Japan yaitangaza Tanzania kuwa Kitovu cha Uwekezaji, viwanda. Honda kujengwa nchini

Japan yaitangaza Tanzania kuwa Kitovu cha Uwekezaji, viwanda. Honda kujengwa nchini

Sidhan kama hayo yatawezekana kutokana na rushwa, ugoigoi, urasimu na ukosefu w weledi wa watendaji wa serikali hapa tz....
 
Kila siku nawaambia kikwete ni janga kubwa la taifa hamsikii, haya ngoja wajapan nao waje kuchuma kwa shamba la bibi.hizi 10% za kikwete na magamba zinaimaliza nchi.
 
Huu ni mpango wa Jk kugawa rasilimal zetu kama njugu kwa wagen sioni jipya hapa amekaa madarakani miaka sio chini ya nane siku zote alikua wapi ameona mda wake unayoyoma ameanza mtindo wa liwalo ni liwe kwani alie idhoofisha Reli ya Tazara na Reli ya kati ni nani si nihaya Dalbit (Rizi) ili wafanye biashara hakuna jipya kilasiku misaada ss hatutaki na sera zenu mboooooooovu hazina msaada ktk kuinua uchumi wetu.
 
we kweli mchumia2mbo!ni ushirikiano gan kati ya mwenye mtaji na ujuzi na m2 maskin asiye na maarifa?
 
Wabongo bna, kujinyanyua wenyewe imeshindikana, sasa kupewa ka msaada napo mnalalamika, acheni waje wasaidie bna, hivi shida iko wapi hata kama hela tunawalipa, kama mimi naweza kusafiri dar kwenda mwanza kwa train kwa haraka na bei nafuu zaidi shida iko wapi hata kama namlipa mtu wa nje? tatizo mnafikiria hela inaenda wapi mnasahau hata nyie wenyewe itakua rahisi kuzalisha hela mtu kama mtu, kwa mtu aliyeishi nchi za nje atagundua naongelea nini, kuna nchi kama South Korea ambayo imesaidiwa sana na USA, nenda ukashuhudie transport system ilivyo safi, kutoka eneo moja kwenda jingine bei ni sawa maeneo yote, ni kama mtu anasoma Dar ila kwao Morogoro na kila siku anaamka anawahi haraka tu, maisha yanarahisishwa, sasa mtu unataka kiwanda cha magari huku wao wametoa offer cha pikipiki, we cha magari afu umuuzie nani? hata viberiti tu vinafatwa Kenya sasa unaletewa cha pikipiki angalau ujifunze udevelop zaidi uweze kufanya cha magari unalaumu, chiiiiiiizi... Tanzania ipo katika hali ambayo haiwezi kujinyanyua yenyewe for as long as nchi zenye nguvu zipo, unadhani hazioni na wala haziwezi kuchukua action kubana Tanzania? unadhani Marekani ikiamua kuna kubisha? intelijensia ya bongo iko nyuma sana na teknolojia pia, wasumbue wawatumie magonjwa ya mlipuko muone kama hamjarudi kuomba msaada, mkitaka amani we walete wawasaidie, nchi inufaike watu waendelee hata kama mnawalipa maana wenyewe ishashindikana mtabaki mnapigizana kelele nchi nyingine zinapeta
 
Neemaaa zimefunguliwaa neema neeema zmfnglw tushndw wnyw
 
Kwa ulimwengu wa sasa hatuwezikwepa FDI..Swala ni kwamba sisi tumejiandaaje kunufaika uwekezaji huo kisera..kisheria n.k. Singapore na Ireland ni mifano mizuri ya nchi zilizotumia FDI na kuinua uchumi wao miaka ya 80's na 90's
 
kama ni kweli hii ni njema lakini kulitakiwa kuwe na jointventure fulani ili sote tunufaike
 
Safi kabisa. Wanaobeza ziara za Mhe. Rais nje ya nchi wanune wasinune wamesikia.
 
Natabiri jamani baada ya miaka 15 ijayo tanzania itakuwa kama somalia au kongo, na hili wala haliepukiki kwa sera mbovu za magamba ambazo hazina tofauti sana na mobutu.
 
Hata dunia nzima wangewekeza Tanzania hatuwezi kunufaika na sera mbovu ya 'sisi'-m, these sisi-m are very selfish.
 
I prefer japanese over chinese. Japanese are very smart and much more efficient
 
Katika yote wanayolenga, nafikiri wakijikita katika suala la reli ya kati - siyo kuboresha bali kuijenga upya - wtakuwa wametutendea la maana sana. Hayo mengine yatafuata tu bila hata kutumia nguvu kubwa. Lakini taarifa hii inaonyesha kama reli ni kipaumbele cha chini. Pikipiki hazitatusaidia sana na wala hazitofautiani sana na magari chakavu tunayonunua Japan!
 
Honda, Pikipiki!!!! Unanunua pikipiki hela inaenda Japan?? Matokeo ya JK na ziara zake za nje.
Mtu anaandika hapa halafu anajisifu kabisa ameleta uzi wa maana. Ujinga tu huu.
TZ mmeuwa viwanda vyenu vya kuzalisha kwa manufaa ya nchi yenu leo hii Mjapani anakuja kukuwekea kiwanda hapa tena cha pikipiki unaona ni fahari, u p u m b a v u mtupu.
Tutawafanyia kazi wajapani, wachina, wahindi, wakenya, waganda na dunia nzima tutaishia kuwa watumwa tu ktk nchi hii.
 
Tanzania haiwezi kuendekezwa na Wajapani,Wachina,Wamarekani au nchi yoyote ile Tuache ujinga na tupambane kuendeleza nchi yetu na sio kubweteka na misaada tu
 
Back
Top Bottom