January Makamba nyota yako inang'aa achana na wanaopinga

Kama ungekuwa mchongo Lowasa na membe mmoja wapo angekuwa Rais! Urais ni mipango ya Mungu! Huoni mpaka hata huyu Bibi kilaza kawa Rais!
Kama ungekuwa mpango wa mungu ccm msingekuwa mnaiba kura
 
Hapa nyinyi ndo mnazua maneno! Watu hawana shida na Makamba wanshida na utendaji wake wa kubababisha mara aseme hivi mara vile!
Amesema ishu ni clane na kuziba maji watu hamtaki kuelewa mnataka tuwabebe
 
Kama ungekuwa mchongo Lowasa na membe mmoja wapo angekuwa Rais! Urais ni mipango ya Mungu! Huoni mpaka hata huyu Bibi kilaza kawa Rais!
Ugomvi wa marafiki ndo ulisababisha yale lkn kulikuwa hakuna mtu wa kusimama mbele ya ile miamba
 
We ni lingosha flani,lipo lingine hapa ofsini kila mara kumtaja Magufuli tu!!! Mtakufa mwaka huu na makamba ndo huyoooooo rais 2030 kama mung akimjalia uzima,,,alafu tangu lini ccm mkashinda kwa kutegemea kura!!!? Si mnapora tu
Makamba is there to stay ingawa mambo ya urais tuwaache kwanza afanye kazi uliyopewa na SSH
 
Makamba anashangaa watu wanamtetea kweli kiongozi akipendwa raha sana
Kweli mkuu yani mi Makamba sijawahi kumuona live lkn kwa Urais naona atafaa japokuwa nilitamani mpinzani aingie Ikulu 2030 kama kungekuwa na tume huru
 
Hakuna zuzu zaidi yako. Jamiiforums sio kamati ya kupendekeza majina ya wagombea.
By the way leta CV ya huyo unae msifu.

Form four zero, form six zero, hatujafikia hapo, kuongozwa na vilaza.

Tunajua January ni waziri wa mchongo, ili kusaka pesa za kampeni meals kesho ndani ya chama,

ova
 
Hivi ukipata zero f4 unaweza kufika F6??? Au umekunywa gongo!!? Na ukipata zero f6 unafikaje chuo!!?? Kweli Unamchukia Makamba aisee
 
Ujinga unagharama kubwa hongera kwa kuilipa.
 
Punguani kama hizi ndo zinatuchelewesha kufikia uchumi mkubwa..shwain kabisaa... unazani hayo maji yatasambazwaa huko kwenu vilaza bila nguvu ya umeme? Kenge kabisaa hilii
 
Huo mzigo unaotembea nao juu ya shingo ungeutua tu haukusaidii chochote.
 
Si tulikubalina utaratibu wa CCM akitoka muislamu anaingia Mkristo,nauliza tu
 
Unazungumzia kuabudu mtu kwani huyo anayebadilishwa wizara kila awamu bila kuonekana perfomance yake wewe humuabudu?

Endelea kumuabudu huyo mpiga dili.
ID za kimkakati hizo kajiunga juzi, hii ni post yake ya kwanza.
 
Wewe mtoa mada upo Burundi au ? Kwani hauoni mgao wa umeme hapa Dar na mikoa yote, muwe wazalendo na nchi yenu, magufuli amekuwa Rais kwa miaka 5 hakuna mgao wa umeme. Ameingia January Makamba umeme Kila siku unakatika. Na sio Mara 1 kwa siku Mara 3 mpaka 5

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…