Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218

Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218

Mbona mgao unaoenda Zanzibar ni kubwa sana ukilinganisha na Tanzania Bara. Ukubwa wa Zanzibar ni kama Mkoa wa Lindi lakini mgawo waliopewa ni 218 billioni kati ya zaidi ya billioni 700. Hapana mgawo huo ni mkubwa sana.
 
Masuala ya maji Zanzibar si ya muungano! kuna SMZ na idara husika
Zanzibar iliruhusiwa kukopa yenyewe nje ya muungano

Kwanini Zbar inakopa kupitia JMT? Hili deni Zanzibar wanalilipa vipi?

Huu ni ujanja wa kukopa na kumtwisha Mtanganyika mzigo

Lakini pia angalia mgao wa mkopo ulivyo. Zanzibar ina watu 1.2 . Dsm ina watu milioni 6 !!

Katiba na Tanganyika ni muhimu kuliko uvyama. Hili deni unalipia ukiwa CUF,ACT, Chadema, CCM ilimradi tu wewe ni Mtanganyika! tafakari na ujiulize

Pascal Mayalla JokaKuu
Duh!...basi kero za muungano huenda zisiwepo tena kwa hali hii.
 
Duh!...basi kero za muungano huenda zisiwepo tena kwa hali hii.
Zilitatuliwa Kwa miezi michache tokea Hangaya aapishwe!Ikumbukwe hizo kero zilishindikana kutatuliwa Toka enzi za Nyerere,ila Hangaya akazitatue Kwa miezi tu!
Nadhani Umeelewa!
 
Mama anaupiga mwingi. Mpaka miaka minne iishe, Zanzibar itakuwa mbali sana kimaendeleo na madeni tutaachiwa kulipa Wadanganyika. Ndiyo maana ACT Zanzibar wametulia. Mdanganyika amka!
Mkuu inamaana ACT Wazalendo sio chama cha upinzani tena?
 
Mama anaupiga mwingi. Mpaka miaka minne iishe, Zanzibar itakuwa mbali sana kimaendeleo na madeni tutaachiwa kulipa Wadanganyika. Ndiyo maana ACT Zanzibar wametulia. Mdanganyika amka!
Mkuu inamaana ACT Wazalendo sio chama cha upinzani tena?
 
bakizeni machogo yenu hukohuko bara, mna vichwa kama Thierry Henry nchi nzima, nyie watu gani?

Na Nyie wenye Vichogo kama mmepigwa pasi hamjioni mpo rafu hata hamjijali kwa usafi
 
Sisi Watanganyika Elimu zetu hazijatusaidia kabisa. Tunapenda kupotosha mambo for unnecessary. Kuna tofauti Kati ya mgawo fedha kwa Zanzibar na utekelezaji wa mradi wa Serikali ya Muungano ndani ya Zanzibar. Pesa zimeombwa kea specific projects na moja Kati ya projects hizo ni hiyo ya maji Zanzibar. Kuna shida gani kwa serikali ya Muungano kutekeleza mradi wa maji Zanzibar? Mbona kule Arusha umetekelezwa mradi wa Bilioni 500+? Mbona JPM alitekeleza mradi wa shule za kisasa kila Wilaya Zanzibar na Pemba?
Pia ule mradi wa maji victoria kuleta shy tabora dodoma,
Shida watu wa bara tuna roho za kwanini sana,,, [emoji23][emoji23] yaani hatuna ustaarabu kabisa wala hikima, tumekaa kaa kama watindiga fulani,,,
Wakati tunavuta maji toka lake victoria , wazanzibar hawakulalamika,,, wao pia wanalipa kodi, [emoji851][emoji851]
 
Back
Top Bottom