January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

Hata mimi nilishangaa haya makusanyo anayosema Waziri ama mwanzisha thread kahamua kujiandikia tu
 
Hao wateja si ni idadi ya nyumba mkuu. Na nyumba moja yaweza kuwa na mtu zaidi ya mmoja.
Ni kweli nyumba inaweza kuwa na watu wengi. Ila kila nyumba ambayo iko connected ni mteja moja.

Kwa Dar yenye watu karibu 6 million kama Kila nyumba ina watu 6, hapo tayari ni wateja zaidi ya 1 million. Ndiyo maana nahisi kutakuwa na lots of illegal connections au data za kuwa umeme umesamazwa kila corner ya nchi si za ukweli.
 
Kichwani mwako inaonekana umejaza tope tu, nimesema wwe unapinga data za waziri Makamba kuwa sio,tupe za kwako basi tukuamini,unabaki unatema pumba tu,hivi unafikiri Makamba anadanganya ili kupata nini?,kama si chuki zako binafisi zidi ya tanesco
Kumbe bado huelewi nilichokuandikia hapo?
Maana yangu ni kwamba ukilaza uliokujaa haukupi uwezo hata wa kuangalia takwimu za uongo ulio dhahili na kuutambua.

Huwezi kunidai takwimu mimi; mimi natambua tu takwimu maghumashi, uwezo huo ninao kuliko ulivyo wewe usiyeweza hata kutambua uongo uliowazi kwa kuamini tu kwamba kwa kuwa umesemwa na waziri basi ndio ukweli!
 
Ndugu Waziri wetu mpya, ulikaa nao wakakuelezea kisa cha kukatika umeme mara kwa mara linaweza kutatulika ndani ya wiki mbili. Je sio tatizo linalohitaji fedha nyingi/ or wide interventions ambalo lipo nje ya hao mameneja wa Mikoa? Usije waonea watu bure go into the core problem do not go into shallow analysis and give unachievable orders. You will go back to the former Minister's style. Tumesikia kwenye vyombo vya habari TANESCO wanabadili nguzo za miti kuweka za concrete hili haliwezi kuwa ni majawapo la chanzo cha kukatika kwe umeme kupisha kazi hii?
 
Kama huna takwimu ,unajuaje hizo takwimu ni magumashi
 
Simbachawene alitwambia matatizo ya upatikanaji umeme itakuwa historia gesi ikifika Dar es Salaam. Gesi imefika Dar es Salaam lakini bado matatizo yapo pale pale.

Tunajua Simbachawene siyo Makamba.
Je gas ilipofika Dar es Salaam tumeitumia alisimia ngapi? Hadi sasa kama uongozi ulipobadilika walienda kujenga Bwawa la Nyerere na kuacha kununua generators za kufua umeme kosa ni la Waziri? Hapa ni shida ya prioritisation tu. Nchi inajengwa kama building blocks not otherwise, tutaenda in circles and circles tutakuwa pale pale siku zote.
 
Kama huna takwimu ,unajuaje hizo takwimu ni magumashi
Ina maana hujui takwimu ni kitu gani, na kwa maana hiyo hata ukileytewa takataka utaziita takwimu. Hivyo ndivyo unavyojitambulisha hapa wewe.
 
Sio kweli kaka mimi ni ninauhusika flani, kampuni za kutengeneza cement tu kwa uchache, twiga, simba na tembo cement hizi kwa mwezi zinalipa matumiz ya umeme zaid 1.8b, hivyo kwa mahesabu ya 2.0b aliyosema ni kweli na kukujuza tu ni zaid ya 2.3billions kama hutaki haulazimishwi na alicho ongea wazir kuhusu makusanyo ni kweli, isipokua sisi tunahitaji umeme wa uhakika usio katika hapo serikali itapata mapato zaid na sisi wananchi tutafurah
 
Safi mkuu
 
Ina maana hujui takwimu ni kitu gani, na kwa maana hiyo hata ukileytewa takataka utaziita takwimu. Hivyo ndivyo unavyojitambulisha hapa wewe.
[emoji1787][emoji1787]
 
Litakuwa jambo zuri provided siyo hekaya za Abnuwasi. 2 trilion ni pesa nyingi na zikitumika vizuri miundombinu ya umeme haitakuwa na mfano kwa east and central Africa
 
Litakuwa jambo zuri provided siyo hekaya za Abnuwasi. 2 trilion ni pesa nyingi na zikitumika vizuri miundombinu ya umeme haitakuwa na mfano kwa east and central Africa
Maneno mengi sana vitendo zero
 
Mkuu mbona bei ya iyo nyumba ni rahisi Sana. Kweli bei ni iyo? Am interested Niko tayari kununua. Je zinapatikana zingine zenye bei kama hizo? Nahitaji kama ishirini hivi.
Hahaa aiseh mkuu si utajiri huu unanitangazia jamani!!
Yote kwa yote karibu sana nyumba ninazo nyingi za kutosha karibia kila kona ya huu mji mijengo ipo tena ziko za bei rahisi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…