January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

Makamba nimeanza kumwona tapeli.. huko twitter sasa hivi ukimchallenge unakula block
Mimi nimemchallenge kidogo tu, kanilima block.
20211030_173404.jpg
 
Duh engineer

Machine zina maintenance schedule, usipofanya repair hata rais awe kiduku zitazingua tu.

Machine hazijafanyiwa maintenance ndani ya miaka mitano? Nazo ziliogopa zikapiga kazi?
Wanawazimu hawa watu na wanatuona malofa wote…mskize huyu Vybz Kartel na hii ngoma poor people land na hao MPs who don’t give a damn…Babylon system.
 

Attachments

Tunafuta

Wait and see

Mbowe yupo ndani sababu ya hiyo mifumo

Huku Space tumewasha moto,nchi imesoma mchezo kila kitu ni Katiba Mpya

Wait and see....mama na nyie maccm lazima mpende au msipende lazima katiba ipatikane

Na 2025 haendi mtu kwenye uchaguzi bila katiba mpya...guess what,vyama vyote tukisusia national election my friend you are all in trouble!
Mwanaume wa kweli hasusi..wala haongelei "tukisusa"....unanipa wasiwasi na Jinsia yako..mkisusa mnaliwa tu[emoji81][emoji81]
 
Bado naona Approach ya Waziri Makamba ipo sawa sawia. Huwezi kufanya kazi kwa mashinikizo yasiyo na msingi. Alichokisema ilikuwa ndio anaingia Wizara hiyo sasa kapata data zote za mfumo wote wa ugawaji wa umeme ambao unahitaji marekebisho na kufanya hivyo lazima wakate umeme.

Maintenance ndio chanzo kikubwa kwa mifumu mingi Africa kufa, watu wengi hatuna mazoea ya kutenga pesa kwa ajili ya maintenance. Anakuja waziri anasema usikate umeme akiogopa kutumbuliwa kumbe mfumo wote unaendelea kuchakaa na kuongeza upotevu wa umeme.

Tusiwe wanazi tumwache afanyekazi yake. It too early to compare. Tuliona nguvu njingi zikitumika bila ya mafanikio ya kudumu na oungo mwingi na majigambo. Nchi hainendi kwa mihemko bali inaenda kwa kuwa na Strategic plan na kuzitekeleza.
Kuna nchi ukisikia kukatika kwa umeme ujue kuna kimbunga, huko miundo mbinu haichakai?
 
Ni kama alivyowadanganya hakuna korona mungu kamwambia

Jinga sana lile dude lenu
Character iliyochezwa na huyo jamaa kwenye avatar yako kwenye tamthilia moja hivi inaendana na haya maandishi yako kabisa. Perfect combo.
 
Mkuu

Ni vituko kabisa

Yaani unakuta jitu zima limo humu eti linapinga "Preventive Maitenance" isifanywe kwenye mitambo eti "nitakosa umeme nyumbani"!

Yaani mpaka mtu unashangaa kabisa!

Halijui mitambo yeyote inahitaji service kwa mwaka mara kadhaa bila kukosa,ila eti limekaa,linakomalia upumbavu wa Magufuli!Eti Magufuli kasema!

These people bwana,yanabishana na engineering,yatalipukiwa hapa yafe yoote halafu yaanze kuomba misaada

Mkuu achana nayo mataahira haya!
Watu huwa hawajiulizi mfano ana pikipiki tu anaenda garage kufanya matengenezo je hayo ni ya nini. Au mtu kila siku anaoga hajui kuwa ni Maintenance hiyo au mtu analala akiamka yupo poa bila kujua usingizi ni Maintenance pia.
Issue hapo ni kuwa na installed capacity ya kutosha ndio maana halisi ya JNHPP 2115MW kitu ambacho namkubali Magufuli katika hili.
Unapokuwa na installed capacity ya ziada kimfano tukiwa na JNHPP unaweza kuzima Kinyerezi 1 bila kuathiri upatikanaji wa umeme.
 
Huyu Jamaa ni mkweli na hapendi unafiki, Nimtu anayeeleza ukweli hata kama unamgharimu chochote,Mungu akutangulie January kwakuwa unasema yaliyoyakweli.

IMG-20211118-WA0003.jpg

Screenshot 2021-11-20 at 17.02.02.png

Watu waliwahi kutishiwa kufukuzwa kwa kukata umeme kwa ajili ya kufanya scheduled repairs. Wakaacha scheduled repairs kuogopa kufukuzwa. Nasi tukafurahia umeme kutokatika. Matokeo yake mfumo wa ugavi umechoka. Dawa si kufukuza bali kurekebisha hali. Itachukua muda lakini wataweza
 
===
Huyu Jamaa ni mkweli na hapendi unafiki, Nimtu anayeeleza ukweli hata kama unamgharimu chochote,Mungu akutangulie January kwakuwa unasema yaliyoyakweli,

View attachment 2015064
na wewe umeridhika nayo?
kwa akili kama zako ama kwa hakika tunayo safari ndefu sana kufika na tutafika tumechoka!!!
 
Wakati wa kikwetwe miaka yote ulikwa umeme nikukatika tuuu..maqmq yake walikuwa wanafanya repair..sasa kama wakati wa kikwetwe mda wote walikuwa wanafanya repair, je nikitu gani kimesababisha walalamike kuwa wakati wa jiwe hapakufanyiwa repair wakati wa kikwete maisha yote ilikuwa mgao wa umeme sabb ya repairs.?Kwa kuwa mfumo wa ugavi Tanzania ni sawa na sehemu zingine duniani, kwanini sehemu zingine umeme huwa haukatiki,je wao hawafanyi repairs?
 
Back
Top Bottom