ovyo sawa na CCM yenyewe tu, kumchukua mwizi alafu wanamsafisha kisa walidhani watapata kura ni utako wa hali ya juu. Uchama ni tatizo kubwa sana Tanzania, watu wangepunguza kufocus kwenye uuzaji sura na kufocus kwenye mambo ya msingi tusingekua hapa tulipo.
Bavichaa hawawezi kusoma hapa
 
Makamba ataondoka CCM tu kama atafukuzwa. Kitu ambacho sidhani kama kitatokea ........ Na kama ikitokea destination itakuwa ni ACT kwa rafiki yake kipenzi!!
 
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Vijana wa Lumumba huwa mnaliwa sana mmekua mapoyoyo.
 
Chadema hapo ndiyo watakuwa wanafail,kwanini wasifanye recruitment wenyewe ya candidate wao? Kama hawajifunzi kutokana na makosa acha wamchukue.
 
Mwezi wa kwanza, akijisikia kuhama sisiemu, atahamia ACT _ Wazalendo wa rafiki yake Zitto ambaye walisoma wote Kigoma Sekondari, lakini pia wana abudu pamoja nammanisha dini yao ni moja
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Mgombea urais wa chadema 2020 ni TL acha kuota
 
Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom