Utawauwa akina Putin wa Kivule mkuuHuku Taiwan huku Mjapan, India baba lao naye amekaa pembeni anasoma mchezo tu. Kwa combination hii Mchina hawezi ingia vitani.
Ni mwanaume mmoja tu anayeweza akawa anapambana mpaka sehemu 5 kwa wakati mmoja na hatetereki kijeshi wala kiuchumi, na si mwingine ila ni USA.
Hata kama hatumpendi ila huyu mwamba tumpe heshima yake.
Aisee ni kweli USA ni baba la dunia tutake tusitake.Huku Taiwan huku Mjapan, India baba lao naye amekaa pembeni anasoma mchezo tu. Kwa combination hii Mchina hawezi ingia vitani.
Ni mwanaume mmoja tu anayeweza akawa anapambana mpaka sehemu 5 kwa wakati mmoja na hatetereki kijeshi wala kiuchumi, na si mwingine ila ni USA.
Hata kama hatumpendi ila huyu mwamba tumpe heshima yake.
Wajapan hawana hayo mambo saiv.Ila U.S.A mwenyewe humuamini kabisa Japan siku Vita ya tatu ya dunia ikitokea nina uhakika wa 90% Japan atamsaliti U.S.A na kulipa kisasi chake .
1.chinaNitajie hayo mataifa makubwa matano Japan aliyopigana nayo direct war kwa wakati mmoja ?
unasema inatuhusu nini? Subiri Mama Tozo na mvaa scarf ya bendera kesho waje na kusema Petrol liter 10,000 na unga kila 5000 sababu China na Japana wanataka kupigana.Sisi inatuhusu nini ?!, wao wanazo nguvu za kiuchumi, kisilaha na kiteknolojia isitoshe ni maadui wao kwa wao ambapo wakipigana watamalizana wao na kipindi hicho ndio itakuwa ni kipindi cha sisi kuamka kiuchumi na kiteknolojia kwani vita ikianza kwa mataifa hayo makubwa US, Russia, China, Koreas, NATO nk
dunia itayumba kisiasa na kiuchumi kwani hiyo itakuwa ni vita ya 3 ya dunia, sisi Waafrika tutaumia kwani tunawategemea pakubwa hao jamaa basi nadhani wakati huo ndio utakuwa muda wetu kujitambua na kuanza kujitegemea kukidhi mahitaji yetu bila wao.
Kisasi huwa hakifutiki kitendo U.S.A alicho wafanyia hawawezi kusahau . Ndio maana walipigana bungeni ili kupitisha sheria Japan iwe na jeshi lake na hayo ni maandalizi tu ya kuja kulipa kisasi .Wajapan hawana hayo mambo saiv.
Nitajie huo mwaka ambao Japan peke yake alipigana direct war na hayo mataifa makubwa uliyo yataja ?1.china
2.russia
3.usa
4.france
5.uk
Hakuna kitu kama hicho, hizo ni ndoto tu za kwenye vijiwe vya kahawa au kule masjid.Hiyo ndiyo itakuwa target ya kwanza atakapo ungana na maadui. Japan na Germany hawa sio marafiki wa kweli wa U.S.A ni marafiki wa kinafiki ikitokea Vita kuu ya tatu ya dunia hapo ndipo unafiki wao utakapo onekana yale mabomu ya Hiroshima na Nagasaki lazima yalipiwe kisasi na Japan.
Kwa jina la baba, la mama na la Roho mkata dito hallelujahHakuna kitu kama hicho, hizo ni ndoto tu za kwenye vijiwe vya kahawa au kule masjid.
Kwamba na sisi tuanze kunoa visu vyetu tupigane wenyewe kwa wenyewe bila sababu za msingi,Unajitia aibu aiseeDuniani mataifa makubwa yameanza kunoa visu na makucha, yanajiweka mkao wa mapambano makali, hivi Waswahili tuko vipi, au tupo tupo tu siku ziende.
Tokyo, Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.
The missiles would be existing arms modified to extend their range from 100 kilometers (62 miles) to 1,000 kilometers, the newspaper said, citing government sources.
