January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

IS THE MATTER OF TIME,
tusubiri tuone baada ya hapo atarudi na swaga zipi tena.

MAANA TUSHAWAZOEA , HUWA NI VIGEUGEU SANA...

but anyway tuupe muda nafasi .
 
Siyo watapinga bali hili ni agizo la Kisiasa tu, labda kama wewe ni mgeni wa sekta ya Nishati ya umeme Tanzania. Huyo Mkurugenzi kapokea maagizo akijua everything will be business as usual.
Ulitaka babako ,babantilie ndie aagize maana sio mwanasiasa

USSR
 
Simbachawene alitwambia matatizo ya upatikanaji umeme itakuwa historia gesi ikifika Dar es Salaam. Gesi imefika Dar es Salaam lakini bado matatizo yapo pale pale.

Tunajua Simbachawene siyo Makamba.
Hata mwaka ule tuliambiwa richmond wangemaliza kero za umeme. Isijekuwa kuna mazingira yanatengenezwa.
 
Acha uongo kata ninayotoka mm hakuna umeme ,kata ya lugulu wilaya ya same ,kata hii ina vijiji vinne ,kanza ,vumba, vushanje na lugulu vijiji vyote hivyo havina umeme
Huko uchagani si ndio mnasemaga eti mmeendendelea kila kitu kipo ,kumbe mnalala gizani pamoja na kuikumbatia chadema

USSR
 
Hiyo miaka mitano ambayo shirika limevunja rekodi ni nani alikuwa akiongoza Tanzania na huko nyuma shirika lilipokuwa hoi ni nani alikuwa akiongoza Tanzania? Hatutarajii kusikia bei ya umeme kupanda tunatarajia kusikia inashuka.
 
Duh. Yaani nchi ya watu million 60 ina wateja wa umeme 3.2 million tu. Hapa kazi bado ipo....!! Inawezekana kuna lots of eligal connections wao hawana habari.
Kwani unapoambiwa tupo million 60 inamaanisha tuna makazi (nyumba) million 60?
Huko shule ulienda kusomea ujinga?
 
Kwa hiyo unataka waziri akae kimya sio?
Waziri kama kapaniki vile maana sio kila kitu lazima kutishiana sehemu ya kuzungumza na kueleweshana maana hapo kisaikolojia na kisosologia inaweza kuua morali ya wafanyakazi/wataalamu maana hao anaowatishia wameajiriwa kutokana na taaluma na wanamikataba so kwa viongonzi hasa wa kisiasa Kuna wakati kauli zao hazionyeshi busara na ukomavu zaidi ya mihemuko
 
Waziri kama kapaniki vile maana sio kila kitu lazima kutishiana sehemu ya kuzungumza na kueleweshana maana hapo kisaikolojia na kisosologia inaweza kuua morali ya wafanyakazi/wataalamu maana hao anaowatishia wameajiriwa kutokana na taaluma na wanamikataba so kwa viongonzi hasa wa kisiasa Kuna wakati kauli zao hazionyeshi busara na ukomavu zaidi ya mihemuko
Hayo ni maoni yako, usitake kulazimisha yawe ukweli.
 
Hizi nguruwe zina shida sana, sasa unafikiri waziri akifoka umeme ndio utakua haukatiki kwa miundo mbinu ya kibongobongo ie pesa zinazotolewa na serikali kwaajili ya ukarabati hazitoshi au hakuna transformer imeungua umeme umekatika unamfukuza meneja. Kwamba meneja atoe pesa yake kukarabati miundombinu ya shirika🙄🙄
Hebu acha kutumia mata.ko kufikiria jaribu kutumia akili kidogo
Makamba yuko sawa,baada ya kifo cha Magufuri,watenda wengi wamerudisha uzembe, kipindi cha Magufuri tanesco walikuwa wanatoa tarifa ya kukata umeme watu mnajiandaa, sasahivi kila baada ya masaa mawili umeme unakatika tena bila tarifa, kwenye utawala wa Magufuri mbona haya hayakutokea? wakati ndio miundombinu ilikuwa dhaifu sana
 
Hayo ni maoni yako, usitake kulazimisha yawe ukweli.
Kwa akili yako unafikiri waziri anayo mandate ya kumfukuza mfanyakazi kazi yeye hapo analeta siasa tu mtu wa kuongea hapo ni katibu mkuu wa wizara uwaziri ni Kama chupi ya kuazima cheo hicho kinategemea mood ya raisi
 
Makamba yuko sawa,baada ya kifo cha Magufuri,watenda wengi wamerudisha uzembe, kipindi cha Magufuri tanesco walikuwa wanatoa tarifa ya kukata umeme watu mnajiandaa, sasahivi kila baada ya masaa mawili umeme unakatika tena bila tarifa, kwenye utawala wa Magufuri mbona haya hayakutokea? wakati ndio miundombinu ilikuwa dhaifu sana
Kwaiyo wewe uko Tanzania nzima unaona Mara zote umeme unapokatika lazima mkubali miundombinu ya umeme ina shida na mingine ni yakizamani hata wakati wa huyo mtu wenu umeme ulikatika
 
Kwa hiyo kwa akili yako waziri hana huo uwezo?
Waziri cheo chake ni ceremonial zaidi, mwenye wizara ni katibu mkuu sema mawaziri wamepewa mdomo na kujimwambafayi yaani ingekua inawezekana nafasi za uwaziri zitolewe kabisa kupunguza matumizi ya serikali na kuongeza uwajibikaji kwa makatibu wakuu maana ndio watendaji wa shunguli za kila siku za wizara
 
Waziri cheo chake ni ceremonial zaidi, mwenye wizara ni katibu mkuu sema mawaziri wamepewa mdomo na kujimwambafayi yaani ingekua inawezekana nafasi za uwaziri zitolewe kabisa kupunguza matumizi ya serikali na kuongeza uwajibikaji kwa makatibu wakuu maana ndio watendaji wa shunguli za kila siku za wizara
Tatizo lako unapenda kulazimisha uongo kuwa ukweli.
 
H

Hili ndilo tatizo la Watanzania wanapenda kusikia uongo kuliko ukweli,sasa Waziri kasema tanesco wanakusanya tilioni mbili, nyinyi mnabisha,sasa Wewe lete takwimu zako,kumbuka January alikuwa antMagufuri,kama angalikuta tofauti angalisema tu.Tunashukuru Magufuri kutoa shirika hili kwenye mikono ya madeni, Mpaka kuanza kukusanya tirioni.Rip Jonh
Sikiliza, mimi siyo mpuuzi kama wewe.
Ninapoandika jambo sibahatishi au siandiki kwa kumpendeza mtu.

Hizo takwimu zilizoandikwa hapo kama umekwenda shule unaweza ukaziamini wewe. hata kama ni kilaza?

Mwenye jukumu la kutoa takwimu ni hao hao wanaofanya uzembe; ndio, kuanzia kwa huyo waziri mpya anayetafuta sifa bila ya kuangalia uhalisia wa jambo, usinitake mimi nitoe takwimu, lakini nikiona ubabaishaji naelewa ni ubabaishaji kama anavyofanya waziri wako.

Hopeless kabisa. Sijui umeibuka kutoka wapi, kwa sababu sijawahi kukuona hapa jukwaani hata siku moja. Au ndio washangiliaji wapya wa hii timu ngeni?

Alaaa, kumbe wewe ni kilaza wa yule shetani wa Chato! Ningesoma hadi mwisho nisingepoteza muda wangu kujibu upuuzi.
 
Back
Top Bottom