Japhari Kubecha, Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM: Wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa diplomasia

Japhari Kubecha, Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM: Wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa diplomasia

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535

Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM, Ndugu Japhari Kubecha amesema wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa mambo ya diplomasia ndio maana alishindwa kumshauri Rais kufanya maamuzi sahihi na kupelekea mahusiano ya kidiplomasia na nchi nyingine kuwa dhaifu. Amesema hivi sasa Tanzania imerudi katika chati yake baada ya kuingia katika awamu ya sita. Ndugu Kubecha alisema hayo katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na Star TV
 
View attachment 2003271
Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM, Ndugu Japhari Kubecha amesema wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa mambo ya diplomasia ndio maana alishindwa kumshauri Rais kufanya maamuzi sahihi na kupelekea mahusiano ya kidiplomasia na nchi nyingine kuwa dhaifu. Amesema hivi sasa Tanzania imerudi katika chati yake baada ya kuingia katika awamu ya sita. Ndugu Kubecha alisema hayo katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na Star TV
Kwa hiyo Rais naye hakumuona au na Rais naye hakuwa na uzoefu?
 
View attachment 2003271
Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM, Ndugu Japhari Kubecha amesema wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa mambo ya diplomasia ndio maana alishindwa kumshauri Rais kufanya maamuzi sahihi na kupelekea mahusiano ya kidiplomasia na nchi nyingine kuwa dhaifu. Amesema hivi sasa Tanzania imerudi katika chati yake baada ya kuingia katika awamu ya sita. Ndugu Kubecha alisema hayo katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na Star TV
Hawa wanachama uchwara wakiachwa waendelee kumsema JPM huko mbeleni chama kitapata tabu sana.
Wakae wakijua JPM alikuwa ni mtu na nusu ...
 
Hivi JK,Membe na Dr.Migiro walipata wapi uzoefu kabla ya kuwa mawaziri wa mambo ya nje?
View attachment 2003271
Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM, Ndugu Japhari Kubecha amesema wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa mambo ya diplomasia ndio maana alishindwa kumshauri Rais kufanya maamuzi sahihi na kupelekea mahusiano ya kidiplomasia na nchi nyingine kuwa dhaifu. Amesema hivi sasa Tanzania imerudi katika chati yake baada ya kuingia katika awamu ya sita. Ndugu Kubecha alisema hayo katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na Star TV
 
Hawa wanachama uchwara wakiachwa waendelee kumsema JPM huko mbeleni chama kitapata tabu sana.
Wakae wakijua JPM alikuwa ni mtu na nusu ...
Wakae wakijua kuwa wanakula jasho la JPM bila yeye CCM isingekuwepo wanaomsema vibaya JPM wanajijengea mazingira magumu mbeleni

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
..anawalaumu Dr.Mahiga, na Dr.Kabudi, kwamba walikuwa hawana uzoefu, na walikuwa hawamshauri vizuri Raisi, hivyo kupelekea mahusiano yetu ya Kidiplomasia kuharibika.
 
Hizi tabia za kuwatukana watangulizi wake aliziasisis Maguguli mwenyewe tena alikuwa akiwatukana yeye mwenywe akishirikiana na Akina Musiba na Makonda sasa ngoja atukanwe Ipasavyo tena hawajapatia sawa sawa,,,, Magufuli alijiona yeye ndo tz na tz ni yeye
Hawa wanachama uchwara wakiachwa waendelee kumsema JPM huko mbeleni chama kitapata tabu sana.
Wakae wakijua JPM alikuwa ni mtu na nusu ...
 
Awamu ya 5 kuna watu waliponda maraisi waliopita.

Tuipinge sana hii kitu sababu ikiendelea haina afya kwa nchi na chama....

Naona inaendelea.
 
Hawa wanachama uchwara wakiachwa waendelee kumsema JPM huko mbeleni chama kitapata tabu sana.
Wakae wakijua JPM alikuwa ni mtu na nusu ...
Watajua hawajui..JK 2015 chama kilitaka kumfia mikononi. Ndio maana baada ya uchaguzi alienda kujificha msoga akiamini mjini akionekana atapopolewa mawe. Safari hii wakichakachua na watu wamejaa uelewa sijui watajificha wapi.
 
Hawa wanachama uchwara wakiachwa waendelee kumsema JPM huko mbeleni chama kitapata tabu sana.
Wakae wakijua JPM alikuwa ni mtu na nusu ...
Dikteta wenu ndio aliharibu taswira ya Chama chetu
 
Ndiyo shida ya viongozi wengi wa awamu ya tano na sita ni wanafiki afadhali awamu ya nne,, mda mwingi ni kusutuna tuuu
 
Back
Top Bottom