James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Kijana hebu jifunze kuwa na heshima kwenye mamlaka. Huyu January Makamba anaweza kuwa rais wako wa baadaeUnazungumzia kuabudu mtu kwani huyo anayebadilishwa wizara kila awamu bila kuonekana perfomance yake wewe humuabudu?
Endelea kumuabudu huyo mpiga dili.
Hapa nyinyi ndo mnazua maneno! Watu hawana shida na Makamba wanshida na utendaji wake wa kubababisha mara aseme hivi mara vile!
Ngese hilo achana nalo kuna mafara wanatuletea ukabila baada ya jpm kufanya makubwa wanaweweseka na wasukuma mpkaa basiUnaleta hadithi mara unazungumzia ukabila! Kwa hiyo huyo kilaza wako akibombea hatahitaji kura za wasukuma? Acha upumbavu wewe alikwambia nani kila anayempinga Makamba ni Msukuma?
Ww naona umetatuliwa linda na ngosha na kaaa ukijua kura nyingi ziko kanda ya ziwa sasa ww wazarau watu wa kanda ya ziwa na huyo anae kutuma mtausikia tu uraisWe ni lingosha fulani, lipo lingine hapa ofsini kila mara kumtaja Magufuli tu!!! Mtakufa mwaka huu na Makamba ndio huyoooooo rais 2030 kama mungu akimjalia uzima, halafu tangu lini CCM mkashinda kwa kutegemea kura!!!? Si mnapora tu
Ninavyo ona kwa kipindi kirefu tumekuwa na kautaratibu kakubadilishana kiimani kwa maana akiingia mkristo awamu ijayo muislam.Hata kama halipo kwenye katiba lakini naona kama ni kautaratibu kamewekwa ,sasa mama kama 2025 anagombea tena na kuchukua nchi nadhani 2030 atakuja mkristo na hapo ndoo wakina Mwigulu wanaweza anza cheza sarakasi zao.Naona watu wanashindwa kuona!!! Hii ni vita ya Urais yani January hata akikohoa wajinga flani wanamshukia kama mwewe! Ila mjue kete zake zote zimepangwa vizuri ni mungu amjalie uhai 2030 ndo Rais, Urais wa bongo ni mchongo kama zilivyo ajira zingine, Kama mnamtaka Mwigulu sioni mjomba wa kumvuta mkono atulie amnyenyekee Makamba labda 2040 atamwachia
Tangu lini ulisikia kuwa box la kura linaamuliwa la Tanzania na wapiga kura?hakuna uchaguzi TanzaniaWewe ni zuzu wa makamba kakutuma ulete uharo humu!
Makamba ni janga la kitaifa na kama akigombea urais wa nchi hii ataambulia kura yako na ya mke wako, baba yako, mama yako, mzee Makamba na genge la msoga na CCM itakuwa HISTORY.
Sijawahi kumuona muhaya anaongea vapour kama hii ya leo.Hii nchi ilikuwa imetumbukizwa katika shimo refu sana la Ukabila na kuabudu mtu (binadamu). Wanaomtusi makamba aidha ni wasukuma au waabudu watu ambao waliamini Tz ni Magufuli na Magufuli ni Tz, bahati mbaya wanachanganyikiwa mungu wao hayupo tena, Uhakika wa kupewa nafasi nyeti wameukosa, nafasi za kuua wamtakae wameikosa sasa wanakuandama wewe kwa sababu umewekwa sehemu ambayo walikuwa wanaitumia kula. Wanajifanya wazalendo wakati hawana lolote bali tu matumbo yao yamebanwa. Kama ni kula we kula tu January kwani ni lini nchi hii imeacha kuliwa
Wanafiki wanaokupigia kelele wanaona safari yako ya kuingia Ikulu imerahisishwa sana maana ramli zinaonesha nyenzo zote za kuingia Ikulu unazo labda uzichezee. Binafsi nilitaka baada Samia Upinzani uingie Ikulu lkn kama mazingira yasiporuhusu January utakuwa chaguo sahihi.
Achana na wapumbavu eti bwawa, Wtz tuna shida nyingi zaidi ya hilo bwawa. Trilion 6 iliyoelekezwa kwenye hilo dude ingeelekezwa katika kusambaza maji ningewapigia makofi mengi
Kama wao walitelekeza mradi wa gesi bila sababu, sitaona ajabu hata bwawa likitelekezwa, tunahitaji Katiba Mpya kuondoa vurugu hizi za kisiasa.
Kwa Makamba labda awe rais wa mashabiki wa simba.Unazungumzia kuabudu mtu kwani huyo anayebadilishwa wizara kila awamu bila kuonekana perfomance yake wewe humuabudu?
Endelea kumuabudu huyo mpiga dili.
Furaha iliyoje kuona ndani ya ccm kumeibuka makundi kinzani ya Tanga line na sukuma gang.Tumekusikia.
Kila lililo la kheri katika kumwabudu Makamba ewe zuzu wa Makamba
Huyu ni mhaya feki kabisaNdiyo maana unajiita mutontozi, Tena mutontozi wa kichwani Kama wa kwako Ni taabu sana
Naona umeamua kuisambaratisha ccm .Sina muda na mbuzi, Mungu wenu alishapumzika tulieni nchi Ijengwe
Washa washa washa moto ili liccm tuliondoe madarakani chapu chapuWewe ni zuzu wa makamba kakutuma ulete uharo humu!
Makamba ni janga la kitaifa na kama akigombea urais wa nchi hii ataambulia kura yako na ya mke wako, baba yako, mama yako, mzee Makamba na genge la msoga na CCM itakuwa HISTORY.
Chochea chochea moto ukoleeeeeeAhahaaaaaaa!!! Makamba ni Rais ajae sioni wa kumtoa labda mmuue, ana nyenzo zote, Urais wa bongo ni mchongo na Makamba wa kumwinua anae tiyari si mwingine ni Samia, Samia hawezi kumuacha Makamba eti ampiganie Mwigulu sijui na madude gani mengine huko, Nachomsihi Mwigulu anyenyekee urais ataupata kwa kuachiwa na Makamba 2040, tena anyenyekee kweli kweli
Ccm hoyeeeeeeBangi ni mbaya sana.[emoji12]
Ccm ndiyo naiona inajigia hata kabla ya 2025 na Makamba kazi yake atakuwa ameitimizaHayo maji yangesukumwa na ninu bila umeme au?
Mbona mnawaza kijinga kama nyumbu bila kutumia akili mvukapo mto wenye mamba?
Hayo maji yatapandaje kwenu bika umeme kamaunatumia akili ujibu.
Upo kwenu BurundiMaskini kijana watu usiniue mi niko kijijini kwetu huku wala Makamba sijawahi kumuona karibu zaidi ya kumuona kwenye Tv tu ila unafiki wa awamu tano safagilii
Rais wa mashabiki wa simbaAhahahaaaa,,, hivi hata picha huoni !!!? Ebu fumbua macho angaza Makamba ni Rais ajae2030 japo nilipenda aingie Mpinzani