escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Asante sana waziri bora wa nishati kuwahi kutokea tangu uhuru wa nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninakubaliana na wewe, kiwango cha watumiaji bado kipo chini sana; lakini pia inafaa tujue ni waTanzania wangapi hasa katika hao 3.2 milioni wanaozungumziwa.Duh. Yaani nchi ya watu million 60 ina wateja wa umeme 3.2 million tu. Hapa kazi bado ipo....!! Inawezekana kuna lots of eligal connections wao hawana habari.
Una mume aliye Chadema kakutosa eeeh?!Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Gesi ilipelekwa Msoga nafikiri huko Mambo shwaaaari.Simbachawene alitwambia matatizo ya upatikanaji umeme itakuwa historia gesi ikifika Dar es Salaam. Gesi imefika Dar es Salaam lakini bado matatizo yapo pale pale.
Tunajua Simbachawene siyo Makamba.
Zaidi sisi wanyongwa tumuombe aangalie mizengwa ya watumishi wa tanesco linapo kuja kuiomba huduma ya kuunganishiwa umeme, tangu mjini Hadi vijijini, mizengwe mingi kwa lengo la kuwatoachochote wanaohitaji huduma, kuna hiyo iitwayo rea, au kununulishwa nguzo na kumpata surveyor, aangazie hapo, kama bado anatafuta pakuanzia.Mwambieni aje huku kwetu mlimba,tanesco wanakusanya pesa ya nguzo kwa wateja na kuanza kuwazungusha hadi mwaka unaisha bila kuwawekea umeme majumbani kwao na pesa wamekuka.
Sijui kama hiyo 2 trilioni ya Tanesco inayozungumziwa hapa ni ya kweli au la; lakini sielewi wewe hasa unacholenga ni nini na hayo "makusanyo ya nchi nzima" unalenga nini hasa? Makusanyo ya kodi mbalimbali?Yaani TANESCO ikusanye zaidi ya trillion 2 kwa mwezi wakati makusanyo ya nchi nzima hayafiki trillion 2 ?? Mkuu ukiwa unaongea jitahidi kujisikiliza ili uone wapi unakosea. Hebu tupe makusanyo ya nchi kwa mwezi.
Tuna shida kubwa sana, pale Wanasiasa wanapotaka kutatua matatizo ya kiutendaji kwa njia ya siasa.. Sikutegemea kwa Makamba Jr. nae angekuja na kauli ya kisiasa kama hii.. Wanasiasa wanakwepa wajibu wao kwa kuwaaminisha watu ukatikaji wa umeme ni jambo la hujuma za makusudi.. Wakati ukweli ni kwamba miundombinu ya Tanesco ni chakavu na hamna back up.. Kwa ubovu huu, umeme utaendelea kukatika mpaka hapo wanasiasa watakapoacha uzandiki na kuamua kuwekeza katika miundombinu mipya na ya kisasa Tanesco..Huo mkwala Mbuzi, suala la kukatika umeme c la wiki mbili utafukuza wote na mwishoe utajifukuza. Shirika limekuwa likiendeshwa kisiasa kwa muda mrefu Sana, pia shirika linamadeni sugu zaidi ya 1.1 trilioni,
Makusanyo ya tanesco ni around bil90 kwa mwezi na kwa mwaka around 1.4 trilioni, hiyo 2.0 trilioni kwa mwezi ni uongo.
Hakuna Jambo gumu kutatulika tanesco Kama kukatika kwa umeme, shida kubwa ni ubora wa vifaa vilivotumika na uchakavu wa miundombinu ambayo hayarekebishiki kwa wiki mbili
Mkuu umenidaidia, hata mimi hizo tarakimu trillion kwa mwezi zilinichanganya.Yaani TANESCO ikusanye zaidi ya trillion 2 kwa mwezi wakati makusanyo ya nchi nzima hayafiki trillion 2 ?? Mkuu ukiwa unaongea jitahidi kujisikiliza ili uone wapi unakosea. Hebu tupe makusanyo ya nchi kwa mwezi.
Mkuu,usibishane na taka ngumu,zitakunukiaHaiwezekani kateleza hapo
Kwahisabu hizo kila nyumba moja wanaishi watu 20,000.Duh. Yaani nchi ya watu million 60 ina wateja wa umeme 3.2 million tu. Hapa kazi bado ipo....!! Inawezekana kuna lots of eligal connections wao hawana habari.
Siyo watapinga bali hili ni agizo la Kisiasa tu, labda kama wewe ni mgeni wa sekta ya Nishati ya umeme Tanzania. Huyo Mkurugenzi kapokea maagizo akijua everything will be business as usual.Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Mkuu 'Bengal',Ndugu,umechanganya na mawazo yako au ni yote ni ya mhusika?pengine cha kufahamu ni kuwa,mfumo wa umeme ni rafiki,na unao mfumo kujisimamia wenyewe kwa maana ya kuhakikisha usalama,kuna hililafu mfumo utajizima Hadi pale hitilafu itaondoshwa.Hivyo nafikiri kwa wataalamu wanayajua hayo,na hiyo ndio maana ya kutumia weledi na sii siasa hata kwa yale ambayo siasa haiwezi kutatua.
Mkuu, hawa wanasiasa wanahuruka ya kujipenda wao tu. Watu wengine wakikosea wao suluhisho ni kuwafukuza kazi, ila wao hata wakipitisha sheria hizi za KODI NA TOZO na baadaye wananchi wakilalamika, wao hubaki kushanga kwa mamna gani sheria hiyo imepita. Hakuna anayewajibika.Tuna shida kubwa sana, pale Wanasiasa wanapotaka kutatua matatizo ya kiutendaji kwa njia ya siasa.. Sikutegemea kwa Makamba Jr. nae angekuja na kauli ya kisiasa kama hii.. Wanasiasa wanakwepa wajibu wao kwa kuwaaminisha watu ukatikaji wa umeme ni jambo la hujuma za makusudi.. Wakati ukweli ni kwamba miundombinu ya Tanesco ni chakavu na hamna back up.. Kwa ubovu huu, umeme utaendelea kukatika mpaka hapo wanasiasa watakapoacha uzandiki na kuamua kuwekeza katika miundombinu mipya na ya kisasa Tanesco..
Unaiwaza chadema kuliko hata unavyomuwaza mume wako.Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Waziri kisha FELI tayari, hata kabla ya kuanza!Huo mkwala Mbuzi, suala la kukatika umeme c la wiki mbili utafukuza wote na mwishoe utajifukuza. Shirika limekuwa likiendeshwa kisiasa kwa muda mrefu Sana, pia shirika linamadeni sugu zaidi ya 1.1 trilioni,
Makusanyo ya tanesco ni around bil90 kwa mwezi na kwa mwaka around 1.4 trilioni, hiyo 2.0 trilioni kwa mwezi ni uongo.
Hakuna Jambo gumu kutatulika tanesco Kama kukatika kwa umeme, shida kubwa ni ubora wa vifaa vilivotumika na uchakavu wa miundombinu ambayo hayarekebishiki kwa wiki mbili
Ha ha ha ha.. na akipata mimba itakuwa ni ya chadema wallah🤣🤣Unaiwaza chadema kuliko hata unavyomuwaza mume wako.