Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

Ndiyo maana wakati wa BABA WA TAIFA watu walimwogopa Nyerere na sii kuheshimu mfumo wa kitaasisi na alivyoondoka kaondoka na yake...
Hiyo ya "kumwogopa Nyerere ni tafsiri yako mwenyewe ambayo ni potofu vile vile.
Wakati huo huo sijui kama unaelewa kwamba unajipinga mwenyewe. Kama 'kaondoka na yake" huo mfumo sasa unatoka wapi?
Kama kiongozi anaweza kuingia na kuweka utaratibu wa utendaji kazi na kuusimamia kikamilifu, ni "mfumo" upi huo unaomzuia kuleta ufanisi na mabadiliko chanya katika uendeshaji wa serikali anayoiongoza?

Tumeona Magufuli kaingia hapa, katikisa kila mahali, halafu mara hii tunarudi tena kwenye visingizio vile vile vya "mfumo", kwa kukosa tu haiba ya uongozi wa mtu aliyepo madarakani?

Huo "mfumo" ndio ulioruhusu aanze kuuza mali za waTanzania kiholela?
 
346828978_797202445053266_5284943867379519167_n.jpg
 
Hiyo ya "kumwogopa Nyerere ni tafsiri yako mwenyewe ambayo ni potofu vile vile.
Wakati huo huo sijui kama unaelewa kwamba unajipinga mwenyewe. Kama 'kaondoka na yake" huo mfumo sasa unatoka wapi?
Kama kiongozi anaweza kuingia na kuweka utaratibu wa utendaji kazi na kuusimamia kikamilifu, ni "mfumo" upi huo unaomzuia kuleta ufanisi na mabadiliko chanya katika uendeshaji wa serikali anayoiongoza?

Tumeona Magufuli kaingia hapa, katikisa kila mahali, halafu mara hii tunarudi tena kwenye visingizio vile vile vya "mfumo", kwa kukosa tu haiba ya uongozi wa mtu aliyepo madarakani?

Huo "mfumo" ndio ulioruhusu aanze kuuza mali za waTanzania kiholela?
Pole kwa kutonielewa.... Magufuli hakuimarisha mifumo ya kitaasisi [rejea uchaguzi], plae bargain, na mengine mengi kwa wafanyabiashara...

Alitumia mifumo dhaifu ya kitaasisi KUJIIMARISHA YEYE!!


Kwa hiyo shida ya NCHI ni kukosa kiongozi mwenye uthubutu wa KUIIMARISHA MIFUMO YA KITAASISI kuanzia Baba ya Taifa Mwalimu Nyerere hadi Mama yetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan...

Nikisema mifumo ya Kitaasisi namaanisha Taasisi ziwe strong, independent na zifanye kazi bila kuingiliwa.....

Nadhani unaweza kukumbuka UCHAGUZI MKUU WA KENYA MWAKA JANA kuanzia Tume ya Uchaguzi, Mahakama Kuu na mfano wa nchi nyingine kama South Africa.

Matokeo yake Nchi kwa AWAMU ZOTE imekuwa ikiendeshwa kwa kutegemea UTASHI WA KIONGOZI WETU MKUU.....

Natamani siku moja viongozi wetu wa Juu wachukue hatua Madhubuti kuimarisha Mifumo ya Kitaasisi na Taasisi zifanye kazi independently with more power kutekeleza majukumu yao.

Kama una UONI HAFIFU AU USHABIKI HAUWEZI NIELEWA....

Kama uko na Open Minded Utanielewa.

Haya mambo hata katiba Mpya bila Utashi itakuja kukidhi mahitaji ya Kwenda Ikulu, Bungeni na Kwenye mabaraza ya madiwani na sii interest za WANANCHI...
 
Kwa hiyo shida ya NCHI ni kukosa kiongozi mwenye uthubutu wa KUIIMARISHA MIFUMO YA KITAASISI kuanzia Baba ya Taifa Mwalimu Nyerere hadi Mama yetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan...
Hapa ndipo ninapokuona hujui unachozungumzia, kulinganisha uongozi wa Mwalimu na huyo "mama yenu."

