Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Waliokuwa karibu na familia wanajua hali iliyokuwepo, ndiyo maana wengine waliichukulia kauli ya mama, labda ilichangiwa na mahusiano yao. Tuishie tu hapo.Hahahaha, mkuu hii umetia chogi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] jamaa so angemrukia vichwa mpaka afe [emoji2]
Itoshe tu kusema marehemu alikuwa na tatizo la kiafya. Ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Wenye makosa makubwa ni wale walioruhusu mtu mwenye hali hiyo kupewa nafasi ya juu kabisa, huku akiwa hana mtu wa kumdhibiti juu yake.