Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Bashite alikuwa na power kuliko polepole kwa kuwa alikuwa mtoto pendwa kwa Magufuli.Hvi bashite ni wapi amewahi kua na nguvu ndani ya chama na serikali kumzidi polepole, au unaongelea ulopokaji?
No!, it's the other way round, Mwenezi ni mkubwa kuliko RC. Ukuu wa RC ni territorial, Mwenezi ni national wide!.Ukirudi power za kimajukumu,nafasi ya Ukuu wa Mikoa ni powerful kuliko ya Uenezi wa Chama.
Aaah acha utani mkuu, hivi si ndio huyu Makonda alikua untouchable anadhalilsha watu kwenye media, mara avamie studios, mara atukane bunge ila hachukuliwi hatua but Polepole hakua na status hiyo ya kufanya anachotaka aachwe!Hvi bashite ni wapi amewahi kua na nguvu ndani ya chama na serikali kumzidi polepole, au unaongelea ulopokaji?
Huyu Pole Pole tofauti na bashite labda mwenyezi mungu amchukue.Power is temporary my friend, kwani Bashite hakua na power kama hiyo? Hivi Polepole alikua na nguvu kuliko Bashite? Ila Leo hii Bashite yukowapi? Mtu kupewa wasaidizi wengi au kuwa na power haimaanishi ana influence Bali MAMLAKA. Yakiondolewa hizo connection zote zinakatwa in fact mpaka password zinabadilishwa na hutoweza access taarifa yoyote Tena.
Huyu jamaa mbishi na anamchukulia kirahisi sana Pole Pole na kumfananisha na bashite.Hvi bashite ni wapi amewahi kua na nguvu ndani ya chama na serikali kumzidi polepole, au unaongelea ulopokaji?
Unatia huruma sana, Paskali! Tangu zama zile mpaka sasa unasifu tu na bado teuzi zinakupita kando, hujachoka tu!!! Duh.....aisee!!!Wanabodi,
CCM ndio chama tawala na kwa Tanzania, tukubali tukatae, CCM ni chama dola. Tunapoelekea uchaguzi Mkuu wa rais na wabunge October 25, mgombea akiishapitishwa kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM, then huyo ndio tayari ni mshindi, zoezi la uchaguzi ni kukamilisha tuu taratibu za uchaguzi ili tuu kuhalalisha.
Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi, mambo yote ni CCM na ngoma yote ni jinsi ya kupata uteuzi kupitia CCM, ili mtu uteuliwe kuwa mgombea wa CCM ni lazima moja ya mambo matano haya yakuhusu zaidi ya kuwa na sifa na vigezo...
Sasa ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye nyadhifa, madaraka na mamlaka, kwenye power hierarchy ya ukubwa, mamlaka, madaraka na powers kutokea juu iko kama ifuatavyo
- Uwe na good track record ya utendaji uliotukuka
- Uonyeshe uwezo wa kukikisaidia chama na kuisaidia nchi
- Uonyeshe uwezo wa kujenga hoja na kujieleza ili kundi CCM
- Uwe na powerful godfather atakaye ku back up kwenye vikao vya uteuzi
- Uwe na kisu kujali, hivyo kila penye uzia wewe unapenyeza rupia.
Hiyo ndio power axis ya CCM
- Mweyekiti,
- M/Mwenyekiti Bara,
- M/Mwenyekiti Zanzibar
- Katibu Mkuu,
- Naibu Katibu Mkuu Bara
- Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
- Katibu Mwenezi
- Wajumbe wa Secretariat
- Wajumbe wa CC
- Wajumbe wa NEC
- Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa.
Sasa kati ya No.1-7, powers ziko vested kwa individuals, ila nimetokea tuu kati ya hao watu 7 ambao ndio power axis ya CCM, miongoni mwao kuna watu wana real powers na vested powers, real powers ni wale wenye nguvu from within, hizi powers za mtu zilizo ndani yake, na vested powers ni powers za mtu kutokana na nafasi yake, cheo chake au wadhifa wake, hivyo unakuwa mtu ana cheo kikubwa chenye madaraka na mamlaka lakini hana real powers from within.
Ndani ya wale top 7 wa CCM interns of vyeo, wadhifa na madaraka, Humphrey Polepole ndio wa mwisho!, but in terms of powers from within, kwa my opinion, Humphrey Polepole ni miongoni mwa the top 3 most powerful people ndani ya CCM kwa powers from within!.
Japo Humphrey Polepole ni very simple, mnyenyekevu, very humble and down to earth na akiongea, anaonekana very weak kutokana na kuwa na soft spoken voice, huwa anaongea kwa sauti ya chini bila ku shout kama sauti ya unyonge vile, but amini usiamini, this is where real powers of persuasion lies!.