Inaelekea hukumjua Nyerere, na kama unamjua kwa kusoma historia tu, basi hiyo historia hujaipata vizuri.
Nikisema mifumo ya Kitaasisi namaanisha Taasisi ziwe strong, independent na zifanye kazi bila kuingiliwa.....
Kenya nayo unaitolea mfano kuwa na "mfumo" wa kuigwa? Mfumo uliosimama juu ya 'corruption' nao unauona ni mfumo wa kutolea mfano?
Haya mambo hata katiba Mpya bila Utashi itakuja kukidhi mahitaji ya Kwenda Ikulu, Bungeni na Kwenye mabaraza ya madiwani na sii interest za WANANCHI..
Sasa utaanzia wapi na huo "mfumo" unaouzungumzia, kama hauendeshwi na Katiba imara? Ni lazima pawepo na utashi wa viongozi na viongozi hao hao wawe chini ya usimamizi wa katiba hiyo.
Matokeo yake Nchi kwa AWAMU ZOTE imekuwa ikiendeshwa kwa kutegemea UTASHI WA KIONGOZI WETU MKUU.....
Hata katika hili sikubaliani nawe. Kwanza unazungumzia nyakati na mazingira tofauti kabisa, kwa hiyo kulinganisha ya sasa na yale ya akina Nyerere hakuna uhalali wowote, licha ya kwamba, hata katika nyakati hizo chini ya chama kimoja cha siasa, maamuzi ya chama hayakuwa ya mtu mmoja kama unavyoamini hapa. Ndiyo maana nasema hujui Nyerere alitawala nchi kwa namna gani.
 
Hapa ndipo ninapokuona hujui unachozungumzia, kulinganisha uongozi wa Mwalimu na huyo "mama yenu."

Inaelekea hukumjua Nyerere, na kama unamjua kwa kusoma historia tu, basi hiyo historia hujaipata vizuri.

Kenya nayo unaitolea mfano kuwa na "mfumo" wa kuigwa? Mfumo uliosimama juu ya 'corruption' nao unauona ni mfumo wa kutolea mfano?

Sasa utaanzia wapi na huo "mfumo" unaouzungumzia, kama hauendeshwi na Katiba imara? Ni lazima pawepo na utashi wa viongozi na viongozi hao hao wawe chini ya usimamizi wa katiba hiyo.

Hata katika hili sikubaliani nawe. Kwanza unazungumzia nyakati na mazingira tofauti kabisa, kwa hiyo kulinganisha ya sasa na yale ya akina Nyerere hakuna uhalali wowote, licha ya kwamba, hata katika nyakati hizo chini ya chama kimoja cha siasa, maamuzi ya chama hayakuwa ya mtu mmoja kama unavyoamini hapa. Ndiyo maana nasema hujui Nyerere alitawala nchi kwa namna gani.
Pangua hoja kwa kuweka hoja....

Hakuna kiongozi yeyote wa nchi hii aliyewahi kuimarisha mifumo ya kitaasisi na kuzifanya TAASISI ziwe independent.....

Ndiyo maana kila anayeingia huanza na ya kwake na uelekeo anaoutaka......
 
Pangua hoja kwa kuweka hoja....

Hakuna kiongozi yeyote wa nchi hii aliyewahi kuimarisha mifumo ya kitaasisi na kuzifanya TAASISI ziwe independent.....

Ndiyo maana kila anayeingia huanza na ya kwake na uelekeo anaoutaka......
Unanipa taffsiri ya wapi hiyo?
Hiyo mifumo ya Kitaasisi ni ipi uliyo nayo kichwani mwako?

Hakuna "mifumo" isiyotegemea aina ya hiyo uliyonayo kichwani na bado ikafanya kazi kwa maslahi ya nchi husika?
 
Tatizo hayo unayoita makubaliano inaonekana yameshaanza kutekelezwa since October 2022, kwa maana nyingine hapo ni kwamba, bunge la CCM jana limeridhia makubaliano ambayo tayari yalishaanza kutekelezwa, hapo ukitazama kwa makini utaona kabisa bunge halikuwa na ujanja wa kupinga kitu ambacho kimesharidhiwa na serikali ya mwenyekiti wao Samia.

Hapa kwa ufupi niseme kwamba, bunge limetumika kuhalalisha uhuni uliofanywa na serikali, nalo kwa kutokujitambua, likabariki uhuni huo, hivyo hapo ni kama serikali inafurahi imempata mjinga mwingine wa kufa nae, huku Spika Tulia akiwa ndie kiongozi wa hao wajinga.

