Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

Bunge la vilaza watupu unadhani watafanya nn ,wakati wanajua walibaka ubunge wa bure, they have no confidence in everything that be discussed in the parliament and outside the parliament.
 
Paschal Mayala(Nzala)umeandika vizuri kwani umepongeza Sana.
Mkuu mhuli ya matenga , karibu pande hizi, nimekuleta hapa kwasababu maswali yako karibu yote yamejibiwa hapa.
Tuanzie hapa.
1. Umesema IGA ni makubaliano kati ya nchi na nchi. Je Dubai ni nchi? Tuelimishe hapo.
Hili nimelijibu kwenye point No. 2
2. Unajua kwamba kuna tofauti kati ya mkataba wa nchi na nchi na mkataba kati ya nchi na kampuni au taasisi? je ni mkataba upi unapaswa kupelekwa Bungeni? .
Hili nimelijibu kwenye point No.3
3. Tupo na awamu ya Samia, Magufuli ameingiaje hapo? Je mshindani mkuu wa Samia ni Magufuli?
Nimemuingiza Magufuli ili kuwafundisha watu kushukuru kwa madogo ili wapatiwe makubwa. Enzi za JPM tusingeshirikishwa kabisa!, sasa Mama Samia anatushirikisha, anashirikisha Bunge letu, badala ya watu kuwa na shukrani, ni kelele!.
4. Unadhani Watanzania wote Hawa wa ndani na Diaspora ni wajinga kupiga kelele zote hizi? Huoni kama kuna kitu hakiko Sawa?
Sio kuna kitu hakiko sawa ni kuna vitu na nimevitaja, ila kitu muhimu kuliko vyote ni nia Njema ya Rais Samia.
5. Bandari ni zetu, kwanini wao watupe masharti magumu hivyo, je kati ya sisi na wao nani alipaswa kumpa masharti mwenzake???
Anayetoa masharti ni donor, he who pays the piper, may call the tune, mwenye pesa!.
6. Wamekuambia hata kama uhusiano wa kidiplomasia utakufa wao mkataba wao uko pale pale? Bro imekaaje hiyo ? Huoni kama ni mtego?
No sio mtego, this is how it should be kwa all bilateral and multilateral contracts kati ya nchi na nchi na makampuni ili kuprotect the investment and the investor.
Ngoja niishie hapo bro. Bro sisi kutokuwa na mamlaka na umasikini wetu haimanishi kwamba na kichwani hazipo. Na si kweli kwamba kila tajiri na mwenye mamlaka ana akili kuliko wengine. Tunategemeana...
Naunga mkono hoja, but no matter una akili kiasi gani, if you are a beggar, you are a beggar!, beggars can not be chooses
P
 
Kwani hamuwezi kujibu bila kuweka lugha tofauti nakiswahili au kuna maneno hayataeleweka kwa kiswahili hadi yatamkwe kwa kingereza?
 
"Nimemuingiza Magufuli ili kuwafundisha watu kushukuru kwa madogo ili wapatiwe makubwa. Enzi za JPM tusingeshirikishwa kabisa!, sasa Mama Samia anatushirikisha, anashirikisha Bunge letu, badala ya watu kuwa na shukrani, ni kelele!."
By Pascal Mayalla.
My take;
Enzi za JPM hakushirikisha mambo haya ya hovyo bungeni kwani kulikuwa na wabunge mahiri wa upinzani wanaojitambua.
Hivi upuuzi kama huu wa bandari na DPW kina Heche, Msigwa, Mbowe, Mdee nk ungepita hata kama ni wachache? Kingenuka tuu.
Lakini sasa hivi kwa vile vimevaa viroba mle kila jambo linapita na pongezi juu.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

 
Dakika moja Burj Khalifa ni dollari milioni ngapi Tusaidiane
 
Nikuulize swali? Unaelewa tofauti ya IGA, HGA na BIT?? Kama unaelewa naona unajipotezea mda kuandika vitu ambavyo viko wazi. Kama unataka kuelimisha tueleweshane tofauti hizo tatu na kwa nini wamechagua walichofanya. Asante
 
Lobbing haikuhakishi mafanikio kwa hiyo watahesabu kama hasara za uwekezaji kwenye nchi zenye rushwa
 
Kwa dhambi Hii ya kuuza nchi yetu kwa wajomba zenu waarabu inshallah hamtabaki salama!
This is too simple kwani nani kasema wameuza wamepewa bure.Nitawashauri wawe kama the Indian giver after they gave the American their land they decided that they didn’t respect the land they came back and asked for it.
 
Ni mkataba,ushahidi huu hapa👇
View attachment 2653439
Na nyie waandishi wa habari mmetumika kama toilet paper pia,namba za simu kwa ajili ya miamala zinahitajika👇
View attachment 2653440
Huu ni mkataba au makubaliano kati ya nani na nani hilo ndilo swali ukisha pata jibu tutaendelea na maswali mengine. Kama jibu ni UAE na Tanzania. Uliza swali la pili kwa nini wamechagua IGA,HGA na sio BIT. Wakijibu hayo nataendelea kutoa somo zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…