Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji7][emoji7]Msilete mambo ya U-oddo kwenye mambo ya taifa
Una uhakika kuna haya mapokezi watu tuahirishe shughuli zetu tuje Maweni na Mkwakwani? Ole wako utudanganye.Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;
MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
TAREHE: 19 Agosti 2024,
MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.
NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium).
Wanatoka Misri kwenda Canaan!Wanatoka wapi hadi wapokelewe Tanga!
Wametoka kwenye viti vya uwaziriWanatoka wapi hadi wapokelewe Tanga!
Mnawaponza na kuwaletea rabsha zaidi.Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;
MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
TAREHE: 19 Agosti 2024,
MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.
NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium).
Ndo mwenye mimba ya mtuJumaa Aweso atakuwepo?
AgreedHawawezi kuthubutu!
ameolewa?Oddo ni Dada mkubwa tunatamba nae hadi 2055.
Iv wakiwa mawazr walikuwawaga wanasikka majmbon kwao au ksa wametemeshwa ulaji aiseee bongo pagumuHaya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;
MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
TAREHE: 19 Agosti 2024,
MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.
NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium) - Nyumbani ni nyumbani.
Ratiba ni kama ifuatavyo
Saa 8:00 Mchana - Msafara kuingia uwanjani (Wote)
Saa 8:20 Mchana - Burudani na Utambulisho (MC)
Saa 8:40 Mchana - Chakula na Vinywaji (Wote)
Saa 9: 00 Alasiri - Hotuba (Waheshimiwa)
Saa 9: 30 Alasiri - Salamu kutoka Vikundi Mbalimbali (MC)
Saa 10 Jioni - Kutawanyika (Wote)