Nachotaka hayo makubaliano/mkataba yavunjwe, naona kabisa kuna vitu vingi ambavyo havina haki kwetu ajabu tumeweka saini kwenye yale makubaliano, na inapoonekana Mbarawa mzanzibari, na Samia mzanzibari wote wamehusika, ndio inaumiza moyo zaidi, hawa wawili wana nia mbaya na wabara, ukweli usemwe tu.
Mkataba wa kikwete wa gesi haukutufundisha kitu, au ndo hitaji la matumbo yetu
 
Pangua hoja kwa kuweka hoja....

Hakuna kiongozi yeyote wa nchi hii aliyewahi kuimarisha mifumo ya kitaasisi na kuzifanya TAASISI ziwe independent.....

Ndiyo maana kila anayeingia huanza na ya kwake na uelekeo anaoutaka......
Sidhani kama uko sahihi kusema kuwa hakuna kiongozi wa nchi hii aliyewahi kuimarisha taasisi za nchi yetu. Nadiriki kusema kuwa marehemu Ben Mkapa alikuwa muumini wa taasisi imara kama vehicles of a country’s development. Ndio maana alijitahidi sana kuifanya mahakama na Bunge kuwa independent institutions ; zilifanya kazi bila kuingiliwa wakati wa utawala wake sio kama sasa!
 
Sidhani kama uko sahihi kusema kuwa hakuna kiongozi wa nchi hii aliyewahi kuimarisha taasisi za nchi yetu. Nadiriki kusema kuwa marehemu Ben Mkapa alikuwa muumini wa taasisi imara kama vehicles of a country’s development. Ndio maana alijitahidi sana kuifanya mahakama na Bunge kuwa independent institutions ; zilifanya kazi bila kuingiliwa wakati wa utawala wake sio kama sasa!
You're very right, Je hivyo alivyovifanya viko engraved kwenye katiba in such a way judge yupo independent? Hapana anteuliwa na Rais na moja kwa moja hawezi kwenda kinyume na utashi wa Rais.....

Vipi taasisi zingine? Utaratibu ni uleule
 
You're very right, Je hivyo alivyovifanya viko engraved kwenye katiba in such a way judge yupo independent? Hapana anteuliwa na Rais na moja kwa moja hawezi kwenda kinyume na utashi wa Rais.....

Vipi taasisi zingine? Utaratibu ni uleule
The independence of the judiciary and legislature are enshrined in the constitution! Tatizo Lina kuja pale the Executive infringes the rights of the other two supposed independent institutions!
Rais anapokiuka katiba!
 
K
The independence of the judiciary and legislature are enshrined in the constitution! Tatizo Lina kuja pale the Executive infringes the rights of the other two supposed independent institutions!
Rais anapokiuka katiba!
ikatiba Judges wanateuliwa na nani? Jibu ni Rais tena bila kupitia mchakato mwingine wowote kama wa kujadiliwa na kuidhinishwa na institution nyingine yoyote...

Vipi Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi? Au Katibu wa Bunge?

Nadhani una majibu....

In reality the Executive powers on the other organs are enshrined in the Constitution not the other way round
 
P
Yapi maoni yako kuhusu DP World?
Au na wewe umeshalambishwa bahasha?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Karibu sana.
Kwanza nilianzia hapa, Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

ikaja kuwaomba waheshimiwa wabunge wetu, kwenye kuridhia IGA ya DPW, watangulize mbele maslahi ya taifa Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!.

Na baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia mkataba huo bila kufanya due diligence yoyote kumhusu Mwarabu wa Dubai na hadhi ya mkataba wenyewe, kwanza nikasisitiza kuunga mkono hoja, Hakuna Ubaya Wowote kwa Mtu Yoyote, Taasisi Yoyote, Nchi Yoyote Kusaidiwa Pale Inaposhindwa, Muhimu ni Kuwa Makini Tusipigwe. Je DPW Tunapigwa?.

Kisha nikahoji uwezo wa Bunge letu na uwezo wa wabunge wetu kujadili jambo kubwa kama hili Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu? .

