Japan: Waziri Mkuu amfuta kazi mwanawe kuwa msaidizi wake

Japan: Waziri Mkuu amfuta kazi mwanawe kuwa msaidizi wake

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Waziri Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amechukua uamuzi huo wa kumuondoa mtoto wake ambaye ni Katibu Mkuu wake kutokana na kuonesha tabia mbaya.

Hatua hiyo imekuja baada ya picha kuvuja, zikimuonesha kijana huyo, Shotaro akifanya sherehe pamoja na ndugu zake katika ofisi ya Waziri Mkuu huku wakionekana kufanya vitendo kadhaa vya utovu wa nidhamu.

Kishida amesema amechukua uamuzi huo kuonesha uwajibikaji.

=======

Japan’s Kishida sacks son as aide over ‘inappropriate behaviour’Japanese Prime Minister Fumio Kishida has said that he will remove his son from the position of his executive secretary amid mounting public outrage over a private party held at his official residence last year.

Kishida told reporters on Monday that his son, Shotaro, would step down as his executive secretary for political affairs due to “inappropriate behaviour”

Japanese Prime Minister Fumio Kishida has said that he will remove his son from the position of his executive secretary amid mounting public outrage over a private party held at his official residence last year.
Kishida told reporters on Monday that his son, Shotaro, would step down as his executive secretary for political affairs due to “inappropriate behaviour”.

The move came after the weekly Shukan Bunshun magazine published photos showing Kishida’s son and his relatives at the prime minister’s official residence attending a year-end party on December 30.

The photos showed the guests posing on red-carpeted stairs in an imitation of the group photos taken of newly appointed Cabinets, with the younger Kishida at the centre – the position reserved for the prime minister.

Other photos showed guests standing at a podium as if holding a news conference.

“His behaviour at a public space was inappropriate as someone who is in an official position as a political aide. I’ve decided to replace him for accountability,” Kishida told reporters on Monday night.
 
Afu hao hao Japan na shoga Yake USA ndo kila siku wanatupigia kelele afrika khs demokrasia na utawala bora[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Moto wake ambaye ni katibu wake kwa utovu wa nidhamu angefumba macho tu maana moto umleavyo ndiyo akuavyo
 
Waziri Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amechukua uamuzi huo wa kumuondoa mtoto wake ambaye ni Katibu Mkuu wake kutokana na kuonesha tabia mbaya.

Hatua hiyo imekuja baada ya picha kuvuja, zikimuonesha kijana huyo, Shotaro akifanya sherehe pamoja na ndugu zake katika ofisi ya Waziri Mkuu huku wakionekana kufanya vitendo kadhaa vya utovu wa nidhamu.

Kishida amesema amechukua uamuzi huo kuonesha uwajibikaji.

=======

Japan’s Kishida sacks son as aide over ‘inappropriate behaviour’Japanese Prime Minister Fumio Kishida has said that he will remove his son from the position of his executive secretary amid mounting public outrage over a private party held at his official residence last year.

Kishida told reporters on Monday that his son, Shotaro, would step down as his executive secretary for political affairs due to “inappropriate behaviour”

Japanese Prime Minister Fumio Kishida has said that he will remove his son from the position of his executive secretary amid mounting public outrage over a private party held at his official residence last year.
Kishida told reporters on Monday that his son, Shotaro, would step down as his executive secretary for political affairs due to “inappropriate behaviour”.

The move came after the weekly Shukan Bunshun magazine published photos showing Kishida’s son and his relatives at the prime minister’s official residence attending a year-end party on December 30.

The photos showed the guests posing on red-carpeted stairs in an imitation of the group photos taken of newly appointed Cabinets, with the younger Kishida at the centre – the position reserved for the prime minister.

Other photos showed guests standing at a podium as if holding a news conference.

“His behaviour at a public space was inappropriate as someone who is in an official position as a political aide. I’ve decided to replace him for accountability,” Kishida told reporters on Monday night.
Huyo Kishida siyo mzaramo kweli?
 
Back
Top Bottom