Japan kulipa $536 Million kwa makampuni yake 56 yahame kutoka China, yarudi nyumbani au nchi nyingine za Asia

Japan kulipa $536 Million kwa makampuni yake 56 yahame kutoka China, yarudi nyumbani au nchi nyingine za Asia

Huyo mzungu ana ubora gani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]?! Bora huyo mchina maisha yamekua rahisi mpaka bibi yako huko kijijini anavaa nguo if not for China Africa biashara mngefanyia wp mngezitoa wp?! .... huyo America demokrasia inakuja kwa nchi asizozitaka... nchi anazozipenda hata wakandamizwe Vipi hatii mdomo.. bora mchina kuliko huyo muanzisha vurugu duniani kwa maslai yake
Haha haha hadi house girl wao anamiliki smartphone kwasababu ya mchina

Waweza kukuta yupo hapa jf anawaponda wachina huku kapanda boda boda inamrudisha nyumbani au inampeleka kazini au kapanda youtong anatoka dar anakwenda mbeya ..but stil anamponda mchina


Aisee Africa tuna roho za kichawi sana
 
Kwahiyo serikali itawaletea wateja? , na viwanda sio vya serikali, ni investor, na investors wanataka profit with cheap production cost
Alafu tumia akili japan ni watu mil 126,wakati china 1b. Na ndio maana serikali imesema kwa watakao kubali sio executive order
Tumieni akili sio ushabiki
.
Ha ha ha ha hahah
 
Unachoongea hakiko proved na historia. Usalama wa dunia uliingia matatizoni kipindi Germany ni super power na leo dunia haina amani kwa kuwa USA ni super power. Hakuna nchi imeshambuliwa na kuwa destabilized na China toka kuundwa kwa taifa hilo 1949. Kinachotokea kwa majirani ni migogoro ya kawaida tu ambayo hata sisi tunayo na Malawi. Next time hizi propaganda zako ziwe zinaishia kwenye kumbi za video unakozitoa hapa ni kwa waelewa
Hahaa hahaa hiyo itakuwa ni id nyingine ya Frank wanjiru
 
Wangekua na akili wasingeyaachia hayo mashirika kwenda kuwekeza UCHINA wakati wao wanahizopesa zakuwapa kwanini wasingewapa kabla

Kuwaruhusu wakawekeze huko kwamamiaka kibao nasasa wanawataka wawarejeshe nikigezo tosha kama hawakuwahi kujaaliwa akili
Hahaa
 
Huyo mzungu ana ubora gani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]?! Bora huyo mchina maisha yamekua rahisi mpaka bibi yako huko kijijini anavaa nguo if not for China Africa biashara mngefanyia wp mngezitoa wp?! .... huyo America demokrasia inakuja kwa nchi asizozitaka... nchi anazozipenda hata wakandamizwe Vipi hatii mdomo.. bora mchina kuliko huyo muanzisha vurugu duniani kwa maslai yake
Mimi nashangaa sana kwenye hii mijadala ya Uchina na marekani na wa ulaya, kama wanaoponda mchina ni watoto wa miaka ya 2000 hivi nani hajui namna maisha yalivyokuwa magumu miaka ya 80 na 90 kwamba kumiliki tv tu ilikuwa anasa

Kiukweli mchina kuleta ili jambo la saizi yako kwamba unapata kutokana na mfuko wako wamesaidia sana kufanya maisha kuwa rahisi hao wamarekani mavitu yao bei sana na utility ni ile ile tu

Mchina adumu milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ukisema wizi, hata mmarekabi ni mwizi, tech nyingi unayoona ni either German au Mwingereza, kuanzia chip making, semiconductor, military tech,
Mmarekani sio wa kwanza kwenye tech revolution wala industrial revolution
Hiyo ya kuwatesa waislamu, mbona Viongozi wa nchi za kiarabu walialikwa na wakaenda mpaka Uigher hawakuona, we ulionanea wapi?
Dah, mkuu umenisikitisha, yani hoja zako ni very light
 
Kwahiyo kwa akili yako, Corona imeletwa na Mchina!?
Hivi we unajua kwanini CDC US ilifunga military bio weapons research center kwa ku violet protocol, soon after that ndo ikaja corona saga
 
Kwahiyo serikali itawaletea wateja? , na viwanda sio vya serikali, ni investor, na investors wanataka profit with cheap production cost
Alafu tumia akili japan ni watu mil 126,wakati china 1b. Na ndio maana serikali imesema kwa watakao kubali sio executive order
Tumieni akili sio ushabiki
.
Hivi unafikiri hao wenzako wanazungumza maneno matupu ya kwenye ghahawa na kashata? Washafanya empirical analysis ndio waka come up na hiyo conclusion. Na kwa taarifa yako, hizo bidhaa soko lao sio China, wanauza world wide. Hata wakihamishia mwezini bidhaa zenye ubira hazikosi wanunuzi. China ilikuwa ni kama production centre. Hivyo potential customers bado watakuwepo globally. Take into account siku hizi biashara hufanyika ki digitally.

Na isitoshe washakubali kuhama, wewe unaumia wao kuhama? Au una hisa kwenye hizo kampuni zilizikubali kuhama. How how did you invested? Nakushauri angalia mambo globally na sio locally.
 
Niambie hio hela ndo italeta soko na kupunguza production cost!?
Alafu unatakiwa uelewa japan wana demographic issue, then manpower shortages
Wata import watu kutoka Afrika.
(imekaaje hiyo mazee)
 
Marekani nae sio mkandamizaji?? Huyo ndo mnafiki mkubwa.........wote hapo hovyo hakuna wa maana sema tu mmoja anaona anazidiwa ndo anahangaika kujitetea ila hakuna msafi hapo kati ya Mmarekani na Mchina
Lakini, afadhali ya US, hao jamaa ni watu hatari sana. Ukatili huu wa haya makitu ya Corona, ujue ni jambo baya sana. Gonjwa lenyewe ukiambiwa ni natural la aina ya mafua, unaona kabisa ni jambo linalofikirisha sana. Kwa hili, mimi naona macho madogo analo la kuijibu dunia, hili dubwasha waliloleta ni nini hasa?!
So far watu 14+ million tayari wameshaambukizwa. Ni dubwasha ngumu sana kujilinda usilipate. Wachina wawe wakweli, hii kitu iliyokeaje hapo Wuhan, au kuna majaribio walifanya kwa maabara kwa bahati mbaya yakaja kwenye anga la kawaida? Hii inasambaa kwa haraka sana.
 
Back
Top Bottom