Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
January Makamba, inabidi akubalia kua HAWEZI HATA KWA BAHATI MBAYA KUA RAIS.
MBAYA ZAIDI, ALIKATALIWA NA MAGUFULI.
MBAYA ZAIDI, ALIKATALIWA NA MAGUFULI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeView attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.
Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.
Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.
Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.
Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.
Wakati ni mwalimu wa kweli
Ungesema ACT Wazalendo ingeleta uzito kidogo, ili wakaungane na rafiki yao Zitto Kabwe.View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.
Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.
Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.
Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.
Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.
Wakati ni mwalimu wa kweli
Labda WaTanzania waishio kuzimuUnasema January ni kipenzi cha watanzania wa wapi?
Tunza heshima yako.View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.
Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.
Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.
Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.
Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.
Wakati ni mwalimu wa kweli
Amen.:..na hawataamini...Hata Uhuru alimkabidhi Ruto madaraka kinyonge na kwa kinyongo cha wazi..akasusia mpaka bufeee la mteule mpya...lakini ndiyo ilikuwa hivyo..umma umeshaamua....Wanakaribishwa, kama KANU waliishia hata CCM wataishia tuu
Unaumwa wwView attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.
Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.
Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.
Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.
Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.
Wakati ni mwalimu wa kweli
Labda wa BumbuliUnasema January ni kipenzi cha watanzania wa wapi?
Nape njoo tufundishe mnaibaje kura huko kwenu? Tumnyooshe aliyekutengua. Sikubali!Kwahiyo wanataka kupishana na Msigwa.😃
Utakuwa ni usajili wa ghafla kweli kweli waje tu CHADEMA✌️
Hawatakiwi kutoka hao hatujapata pesa za campaign.Nimefurahi mlevi Nape ametupisha.
BASHE NA Mwigulu wamesahaulika vipi? Wapogoro na wandamba hatuna wa kumuuzia miwa halafu msomali bado Yuko ofisini?
Makamba hajautaka urais wala urahisi.View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.
Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.
Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.
Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.
Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.
Wakati ni mwalimu wa kweli
Nasikia wana kadi kabisa kitamboView attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.
Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.
Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.
Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.
Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.
Wakati ni mwalimu wa kweli