Pia nikatoa angalizo la maeneo yenye ukakasi ili HGA iwe imenyooka Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! na kesho Jumapili, nitaandika makala kwenye gazeti la Nipashe kuhusu huu mkataba
P
 
Wanabodi,
.
  1. Mkataba wa IGA na HGA wa state parties inaingiwa kati ya serikali na serikali za nchi na nchi, hivyo ukisoma documents za makubaliano utaona ni kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya UAE, lakini signatories kwa serikali ya Tanzania ni serikali kweli, lakini kwa serikali ya UAE, signatories ni Mwarabu wa Dubai wa DP World na sio serikali ya UAE, kwenye mkataba wameandika serikali ya Dubai, Dubai is not a state, hivyo hapa kunauwezekano tunatapeliwa!. Serikali yetu inaingizwa mkenge kuingia mkataba na a private company disguised as a government of UAE kumbe ni kampuni binafsi!.View attachment 2653406
  2. Mkataba Kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ni batili kwenye sheria za kimataifa. Maana Dubai sio nchi, a sovereign state kama ilivyo Tanzania, Dubai hapa inajitambulisha kama a State Party, Dubai is not a state hivyo haiwezi kuwa a state party, it has no the capacity to transact as an international state IGA, haiwezi kuingia mikataba ya kimataifa na nchi na nchi!, inaweza kuingia mkataba wa kimataifa wa nchi na kampuni au kampuni na taasisi kama ilivyoingia na mamlaka ya Bandari, taasisi kwa taasisi, kama ilivyofanya hapa View attachment 2653409ambapo DP World iliingia mkataba na Mamlaka ya Bandari TPA, mkataba ambao Rais Samia aliushuhudia ukisainiwa kule Dubai during Expo Dubai.
  3. Sasa kampuni hii ya DP World iliyoingia mkataba na mamlaka ya Bandari, sasa inajigeuza nchi, sovereign state of Dubai, imeingia mkataba wa kimataifa wa state party na serikali yetu!, huku ni kututapeli!. Dubai is not a state, it's not a nation na nchi isiyo na sovereignty!. DP World is not a state, it's a private company, hapa imejigeuza ni nchi!. Huu sio utapeli?. View attachment 2653458
  4. Mikataba ya kimataifa ya state parties, inaingiwa kati ya nchi na nchi, hapa nchi inayotambuliwa ni Falme ya Kiarabu, UAE, ndio inayotambulika kwenye sheria za kimataifa as a state, na sio Dubai ambayo ni sehemu ya UAE, sio state, hivyo hapa kuna utapeli!. Due diligence ingefanyika, hili lingeonekana!.
  5. Status ya Dubai kwe UAE ni sawa na status ya Zanzibar ndani ya JMT, Zanzibar has no capacity to transact an international treaty kwasababu Zanzibar sio sovereign state, haina sovereignty. Dubai pia sio sovereign, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwaniaba ya Zanzibar, IGA na HGA inapaswa kuingiwa kati ya Tanzania na UAE na sio Tanzania na Dubai!.
  6. DPW ni kampuni kama inavyoonyesha hapaView attachment 2653462
  7. Wanasheria wanapoamua kufanya magumashi ya kisheria, wanakuzuga kwa maneno ya kweli kwenye mkataba, mfano hapa Dubai inatambulishwa kama nchi,View attachment 2653466lakini mkataba wetu hii iliyoandikwa kama nchi, sio nchi kweli bali ni kampuni ya DPW!.
  8. Kwa vile kwa upande wetu ni serikali yetu, ili kuonyesha IGA ni kati ya serikali mbili, hapa wameitaja kampuni ya kiserikali ili kuiserikalisha kampuni binafsi ya DPW kuwa ni serikali View attachment 2653471
  9. Hivyo mikataba ya HGA utaokuja kuingiwa na serikali yetu, sio mkataba wa kimataifa wa kiserikali kati ya serikali yetu na serikali ya UAE, lakini hakuna chochote cha UAE bali kampuni binafsi ya DPW iliyoserikalishwa na kujifanya ni serikali!.View attachment 2653477View attachment 2653481