Namna pekee ya kujua where real powers lies, lazima uwe na jicho la tatu la kumsikiliza mtu, na kuweza kusimsikia in between the lines, yaani mtu anapoongea Luna mambo anayaongea na katika kuongea huko, kuna mambo anakuwa anayajua lakini hajayaongea, hivyo kupitia jicho la tatu na sikio la tatu, utaisikia sauti ndani yako, " the voices from within" ambayo itakuambia yale ambayo mzungumzaji huyo anayajua lakini hajayasema.
Mimi nilimsikiliza Humphrey Polepole hapa katika tukio hili
Nilipomsikiliza ndipo nikabaini this is very Powerful person.
Kuhusu Polepole kuwa Powerful haina mashaka, bali nilibaki na maswali kuhusu what is the source of his powers.
Leo kupitia kipindi cha Sunday Worship kinachorushwa live na Wasafi TV, kila siku za Jumapili asubuhi, Jumapili ya leo, Mgeni mwalikwa ni Humphrey Polepole, kiukweli baada ya kumsikiliza leo Humphrey Polepole, ndipo sasa nimeelewa source of his powers!.
Kama kuna mtu anataka ku lobby chochote kutoka CCM na serikalini, then the man to look for is Humphrey Polepole.
Hivyo siku ile nilipopandisha bandiko hili
Nikawaambia kuwa namtafuta Humphrey Polepole, nadhani baada ya bandiko hili, sasa ndio mtaelewa ni kwanini namtafuta Polepole!.
Bado namtafuta, nasubiria Corona itangazwe rasmi kuwa imekwisha Tanzania, hivyo kazi ya kumtafuta Polepole iendelee.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
Membe ajawahi kuwa DG isipokuwa alikuwa ni senior tu kama NDAPI, MZEE SAD, hayati lyatonga etcMembe sio afisa kipenyo? Si alikua DG kabisa, vipi ana impact yoyote kwenye siasa za Tanzania?
Mbona ajapotezwa?Sijakataa Polepole is smart tokea namuona Tume ya warioba ila Kwa siasa zetu kila kiongozi akiingia anafanya reshuffle ya inner circle so hata uwe system, Rais asipokutaka utapotezwa tu.
Subiri 2025.... Kwani Makonda Yuko wapi? Si Hadi watu walisema anafaa kumrithi JPM 2025!! Leo 90% wameshamsahau. Sabaya ndio kapotezwa... Bashiru naye kaminywa kakaa kimya. Ndugai akijaribu kufurukuta kazikwa kisiasa na Mpina akijaribu kujitutumua akakatwa uNEC mkoa na kitaifa kaishia kumsifia Mama Samia Ili ahurumiwe!!Mbona ajapotezwa?
Lakini TISS pia Kuna siasa, Kuna fitna, Kuna makundi, double agents, n.k usidhani wote Wana mindset Moja. Ndio maana kina kigogo waliibuka enzi za JPM na ghafla wamerudi CCM, au kina chahali wakakimbilia ughaibuni n.k. so hata TISS ni hivyo hivyo.Membe ajawahi kuwa DG isipokuwa alikuwa ni senior tu kama NDAPI, MZEE SAD, hayati lyatonga etc
Kuna watu wapo kwenye vyama vyetu,NGOs,ikifika muda wa kupangiwa kazi wanafanya wewe ukiamini mwenzako.
Kwa hilo uliosema nakubaliana na wewe mkuu ila nilichokuwa nakieleza kuhusu Polepole tusimchukulie wa kawaida kisa alikuwa mwenezi chama tawala.Lakini TISS pia Kuna siasa, Kuna fitna, Kuna makundi, double agents, n.k usidhani wote Wana mindset Moja. Ndio maana kina kigogo waliibuka enzi za JPM na ghafla wamerudi CCM, au kina chahali wakakimbilia ughaibuni n.k. so hata TISS ni hivyo hivyo.
Wanabodi,
Ndani ya wale top 7 wa CCM interns of vyeo, wadhifa na madaraka, Humphrey Polepole ndio wa mwisho!, but in terms of powers from within, kwa my opinion, Humphrey Polepole ni miongoni mwa the top 3 most powerful people ndani ya CCM kwa powers from within!.
Japo Humphrey Polepole ni very simple, mnyenyekevu, very humble and down to earth na akiongea, anaonekana very weak kutokana na kuwa na soft spoken voice, huwa anaongea kwa sauti ya chini bila ku shout kama sauti ya unyonge vile, but amini usiamini, this is where real powers of persuasion lies!.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
Naunga mkono hoja, hata mimi niliwahi kushauri Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa? kisha Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!Watu watake, wasitake lazima Pole2 awe rais wa JMT. Hata kama yeye hataki, sie ^tutamlazimisha.^ 🙂
Kweli anaonekana!Naunga mkono hoja, hata mimi niliwahi kushauri Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa? kisha Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
P
Imebaki storyPolepole ni wa 3 kwa nguvu CCM baada ya JPM na Bashiru.
