Tena bora huyo Taiwan, India na Mjapan wanaweza kuiangusha serikali ya China completely, India ana nuclear pia.Aisee ni kweli USA ni baba la dunia tutake tusitake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena bora huyo Taiwan, India na Mjapan wanaweza kuiangusha serikali ya China completely, India ana nuclear pia.Aisee ni kweli USA ni baba la dunia tutake tusitake.
India ana nuclear, anamsubiri mchina ajitikise tu, mjapan vuguvugu lake sio la kitoto na pesa anazo. Hao wote wana nguvu za kijeshi, bado US na Canada hawajawapa misaada.Utawauwa akina Putin wa Kivule mkuu
Na hajawahi kumwaga damu ktk ardhi yake na hakuna hilo taraja. He is bright.Huyo fala huwa haendi kupigana bila colabo
Hakuna mshirika wa US akawa mchovu mchovu, hata China ni mshirika wa magharibi.Japan Ina uchumi mkubwa kuliko Russia, warusi wa ikwiriri watapinga
Unajua historia ya China kama haijaitwa China au umekula kandee na japana hakuitawala China yoteChina ilikuwa ni koloni la Japan hivyo wakae wakijua hilo kwamba historia inaweza ikajirudia.
Colabo inaanza kuwekwa maadui vikwazo kuwalegeza,Iraq,Iran..ili wasihenge misuli ya kumtandika kwake,Ila nyakati zimebadilikaNa hajawahi kumwaga damu ktk ardhi yake na hakuna hilo taraja. He is bright.
Wewe embu ingia mtandaoni ukatafute kwa hisani ya USANitajie huo mwaka ambao Japan peke yake alipigana direct war na hayo mataifa makubwa uliyo yataja ?
Na wachina wanalijua ilo, Ndio maana Xi-Jiping anakuwa mpole sana. Akifikiria majirani zake anaamua kukausha na machuma machuma yake. Anakuwa mpole maana majirani zake wana machuma machuma pia kama yeyeTena bora huyo Taiwan, India na Mjapan wanaweza kuiangusha serikali ya China completely, India ana nuclear pia.
Mjapan yupo vizuri, anaweza kabisa akamtandika China, tena akipewa Nuclear ndo kabisaaa.Na wachina wanalijua ilo, Ndio maana Xi-Jiping anakuwa mpole sana. Akifikiria majirani zake anaamua kukausha na machuma machuma yake. Anakuwa mpole maana majirani zake wana machuma machuma pia kama yeye
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Wengine wanazidi 30Huku Taiwan huku Mjapan, India baba lao naye amekaa pembeni anasoma mchezo tu. Kwa combination hii Mchina hawezi ingia vitani.
Ni mwanaume mmoja tu anayeweza akawa anapambana mpaka sehemu 5 kwa wakati mmoja na hatetereki kijeshi wala kiuchumi, na si mwingine ila ni USA.
Hata kama hatumpendi ila huyu mwamba tumpe heshima yake.
Kwa hiyo iliyotawaliwa na Japan haikuwa China ilikuwa ni India.Unajua historia ya China kama haijaitwa China au umekula kandee na japana hakuitawala China yote
Sidhani kama ni rahisi hilo kutokea, Japan ya Sasa sio ile ya 1940's....Ila U.S.A mwenyewe humuamini kabisa Japan siku Vita ya tatu ya dunia ikitokea nina uhakika wa 90% Japan atamsaliti U.S.A na kulipa kisasi chake .
Achana na hao ProRussia wa Buza akili zao na wanachokiandika wanajijua wao wenyewe 🤣