  10. Kwa vile mikataba ya kimataifa inahusisha state parties, HGA inayokwenda kuingiwa ni HGA kati ya nchi ya Tanzania ambayo ni state na kuingia na DPW iliyo ji stetisha kama a state ambapo huu pia sio utapeli?.View attachment 2653488
Paskali.
nimesoma mkala yako, kwa uweledi mkubwa kama mtanzania,
Mkuu Hangaya the Chief , nimekuleta huku kwasababu hoja zako karibu zote, niliisha zijibu hapa
nimegundua na kuona yafuatayo;
1. kweli najua wewe ni msheria, ila andiko lako lina ombwe kubwa sana la sheria za investment,
Asante sana kwa angalizo, tena kwenye LL.B yangu ya UDSM, ni LL.B hons, na somo la investment law, mwalimu Mwalimu wangu ni Dr. Hawa Senare, na nilijenga kibanda!.
2. paragraph yako ya pili, unatushutumu kuwa hatujui IGA, na HGA na ulichokieleza kwenye andiko lako nadhani wewe ndio huna ufahamu wa hizo terms, na namna zinavyotumika kwenye sheria za uwekezaji.
Asante sana, naendelea kujifunza
2. udadavuaji wako wa IGA na HGA unaonyesha hujajipa kazi kuelewa implication za IGA in case of breach in HGA?, hivyo naweza kuhitimisha pia tafiti yako kwenye sheria za uwekezaji hujaitendea haki
Asante sana kwa angalizo hili. Nasubiria HGA ndipo niitendee haki investment law yangu!.
3. aidha kwa makusudi au kutokujua, ukisoma paragraph 8 umeeleza IGA imeenda Bungeni kwa hisani ya Samia hivyo tumpongeze kwa ujasiri, nilidhani kama wakili na mwandishi ingeeleza wajibu wa international agreement to be tendered to the parliament, confer (angalia) article (ibara) ya63 (3) (e) ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Asante sana kwa angalizo hili, nimepanga kuendelea kuelimisha umma hivyo huko nitafika.
4. ukiendelea kusema IGA sio mkataba, unawakosea sana Watanzania, aidha kwa makusubi au kwa kutokujua, the implication ya makubaliano ya mataifa mawili (bilateral agreement) kwa level ya international agreemeent.
Asante sana kwa angalizo, nitawatendea haki Watanzania.
5. ebu waeleze watanzania kwa nini tanzania imeingia IGA kwenye investment ya bandari?, usisimply kuwa kuwa sio mkataba, na level yake ni nini ulipopelekwa bungeni? tukivunja makabuliano ya IGA kinafuata nini, waeleze haya kwa mtazamo wa investment laws, na consequences zake in case of breach of HGA, na inatumikaje hiyo IGA
Asante sana kwa hoja hii, nitaifanyia kazi
6. mwisho napenda kuwashauri, ukisoma kuanzai paragraph yako ya kwanza hadi nane tayari umechagua upande, hivyo no neutrality ya kazi yako kama mwandishi,
Media ni mhimili, una independence powers zake kama mihimili mingine, msingi mkuu ni truthfulness, objectivity, impartiality and balance, lakini tunapokuja kwenye national interests, the media sio neutral, tuna side na patriotism.
please tumia sheria tueleze implication za IGA, and HGA kwenye investment laws.
I will do
P
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" kuhusu jambo lolote lenye maslahi makubwa kwa taifa letu liwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Mada ya leo ni kuhusu makubaliano ya kiserikali, IGA ambapo Bunge letu tukufu, limeridhia makubaliano hayo ya IGA kati ya Serikali yetu na kampuni ya DPW ya Mwarabu wa Dubai, kutuendeshea Bandari zetu, hata baada ya kuridhiwa na Bunge letu, ikithibitika pasipo shaka kuwa kuna mambo bado hayajakaa sawa, makubaliano hayo yanarekebishwa kabla ya kuingia mkataba wa HGA na serikali yetu, hivyo Tanzania kufaidika na mwekezaji kufaidika kwa kufikia a win win situation.

