Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kuna nchi Kama Vietnam ndo ambayo ni kimbilio, walienda china kwa sababu Kuna cheap labour na hakuna sheria madhubuti za kuwalinda wafanyakazi, kitu ambacho capitalist wanakitaka za kazi tofauti na developed countriesAngeshindwa kwa kukosa hela ya kutosheleza kuwekeza na kuendeshea biashara. Yani 1B inayowekeza China inakuwa ni zaidi ya hapo ikiwekeza Japan. Pia running costs zingekuwa kubwa nchini Japan.
Kama wangeweza kwa nini walienda China, kuna factors ambazo ziliwaweka uko.
Jifunze ku-type kwa usahihi kwanza. Huwa sibishani na mtu ambaye kuandika tu hawezi wakati mimi nilijua nikiwa chekechea. Au unataka kusema ni typing errors?Mtanzania wa kumtogole huwezi mbishia mjapani aliyesema atatoa million 500, Tanzania ndo nji pekee watu wanabishia watu na professional zao
apple, Nike, addidas, Samsung je hizo ni kampuni za kijapani, japani amesema ni kwa kampuni zake za kijapani tupende kujikita kwenye mada
Teh teh hapo upo kwa MtogoleSio rahisi kama watu wanavyodhani, kuhamisha kiwanda, supply chain, cost, pia usisahau market na profit
Hujiulizi kwanini kampuni kama general motor ma Ford walikataa hii ishu.
Hao Google wenyewe wanataka kurudi kwenye chaina market
Hapa ishu MIC2025. USA hataki, anajua anaenda kutolewa kwenye tech hub
Jini likujualo halikuli likakumalizaMarekani nae sio mkandamizaji?? Huyo ndo mnafiki mkubwa.........wote hapo hovyo hakuna wa maana sema tu mmoja anaona anazidiwa ndo anahangaika kujitetea ila hakuna msafi hapo kati ya Mmarekani na Mchina
Vietnam haina miundombinu kama China, haina umeme wa uhakika. Haina system sahihi kama railways. Haina population ya kureplace soko la China.Kuna nchi Kama Vietnam ndo ambayo ni kimbilio, walienda china kwa sababu Kuna cheap labour na hakuna sheria madhubuti za kuwalinda wafanyakazi, kitu ambacho capitalist wanakitaka za kazi tofauti na developed countries
hayo ni matumainio yako; lakini ukweli kwa sasa hivi ndivyo ulivyo. Hujajua nani atakayekuja madarakani tena; usiongelee mambo ya kufikirika. Akija mwingine akabadili mwelekeo tutaliongea lakini hali ya sasa ni hiyo.Philippines anaepush ni dutete, ambaye akiondoka akija rais mwingine atawarudia marekani, wa-philipines wengi hawasupport hiyo move kwa sababu diaspora wengi wapo marekani
Marekani hawez ondoka kienyeji enyeji sababu aliingia mikataba
Hata Korea Kusini, Singapore, Taiwan mlisema hivi hiviIRAQ imekua hv unavyoiona kwasababu yahao wasiopenda uonevu
UCHINA muache akaepale maana ndio panamstahili
Kama munaumia umieni tuu maana hakuna namna sasa...
Hata Libya kwa sasa wanateseka kama watoto yatima sababu ya hao USIRAQ imekua hv unavyoiona kwasababu yahao wasiopenda uonevu
UCHINA muache akaepale maana ndio panamstahili
Kama munaumia umieni tuu maana hakuna namna sasa...
Sio rahisi kama watu wanavyodhani, kuhamisha kiwanda, supply chain, cost, pia usisahau market na profit
Hujiulizi kwanini kampuni kama general motor ma Ford walikataa hii ishu.
