Tetesi: January na Nape kutimkia CHADEMA wakati wowote kuanzia sasa

Hawaendi popote hao.
Makamba atajaribu upatu wa kugombea uwenyekiti African Union,akimenyana na Raila Odinga.
Nape hana haraka anasoma nyakati.
Kuhamia upinzani ni karata ya mwisho.
CCM ina tabia ya kusamehe makada wake, usishange wakapewa nyadhifa nyingine siku za baadae.
 
Naona team imeongezeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…