Japan yaandaa mizinga 1,000 ya masafa marefu, yakaa mkao wa kuikabili China

Japan yaandaa mizinga 1,000 ya masafa marefu, yakaa mkao wa kuikabili China

Huku Taiwan huku Mjapan, India baba lao naye amekaa pembeni anasoma mchezo tu. Kwa combination hii Mchina hawezi ingia vitani.

Ni mwanaume mmoja tu anayeweza akawa anapambana mpaka sehemu 5 kwa wakati mmoja na hatetereki kijeshi wala kiuchumi, na si mwingine ila ni USA.

Hata kama hatumpendi ila huyu mwamba tumpe heshima yake.
Utawauwa akina Putin wa Kivule mkuu
 
Huku Taiwan huku Mjapan, India baba lao naye amekaa pembeni anasoma mchezo tu. Kwa combination hii Mchina hawezi ingia vitani.

Ni mwanaume mmoja tu anayeweza akawa anapambana mpaka sehemu 5 kwa wakati mmoja na hatetereki kijeshi wala kiuchumi, na si mwingine ila ni USA.

Hata kama hatumpendi ila huyu mwamba tumpe heshima yake.
Aisee ni kweli USA ni baba la dunia tutake tusitake.
 
Sisi inatuhusu nini ?!, wao wanazo nguvu za kiuchumi, kisilaha na kiteknolojia isitoshe ni maadui wao kwa wao ambapo wakipigana watamalizana wao na kipindi hicho ndio itakuwa ni kipindi cha sisi kuamka kiuchumi na kiteknolojia kwani vita ikianza kwa mataifa hayo makubwa US, Russia, China, Koreas, NATO nk

dunia itayumba kisiasa na kiuchumi kwani hiyo itakuwa ni vita ya 3 ya dunia, sisi Waafrika tutaumia kwani tunawategemea pakubwa hao jamaa basi nadhani wakati huo ndio utakuwa muda wetu kujitambua na kuanza kujitegemea kukidhi mahitaji yetu bila wao.
unasema inatuhusu nini? Subiri Mama Tozo na mvaa scarf ya bendera kesho waje na kusema Petrol liter 10,000 na unga kila 5000 sababu China na Japana wanataka kupigana.
Inatuhusu kwa kila namna maana tumezungukwa na watawala ambao wamekaa kimaslahi zaidi. Sasa hivi chochote kinachojiri ulimwenguni athari tunaipata sisi sababu ya walafi kutumia kila nafasi waliyonayo.
 
Hiyo ndiyo itakuwa target ya kwanza atakapo ungana na maadui. Japan na Germany hawa sio marafiki wa kweli wa U.S.A ni marafiki wa kinafiki ikitokea Vita kuu ya tatu ya dunia hapo ndipo unafiki wao utakapo onekana yale mabomu ya Hiroshima na Nagasaki lazima yalipiwe kisasi na Japan.
Hakuna kitu kama hicho, hizo ni ndoto tu za kwenye vijiwe vya kahawa au kule masjid.
 
Duniani mataifa makubwa yameanza kunoa visu na makucha, yanajiweka mkao wa mapambano makali, hivi Waswahili tuko vipi, au tupo tupo tu siku ziende.

Tokyo, Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.

The missiles would be existing arms modified to extend their range from 100 kilometers (62 miles) to 1,000 kilometers, the newspaper said, citing government sources.

The arms, launched by ships or aircraft, would be stationed mainly around the southern Nansei islands and capable of reaching the coastal areas of North Korea and China, the Yomiuri said.

220821220243-01-japan-new-missiles-exlarge-169.jpg

Kwamba na sisi tuanze kunoa visu vyetu tupigane wenyewe kwa wenyewe bila sababu za msingi,Unajitia aibu aisee
 
Duniani mataifa makubwa yameanza kunoa visu na makucha, yanajiweka mkao wa mapambano makali, hivi Waswahili tuko vipi, au tupo tupo tu siku ziende.

Tokyo, Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.

The missiles would be existing arms modified to extend their range from 100 kilometers (62 miles) to 1,000 kilometers, the newspaper said, citing government sources.

The arms, launched by ships or aircraft, would be stationed mainly around the southern Nansei islands and capable of reaching the coastal areas of North Korea and China, the Yomiuri said.

220821220243-01-japan-new-missiles-exlarge-169.jpg

Wanikumbusha kisa cha Goliath hizi mbwembwe kwa Waumini Mungu ni sufi
 
Huku Taiwan huku Mjapan, India baba lao naye amekaa pembeni anasoma mchezo tu. Kwa combination hii Mchina hawezi ingia vitani.

Ni mwanaume mmoja tu anayeweza akawa anapambana mpaka sehemu 5 kwa wakati mmoja na hatetereki kijeshi wala kiuchumi, na si mwingine ila ni USA.

Hata kama hatumpendi ila huyu mwamba tumpe heshima yake.
Huyo fala huwa haendi kupigana bila colabo
 
Nitajie huo mwaka ambao Japan peke yake alipigana direct war na hayo mataifa makubwa uliyo yataja ?
Kwenye world war 2. Kulikuwa na side 2. Side ya kwanza ndo ilikikuwa us,uk,russia,france na china na ndo washindi wa ile vita ndo maana wana kura za veto pale UN na side ya pili ni Germany, japan, na italy. Ambao walishindwa vita.
 
Duniani mataifa makubwa yameanza kunoa visu na makucha, yanajiweka mkao wa mapambano makali, hivi Waswahili tuko vipi, au tupo tupo tu siku ziende.

Tokyo, Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.

The missiles would be existing arms modified to extend their range from 100 kilometers (62 miles) to 1,000 kilometers, the newspaper said, citing government sources.

The arms, launched by ships or aircraft, would be stationed mainly around the southern Nansei islands and capable of reaching the coastal areas of North Korea and China, the Yomiuri said.

220821220243-01-japan-new-missiles-exlarge-169.jpg

Marekani anawadanganya kabla hawajaipiga china korea atakiwa keshawabomoa zamani sana , yaaninwasije kujidanganya wanaingilia msiba usio wahusu kabisa bora waendelee tu kuunda magari
 
Huyu Japan amekuja kuwa fala baada ya kupigwa na USA ila alikuwa ndo mbabe apo Pacific
Kipigo cha man to man marekani hamuwezi mjapani, ile kumpiga ni sababu alitumia shortcut ya Nuclear bomb. Mjapan alikuwa anamsumbua sana USA
 
Kipigo cha man to man marekani hamuwezi mjapani, ile kumpiga ni sababu alitumia shortcut ya Nuclear bomb. Mjapan alikuwa anamsumbua sana USA
Ndio uko sahihi mkuu kuna watu hawajui historia wanawaona Japan Kama laini laini hawajui balaa lake Japan kwa sasa n Kama yuko dormacy yan amesizi lakin bado ana uhai na nguvu
 
Back
Top Bottom