The arms, launched by ships or aircraft, would be stationed mainly around the southern Nansei islands and capable of reaching the coastal areas of North Korea and China, the Yomiuri said.
Japan considers deploying long-range missiles to counter China, newspaper reports | CNN
Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.edition.cnn.com
Muulize kisha mshangae, sisi ni waungwana Hata ilipofanyika kutano la kule Berlin kutugawa sisi hatukuwa na habari, ila Mola wao ndie kawafunza sasa kiko wapiKwamba na sisi tuanze kunoa visu vyetu tupigane wenyewe kwa wenyewe bila sababu za msingi,Unajitia aibu aisee
Wanikumbusha kisa cha Goliath hizi mbwembwe kwa Waumini Mungu ni sufiDuniani mataifa makubwa yameanza kunoa visu na makucha, yanajiweka mkao wa mapambano makali, hivi Waswahili tuko vipi, au tupo tupo tu siku ziende.
Tokyo, Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.
The missiles would be existing arms modified to extend their range from 100 kilometers (62 miles) to 1,000 kilometers, the newspaper said, citing government sources.
The arms, launched by ships or aircraft, would be stationed mainly around the southern Nansei islands and capable of reaching the coastal areas of North Korea and China, the Yomiuri said.
Japan considers deploying long-range missiles to counter China, newspaper reports | CNN
Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.edition.cnn.com
Huyo fala huwa haendi kupigana bila colaboHuku Taiwan huku Mjapan, India baba lao naye amekaa pembeni anasoma mchezo tu. Kwa combination hii Mchina hawezi ingia vitani.
Ni mwanaume mmoja tu anayeweza akawa anapambana mpaka sehemu 5 kwa wakati mmoja na hatetereki kijeshi wala kiuchumi, na si mwingine ila ni USA.
Hata kama hatumpendi ila huyu mwamba tumpe heshima yake.
Kwenye world war 2. Kulikuwa na side 2. Side ya kwanza ndo ilikikuwa us,uk,russia,france na china na ndo washindi wa ile vita ndo maana wana kura za veto pale UN na side ya pili ni Germany, japan, na italy. Ambao walishindwa vita.Nitajie huo mwaka ambao Japan peke yake alipigana direct war na hayo mataifa makubwa uliyo yataja ?
Marekani anawadanganya kabla hawajaipiga china korea atakiwa keshawabomoa zamani sana , yaaninwasije kujidanganya wanaingilia msiba usio wahusu kabisa bora waendelee tu kuunda magariDuniani mataifa makubwa yameanza kunoa visu na makucha, yanajiweka mkao wa mapambano makali, hivi Waswahili tuko vipi, au tupo tupo tu siku ziende.
Tokyo, Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.
The missiles would be existing arms modified to extend their range from 100 kilometers (62 miles) to 1,000 kilometers, the newspaper said, citing government sources.
The arms, launched by ships or aircraft, would be stationed mainly around the southern Nansei islands and capable of reaching the coastal areas of North Korea and China, the Yomiuri said.
Japan considers deploying long-range missiles to counter China, newspaper reports | CNN
Japan is considering the deployment of 1,000 long-range cruise missiles to boost its counterattack capability against China, the Yomiuri newspaper reported on Sunday.edition.cnn.com
WasabatoKwa hivyo waumini Mungu ndio wagani kati ya hao, Wachina au Wajapani au nyie Waarabu wa Bongo.
Kipigo cha man to man marekani hamuwezi mjapani, ile kumpiga ni sababu alitumia shortcut ya Nuclear bomb. Mjapan alikuwa anamsumbua sana USAHuyu Japan amekuja kuwa fala baada ya kupigwa na USA ila alikuwa ndo mbabe apo Pacific
Ndio uko sahihi mkuu kuna watu hawajui historia wanawaona Japan Kama laini laini hawajui balaa lake Japan kwa sasa n Kama yuko dormacy yan amesizi lakin bado ana uhai na nguvuKipigo cha man to man marekani hamuwezi mjapani, ile kumpiga ni sababu alitumia shortcut ya Nuclear bomb. Mjapan alikuwa anamsumbua sana USA