Mfuate huko jehanam
Unauliza nyege Segerea jela?Umejuaje yupo huko?
Mengi makubwa yapi aliyoyafanya ambayo wazima walishindwa?kama kichaa ndio anakuwa bora kuliko marais wengine bora tutawaliwe na vichaa kichaa wetu kafanya mengi makubwa kuliko rais yoyote kumbe kichaa ni bora kuliko mtu mzima anaeruhusu wauza unga na ufisadi
Mke wake aliulizwa mumewe akiwa bado hajateuliwa kuwa mgombea, akiwa tu amejaza fomu, kuwa anamuonaje mumewe kama akiteuliwa kuwa mgombea? Naye alijibu, hafai hafai kabisa, tena namwona muda mwingine hayupo sawasawa.Kuna wakati alikuwa akiongea unaona kabisa huyu sio mtu mwenye akili za kawaida kwa level yake.
Niliwahi kuuliza kama anatumia kilevi nikaambiwa hatumii basi niliona kama alivyosema Mwenyekiti [emoji2]
Only mkewe ataconfirm na ninaamini ameona mengi atakuja kutueleza tu maana ile kichwa sio sawa kabisa
Hahahaha, mkuu hii umetia chogi 😃😃😃😃😃😃 jamaa so angemrukia vichwa mpaka afe 😃Mke wake aliulizwa mumewe akiwa bado hajateuliwa kuwa mgombea, akiwa tu amejaza fomu, kuwa anamuonaje mumewe kama akiteuliwa kuwa mgombea? Naye alijibu, hafai hafai kabisa, tena namwona muda mwingine hayupo sawasawa.
Ha ha ha; maneno ya kichaa yale! Binadamu mwenye afya ya akili huwezi behave vile.Alikuwa anajua mpaka idadi ya samaki baharini GENIUS [emoji848]
Wewe una ona Nini mnyororo au??Mods mko wapi? Huu nao ni uzi?
Ha ha ha; maneno ya kichaa yale! Binadamu mwenye afya ya akili huwezi behave vile.
Wewe una ona Nini mnyororo au??
... mwezi nchanga kaka![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilishangaa sana ana kifaa gani cha kuhesabu
Kumbe
Na wewe kichwa yako haiko vizuri!Vichaa wapo kila mahali mkuu, hata CHADEMA hawajawahi kujenga shule, zahanati, hospitali wala barabara lakini siku moja wanataka washike dola. Huu ni ukichaa pia. Anyway mwache mzee wa watu usitumie nguvu nyingi kuthibitisha uongo sio sawa. Kama nyie mlikuwa mnamchukia mimi nilikuwa nampenda sana.
Huyu hapaSijawahi kumwelewa.
Anakula pushup huku anaishi kwa remote.
Anasema mabeberu, vita vya uchumi huku anawakaribisha mabalozi ambao ni wazungu(mabeberu ilikuwa lugha ngumu sana)
Hata checkup ya afya yake alishindwa kwa kuwa na element za ubeberu.
Anatumia simu ambayo teknolojia wameshika hao mabeberu.
Sikumuelewa na sitamuelewa.
... mwezi nchanga kaka!
Na wewe kichwa yako haiko vizuri!
Unauliza nyege Segerea jela?