January na Oddo Ummy karibuni Nyumbani Tanga

January na Oddo Ummy karibuni Nyumbani Tanga

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;

MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

TAREHE: 19 Agosti 2024,

MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.

NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium) - Nyumbani ni nyumbani.

Ratiba ni kama ifuatavyo

Saa 8:00 Mchana - Msafara kuingia uwanjani (Wote)
Saa 8:20 Mchana - Burudani na Utambulisho (MC)
Saa 8:40 Mchana - Chakula na Vinywaji (Wote)
Saa 9: 00 Alasiri - Hotuba (Waheshimiwa)
Saa 9: 30 Alasiri - Salamu kutoka Vikundi Mbalimbali (MC)
Saa 10 Jioni - Kutawanyika (Wote)
 
Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;

MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

TAREHE: 19 Agosti 2024,

MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.

NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium).
Wasambaa wameamka sasa baada ya kutemeshwa bungo
 
Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;

MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

TAREHE: 19 Agosti 2024,

MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.

NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium).
Asante
 
Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;

MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

TAREHE: 19 Agosti 2024,

MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.

NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium).
Mtamchafua mama Abdul ohooo!!
Bora mpige kimya kama Lukuvi na Kabudi.
 
Back
Top Bottom