Wanabodi,
CCM ndio chama tawala na kwa Tanzania, tukubali tukatae, CCM ni chama dola. Tunapoelekea uchaguzi Mkuu wa rais na wabunge October 25, mgombea akiishapitishwa kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM, then huyo ndio tayari ni mshindi, zoezi la uchaguzi ni kukamilisha tuu taratibu za uchaguzi ili tuu kuhalalisha.
Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi, mambo yote ni CCM na ngoma yote ni jinsi ya kupata uteuzi kupitia CCM, ili mtu uteuliwe kuwa mgombea wa CCM ni lazima moja ya mambo matano haya yakuhusu zaidi ya kuwa na sifa na vigezo...
Sasa ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye nyadhifa, madaraka na mamlaka, kwenye power hierarchy ya ukubwa, mamlaka, madaraka na powers kutokea juu iko kama ifuatavyo
- Uwe na good track record ya utendaji uliotukuka
- Uonyeshe uwezo wa kukikisaidia chama na kuisaidia nchi
- Uonyeshe uwezo wa kujenga hoja na kujieleza ili kundi CCM
- Uwe na powerful godfather atakaye ku back up kwenye vikao vya uteuzi
- Uwe na kisu kujali, hivyo kila penye uzia wewe unapenyeza rupia.
Hiyo ndio power axis ya CCM
- Mweyekiti,
- M/Mwenyekiti Bara,
- M/Mwenyekiti Zanzibar
- Katibu Mkuu,
- Naibu Katibu Mkuu Bara
- Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
- Katibu Mwenezi
- Wajumbe wa Secretariat
- Wajumbe wa CC
- Wajumbe wa NEC
- Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa.
Sasa kati ya No.1-7, powers ziko vested kwa individuals, ila nimetokea tuu kati ya hao watu 7 ambao ndio power axis ya CCM, miongoni mwao kuna watu wana real powers na vested powers, real powers ni wale wenye nguvu from within, hizi powers za mtu zilizo ndani yake, na vested powers ni powers za mtu kutokana na nafasi yake, cheo chake au wadhifa wake, hivyo unakuwa mtu ana cheo kikubwa chenye madaraka na mamlaka lakini hana real powers from within.
Ndani ya wale top 7 wa CCM interns of vyeo, wadhifa na madaraka, Humphrey Polepole ndio wa mwisho!, but in terms of powers from within, kwa my opinion, Humphrey Polepole ni miongoni mwa the top 3 most powerful people ndani ya CCM kwa powers from within!.
Japo Humphrey Polepole ni very simple, mnyenyekevu, very humble and down to earth na akiongea, anaonekana very weak kutokana na kuwa na soft spoken voice, huwa anaongea kwa sauti ya chini bila ku shout kama sauti ya unyonge vile, but amini usiamini, this is where real powers of persuasion lies!.
Namna pekee ya kujua where real powers lies, lazima uwe na jicho la tatu la kumsikiliza mtu, na kuweza kusimsikia in between the lines, yaani mtu anapoongea Luna mambo anayaongea na katika kuongea huko, kuna mambo anakuwa anayajua lakini hajayaongea, hivyo kupitia jicho la tatu na sikio la tatu, utaisikia sauti ndani yako, " the voices from within" ambayo itakuambia yale ambayo mzungumzaji huyo anayajua lakini hajayasema.
Mimi nilimsikiliza Humphrey Polepole hapa katika tukio hili
View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ss
Nilipomsikiliza ndipo nikabaini this is very Powerful person.
Kuhusu Polepole kuwa Powerful haina mashaka, bali nilibaki na maswali kuhusu what is the source of his powers.
Leo kupitia kipindi cha Sunday Worship kinachorushwa live na Wasafi TV, kila siku za Jumapili asubuhi, Jumapili ya leo, Mgeni mwalikwa ni Humphrey Polepole, kiukweli baada ya kumsikiliza leo Humphrey Polepole, ndipo sasa nimeelewa source of his powers!.
Kama kuna mtu anataka ku lobby chochote kutoka CCM na serikalini, then the man to look for is Humphrey Polepole.
Hivyo siku ile nilipopandisha bandiko hili
Nikawaambia kuwa namtafuta Humphrey Polepole, nadhani baada ya bandiko hili, sasa ndio mtaelewa ni kwanini namtafuta Polepole!.
Bado namtafuta, nasubiria Corona itangazwe rasmi kuwa imekwisha Tanzania, hivyo kazi ya kumtafuta Polepole iendelee.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
Naunga mkono hojaKama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.
Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.
Wazungu husema "Save the best for the last"