January na Oddo Ummy karibuni Nyumbani Tanga

Ila Wizara ya afya aisee?!
Hivi madaktari kupitia chama chao hawawezi kui shauri Serikali kuhusu Sifa za Waziri wa afya ?
Madaktari tangu alivyofanywa Ulimboka wamekuwa kama demotivated vile?!
Yaani kama bora liende?!
Tatizo liko kwa chama, hizi wizara technical ikiwemo ya ufundi, ziwe zinasimamiwa na professinals waliotokea huko
 
Tatizo liko kwa chama, hizi wizara technical ikiwemo ya ufundi, ziwe zinasimamiwa na professinals waliotokea huko

Sahihi kabisa.
Kama ambavyo wizara ya sheria na nyinginezo.
Sasa mtu bila kuwa conversant na mambo ya udaktari si atakuwa anapotoshwa kwenye maamuzi au ku-resist kwenye mambo ambayo umuhimu wake ni mkubwa sana.

Na sio Kwamba hawapo wenye vigezo hivyo isipokuwa Sijui tatizo ni kutokuwa na muda wa kutulia na kufanya maamuzi kwa kuwiwa ufanisi mkubwa ?!
 
Wenye vigezo wapo sana ila political barrier ambayo inataka mtu kutoka chama fulani tu, wakati nje kuna potential candidates
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…