Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nae ameanza ubabe usio na tija.
Amandla...
Apige kazi gani wakati hata tatizo halijui?Sawa mzee baba tumekusikia piga kazi
Ova
Alitakiwa kuanzia hapa kabla ya kwenda kutafuta sifa.Cha msingi asitoe amri tu,akae nao chini Tanesco na wao wamueleze nini kinatakiwa kufanyika kitaalamu ili umeme usikatike hovyo hovyo.
Meneja hana kaziSasa kunguru wakichezea nyaya si bado umeme utakatika ?
Hata kwa average ya watu 8 kwenye familia.... Walitakiwa wawe zaidi ya wateja million 7.Kwahisabu hizo kila nyumba moja wanaishi watu 20,000.
Nitanzania pekee ndo inawezekana
Hili ndilo tatizo la Watanzania wanapenda kusikia uongo kuliko ukweli,sasa Waziri kasema tanesco wanakusanya tilioni mbili, nyinyi mnabisha,sasa Wewe lete takwimu zako,kumbuka January alikuwa antMagufuri,kama angalikuta tofauti angalisema tu.Tunashukuru Magufuri kutoa shirika hili kwenye mikono ya madeni, Mpaka kuanza kukusanya tirioni.Rip JonhSijui kama hiyo 2 trilioni ya Tanesco inayozungumziwa hapa ni ya kweli au la; lakini sielewi wewe hasa unacholenga ni nini na hayo "makusanyo ya nchi nzima" unalenga nini hasa? Makusanyo ya kodi mbalimbali?
Inawezekana pia kujua ukweli au uongo wa hiyo trilioni 2 ya Tanesco kwa kuangalia hao wateja wake 3.2 milioni iliyonao. Tunajua kati ya hao walipaji wakubwa ni viwanda, hawa watumiaji wa nyumbani ni kiasi kidogo sana. Kwa hiyo tunaweza kujiuliza kama kuna viwanda vinavyotumia kiasi kikubwa cha kuchangia hiyo trilioni 2 zinazosemwa hapa!
Hata mimi nadhani huu ni uongo anaotuuzia waziri, na hata yeye naona kauziwa uongo huo bila hata ya kuudadisi kidogo, akiwa ni mgeni katika wizara hiyo.
Tatizo kubwa la nchi yetu ni kupatikana takwimu za uhakika. Sijui kama huko wizarani wanazo takwimu za kuaminika. Hata kule kuzitangaza mara kwa mara wananchi wajue hatua tunazopiga kwenda mbele, wao wanaona hiyo ni siri ya wizara na shirika lao!
Matatizo yetu sehemu zote yako hivyo hiyo!
Hao watu ni viazi sijapata kuona mkuuHii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Makusanyo trillion mbili inawezekana kabisaYaani TANESCO ikusanye zaidi ya trillion 2 kwa mwezi wakati makusanyo ya nchi nzima hayafiki trillion 2 ?? Mkuu ukiwa unaongea jitahidi kujisikiliza ili uone wapi unakosea. Hebu tupe makusanyo ya nchi kwa mwezi.
Ndani ya hao 60mil usisahau wapo watoto wakutosha tu ambao wanalelewa ndani ya mita mojaDuh. Yaani nchi ya watu million 60 ina wateja wa umeme 3.2 million tu. Hapa kazi bado ipo....!! Inawezekana kuna lots of eligal connections wao hawana habari.
Na mtaendelea kubaki hivyo hivyo kwa kupenda majibu mepesi kwa maswali magumu. Hau solve tatizo kwa kutoa maagizo jukwaani bali kwa kukaa na wataalamu ili kujua tatizo liko wapi, uhitaji wake wa rasilimali na uwezo wa shirika kupata hizo rasilimali. Sasa kama turbine zina sua sua kwa kukosa vipuri na vipuri inatakiwa viagizwe kutoka nje na leadtime ya kuweza kutengenezwa na kuwasili nchini ni miezi mitatu, hilo agizo la wiki mbili litasaidia nini?Ila watanzania cjui mfanyiwe nini muridhike 😁 akiwakalia kimya munaongea, akiwajia juu munaongea. Bado 2nasafari ndef.
Acha uongo kata ninayotoka mm hakuna umeme ,kata ya lugulu wilaya ya same ,kata hii ina vijiji vinne ,kanza ,vumba, vushanje na lugulu vijiji vyote hivyo havina umemeUmeme upo kila kijiji pia hapa wamehesabu mita tu maana kunafamilia nyingi zinashea mita
USSR
Na mimi nimeshangaa sana yaani 3.2 million out of 10 million nayo unawapa pongeziDuh. Yaani nchi ya watu million 60 ina wateja wa umeme 3.2 million tu. Hapa kazi bado ipo....!! Inawezekana kuna lots of eligal connections wao hawana habari.
Hawa ni wateja wapya ndani ya 5 yearsDuh. Yaani nchi ya watu million 60 ina wateja wa umeme 3.2 million tu. Hapa kazi bado ipo....!! Inawezekana kuna lots of eligal connections wao hawana habari.
Tatizo sio kupinga je hicho anachosema waziri kina uhalisia au kinatekelezeka maana wakati mwingine siasa zikae pembeni ziache utaalamu ufanye kaziHawa jamaa sijui wakoje.
[emoji2][emoji2][emoji2]Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Kwa hiyo unataka waziri akae kimya sio?Tatizo sio kupinga je hicho anachosema waziri kina uhalisia au kinatekelezeka maana wakati mwingine siasa zikae pembeni ziache utaalamu ufanye kazi