January Makamba nyota yako inang'aa achana na wanaopinga

w
Washenzi waliokuwa wanapenzi wa utekaji na mauwaji ndio wanamchukia Makamba
 
mgao wa umeme si ununue sola
 
Unaleta hadidhi mara unazungumzia ukabila! Kwa hiyo huyo kilaza wako akibombea hatahitaji kura za wasukuma?. Acha upumbabu wewe bwege alikwambia nani kila anayempinga makamba ni Msukuma?
Wasumuma mna matatizo.
 
KweLi mkuu naikuabari hoja yako sasa hivi jf imevamiwa na sukuma gang cha kushangaza hata bavicha nao wanawashangaa hawa jamaa wametokea wapi .jf ya awamu ya nne chini ya muheshimwa kikwete ilikuwa nzuri members tulikwa hatujuti MB zetu kulikuwa na bavicha na uvccm kulikwa na vita za hoja yaan ilikuwa burudani nami nilishawishika kujiiunga jf kwa ajili Yao
 
Umeishia la ngap?
 
Kunawakati ficha ujinga wako itakusaidia
 
Mleta mada una akili za kitoto, Wala haupo upande wa Januari, ila umetumwa kuja kumwalibia.
 
Wameanza kusemana! Mkuu Omutontozi umejiunga lini hapa JF? Mmeanza mapema sana vita yenu. Msipokuwa makini nyote mtaukosa huo ukuu! Mmenza mapema kuparurana, pumzi itawaishia atatokea mtu from nowhere atapita katikati ya miguu yenu na atainuliwa mbaki mmeduwaa.
 
Umeishia la ngap?
Swali Hilo kamuhulize pole pole na bashiru alafu wewe mshamba humu jf sisi ndio wakorongwa kipindi tunaingia kwenye game ikiitwa jambo forum mie sio level yako .mshamba wewe rudi Kwenu usukumani ukachunge mbuzi
 
Jitetee badili dini jifanye wewe ni mkatoliki lakini jua ya kwamba Raisi anaekuja ni Kassim Majaliwa, sisi Wananchi hatutaki wapigaji na wajuaji tunataka Raisi mchapakazi endelea kuandika hotuba twitter
 
Sawa mkuu. Ila CCM hawapo kama uwafikiavyo
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kumbe unategemea kushikwa mkono na Wajomba? Kuanzia kuandika hotuba Ikulu Mpaka uraisi unataka wajomba wakushike mkono , umelalaaa yooooo

Hata wakina Mwigulu , Kassim Majaliwa , Phillip Mpango hawakufikishwa hapo walipo na wajomba kama wewe ni akili zao na cv zao husishindane nao
Kama ungekuwa mchongo Lowasa na membe mmoja wapo angekuwa Rais! Urais ni mipango ya Mungu! Huoni mpaka hata huyu Bibi kilaza kawa Rais!
Hajui ni mipango ya Mungu au labda Mungu yupo kwenye List ya wajomba zake wa kumshika mkono
 
Hivi ukipata zero f4 unaweza kufika F6??? Au umekunywa gongo!!? Na ukipata zero f6 unafikaje chuo!!?? Kweli Unamchukia Makamba aisee


Kwenda form six ndio akili ?

Zamani Mpaka devision zero walikua wanaenda A/Level , husitudanganye mfumo wa ufaulu ndio uende A-Level umekuja kubadilika kipindi chetu

Huyo Makamba kasoma enzi za mwalimu
 

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…