Japhari Kubecha, Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM: Wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa diplomasia

Kuna watu wanatakiwa wapimwe akili zao. Mtu mzima unasema ili kujipemdekeza. Wanaume hawajipendekezi. Jitafakari zaidi. JPM alifanya yake na mama anafanya yake bali CCM in ile ile.
 

Hapo atakuwa analengwa bwana mia kenda baada ya mwendazake kupumzika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…