zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,644
- 3,176
Niliwahi kusema kumfukuza Kalemani kulikuwa kuna lao jambo. Sherehe yao ni ya muda tu!Huyu Jamaa ni mkweli na hapendi unafiki, Nimtu anayeeleza ukweli hata kama unamgharimu chochote,Mungu akutangulie January kwakuwa unasema yaliyoyakweli.
View attachment 2015064