Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;
MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
TAREHE: 19 Agosti 2024,
MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.
NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium) - Nyumbani ni nyumbani.
Ratiba ni kama ifuatavyo
Saa 8:00 Mchana - Msafara kuingia uwanjani (Wote)
Saa 8:20 Mchana - Burudani na Utambulisho (MC)
Saa 8:40 Mchana - Chakula na Vinywaji (Wote)
Saa 9: 00 Alasiri - Hotuba (Waheshimiwa)
Saa 9: 30 Alasiri - Salamu kutoka Vikundi Mbalimbali (MC)
Saa 10 Jioni - Kutawanyika (Wote)
MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
TAREHE: 19 Agosti 2024,
MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.
NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium) - Nyumbani ni nyumbani.
Ratiba ni kama ifuatavyo
Saa 8:00 Mchana - Msafara kuingia uwanjani (Wote)
Saa 8:20 Mchana - Burudani na Utambulisho (MC)
Saa 8:40 Mchana - Chakula na Vinywaji (Wote)
Saa 9: 00 Alasiri - Hotuba (Waheshimiwa)
Saa 9: 30 Alasiri - Salamu kutoka Vikundi Mbalimbali (MC)
Saa 10 Jioni - Kutawanyika (Wote)