Hao Google wenyewe wanataka kurudi kwenye chaina market
Hapa ishu MIC2025. USA hataki, anajua anaenda kutolewa kwenye tech hub
Ile ni process ambayo inaweza chukua hata miaka kumi sio kitu kinachofanyika abruptly na sio Vietnam Kuna indiaVietnam haina miundombinu kama China, haina umeme wa uhakika. Haina system sahihi kama railways. Haina population ya kureplace soko la China.
Uchumi wa Vietnam kwa mwaka jana ulikuwa unazidiwa na jimbo moja la China ambalo ni la 12 kwa utajiri. Yani China kuna majimbo 12 ni matajiri kuliko Vietnam.
Ile ni process ambayo inaweza chukua hata miaka kumi sio kitu kinachofanyika abruptly na sio Vietnam Kuna indiaVietnam haina miundombinu kama China, haina umeme wa uhakika. Haina system sahihi kama railways. Haina population ya kureplace soko la China.
Uchumi wa Vietnam kwa mwaka jana ulikuwa unazidiwa na jimbo moja la China ambalo ni la 12 kwa utajiri. Yani China kuna majimbo 12 ni matajiri kuliko Vietnam.
Nimeshangaa hawa wadau wana praise mchina, Mzungu ni mpigaji ila ni mtu mwenye chembe za Huruma na Dunia ni salama kwa vile iko chini ya wazungu US sasa siku superpower akiwa mchina au Mrusi tutegemee dunia kutokuwa salama tena mana hao jamaa wao ni kujali mambo yao tuHuwezi mlinganisha USA, na MCHINA, hata siku moja, mchina ni mnyonyaji hasa, na yeye kwake Demokrasia, ni msamiati, hata iweje huwezi sikia ana toa hata sauti kuwa kuna ukiukwaji wa Demokrasia, kwenye nchi husika, madam mambo yake yanakwenda vizuri!!! Wazungu wana unafuu sana!! Hiyo misaada gani ya ki ubinadamu anayotoa?? Bora mzungu kuliko, mchina na mrusi!!
Wale ni wazungu sio waafrika mkuu mambo anayofanya Trump hata Republican hawakubalian naehayo ni matumainio yako; lakini ukweli kwa sasa hivi ndivyo ulivyo. Hujajua nani atakayekuja madarakani tena; usingelee mambo ya kufikirika. Akija mwingine akabadili mweleko tutaliongea lakini hali ya sasa ni hiyo.
In 10 yrs to come china itakua nje ya 10ten mtaniambia...amuulize Mrusi atamwahadithia sawa sawa
Huwezi mlinganisha USA, na MCHINA, hata siku moja, mchina ni mnyonyaji hasa, na yeye kwake Demokrasia, ni msamiati, hata iweje huwezi sikia ana toa hata sauti kuwa kuna ukiukwaji wa Demokrasia, kwenye nchi husika, madam mambo yake yanakwenda vizuri!!! Wazungu wana unafuu sana!! Hiyo misaada gani ya ki ubinadamu anayotoa?? Bora mzungu kuliko, mchina na mrusi!!
Kweli mchina ni hatari anapambana vita ya kiuchumi haswa siyo ile ya bwana JPM. Yani anapigana na super powers karibia wote na bado hajaanguka.China amechina kweli..
Kawafanya nini..?
Niambie hio hela ndo italeta soko na kupunguza production cost!?Soma Tena wanapewa hela wakihama
Kwahiyo serikali itawaletea wateja? , na viwanda sio vya serikali, ni investor, na investors wanataka profit with cheap production costKwenye hiyo taarifa hujaelewa nini? Maana ya serikali kutenga hizo pesa ni kwa ajili ya kucover hayo uliyoandika hayawezekani.
Ingekuwa ni kujihamisha wenyewe hiyo ingekuwa ngumu.
sijakuelewa MKUU hem fafanua ...Hata Korea Kusini, Singapore, Taiwan mlisema hivi hivi
Halaf kuna watu wanajifanya kumuona US msafi eti maisha kweli bila unafiq hayaendi asee.....Hata Libya kwa sasa wanateseka kama watoto yatima sababu ya hao US