Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Ungejibu swali kwanza... Kile kinyesi mmemsafisha au bado?Kumbuka Lowasa yupo kwenye list of shame ya Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejibu swali kwanza... Kile kinyesi mmemsafisha au bado?Kumbuka Lowasa yupo kwenye list of shame ya Chadema
Kisha anamalizia na cha kati. Asituletee kebehi sisi, tunachotaka January Makamba , Kinana na Nape ili mioyo yao iwe huru ni kutuletea matokeo halisi ya 2015 kama walivyo yapokea pale Masaki.Mtoa mada anajitekenya na kucheka mwenyewe
Salaam.
Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.
Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.
Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Usisahau kua pia alikua miongoni mwa waliosimamia bao la mkono 2015.Muda wa rais ni miaka mitano, kwakuwa Januari anakubalika na wanaccm atashindana na Magufuli, ili ccm ipate mgombea kidemokrasia. Wanacdm watamuunga Mkono akiwa huko huko ccm kwani Januari hana siasa za kutumia kundi la watu wasiojulikana, na ameweza ushindani wa kisiasa bila kutumia mabavu.
Bavichaa hawawezi kusoma hapaKitendo cha CDM kumkubali Lowassa na kumpa agombee urais ilikua proof tosha kua na wao nao ni ovyo sawa na CCM yenyewe tu, kumchukua mwizi alafu wanamsafisha kisa walidhani watapata kura ni utako wa hali ya juu. Uchama ni tatizo kubwa sana Tanzania, watu wangepunguza kufocus kwenye uuzaji sura na kufocus kwenye mambo ya msingi tusingekua hapa tulipo.
Kwa hiyo January Makamba ana hatimiliki ya CCM?Sidhani kama atakuwa mjinga hivyo na amuachie chama mtu aiyechukua card ya ccm 1993. Hali yeye kazaliwa na kulelewa ndani ya chama.
CHADEMA haiwezi kupata Mgombea mpaka lazima atoke CCM
Vijana wa Lumumba huwa mnaliwa sana mmekua mapoyoyo.Salaam.
Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.
Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.
Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Wewe endelea kuliwa tu.Mpaka wewe utakapoonekana na Mbowe
Hiyo siyo kazi yangu wanajua wenyewe Chadema na mipango yaoUnataka Sugu agombee urais?
Mgombea urais wa chadema 2020 ni TL acha kuotaSalaam.
Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.
Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.
Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
ujinga mtupuSalaam.
Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.
Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapika kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.
Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.