Japan yaandaa mizinga 1,000 ya masafa marefu, yakaa mkao wa kuikabili China

Utawauwa akina Putin wa Kivule mkuu
India ana nuclear, anamsubiri mchina ajitikise tu, mjapan vuguvugu lake sio la kitoto na pesa anazo. Hao wote wana nguvu za kijeshi, bado US na Canada hawajawapa misaada.
 
China ilikuwa ni koloni la Japan hivyo wakae wakijua hilo kwamba historia inaweza ikajirudia.
Unajua historia ya China kama haijaitwa China au umekula kandee na japana hakuitawala China yote
 
Na hajawahi kumwaga damu ktk ardhi yake na hakuna hilo taraja. He is bright.
Colabo inaanza kuwekwa maadui vikwazo kuwalegeza,Iraq,Iran..ili wasihenge misuli ya kumtandika kwake,Ila nyakati zimebadilika
 
Tena bora huyo Taiwan, India na Mjapan wanaweza kuiangusha serikali ya China completely, India ana nuclear pia.
Na wachina wanalijua ilo, Ndio maana Xi-Jiping anakuwa mpole sana. Akifikiria majirani zake anaamua kukausha na machuma machuma yake. Anakuwa mpole maana majirani zake wana machuma machuma pia kama yeye

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mjapan yupo vizuri, anaweza kabisa akamtandika China, tena akipewa Nuclear ndo kabisaaa.
 
Wengine wanazidi 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…