Angalizo la Uzalendo
Watanzania ni watu wa kuridhika kirahisi na sio watu wa kuhoji, hivyo unapotokea mtu kuhoji baadhi ya mambo makubwa kama haya, na kufuatia kuna baadhi ya watu wameupinga mpango huu, hivyo unawekwa kwenye kundi la wapinzani, na ukaonekana sio mzalendo, hivyo naomba nianze kwa declaration ya uzalendo na kusisitiza mimi sio mpinzani wa mpango huu, na bandiko hili limetanguliwa na mabandiko yangu matatu kuusuport mpango huu
1- Hakuna Ubaya Wowote kwa Mtu Yoyote, Taasisi Yoyote, Nchi Yoyote Kusaidiwa Pale Inaposhindwa, Muhimu ni Kuwa Makini Tusipigwe!. Je DPW Tunapigwa?.

2- Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

3- Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie? hivyo nawaomba sana wasomaji wangu, msiwe na wasiwasi kabisa kuhusu uzalendo wangu kwa nchi yangu!.

Kuna watu wana support hatua hiyo kwa hoja za msingi, kuwa DP World ni kampuni kubwa na ina uwezo mkubwa, inaendesha Bandari nyingi duniani, hivyo itatusaidia sana kuboresha uendeshaji wa Bandari yetu ya Dar es Salaam. Na kuna wanaopinga wakiwaita DP World ni matapeli, kufuatia kesi na migogoro mingi mahali pengi ambapo DP World wana operates, hivyo kitendo cha Bunge letu kuridhia hiyo IGA ya DP World bila kuifanyia a due diligence report, kumewafanya wachoke na kudhani, it's over, it's the end of the road kwa suala hili,. naomba kuwapa faraja na kuwatia moyo kuwa it's not the end!, it's not over yet until it's over!.

Hiyo HGA ni makubaliano tuu, MoU na sio mkataba, yaani ni an agreement na sio contract. Kila mkataba ni agreement, lakini sio kila agreement ni mkataba, mfano mzuri ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuunda Tanzania, ni makubaliano tuu na sio mkataba, mkifika mahali mkashindwa kuelewana, mnagawana tuu fito, kila mtu anasepa kivyake Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!.

Hivyo kile Bunge letu lilichoridhia, ni agreement tuu, tukiithibitishia serikali yetu, hawa DP World, pamoja na uzuri wao wote, pamoja na uwezo wao mkubwa wa kuendesha Bandari kibao, lakini ni matapeli na wana matatizo lukuki, hivyo serikali yetu iwe makini sana kabla ya kusaini HGA, na utepeli wao, ukiwekwa wazi hadharani peupe, kila mwenye macho aone, tutaisaidia sana serikali yetu, tutamsaidia sana Rais wetu Samia na kulisaidia taifa letu Tanzania tusiingizwe tena mkenge na Mwarabu wa Dubai kama alivyofanywa Chief Mangungo, hivyo serikali yetu, viongozi wetu na Bunge letu kuridhia fasta fasta kwasababu tuu, Mwarabu wa Dubai ni mtu Rahim, mkarimu, amemkirimu Mama yetu kuipaisha bure Tanzania kwenye Expo Dubai, akawakirimu waserikali wetu, kwa trips za Dubai, akawakirimu waheshimiwa wabunge wetu kwa trips za Dubai, na kuwakirimu waandishi wetu wa habari na media zetu kwa trips za Dubai.

Japo Rais wetu, Mama Samia, ana nia njema ya kweli na ya dhati kulisaidia taifa letu, lakini anapokutana na matapeli wa kimataifa wakamuingiza mkenge, sisi watu wa Mhimili wa Nne, the media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu kwa kuonyesha utepeli huo uko wapi, kisha serikali yetu ikiamua kuendelea na HGA ya Mwarabu wa Dubai, hivyo hivyo ilivyo, sisi watu wa media, tutakuwa na a clear conscious kuwa angalau tumetimiza wajibu wetu, tumeieleza serikali yetu inavyotaka kuingizwa mkenge na kutapeliwa, hivyo vipengele vya mkataba wa HGA viboreshwe na kazi, iendelee!.

Kwa vile mimi licha ya kuwa ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, kwa kujitolea kutetea bure haki kwa wasio na uwezo, hivyo nitawaletea makubaliano hayo na kuwachambulia kuwaonyesha jinsi tunavyotaka kutapeliwa mchana kweupe.
  1. Utapeli wa kwanza mkubwa, ni hakuna mtu yoyote kati yetu aliyefanya a due diligence report ya DP World, tunaelezwa ni Governmental Organisation, wakati sii kweli, it's a private company!. Kabla ya kuingia mkataba wowote, lazima kwanza kufanyike kitu kinachoitwa a due diligence process na kutolewa a due diligence report. Hili halikufanyika hivyo serikali yetu kujikuta inaingia mkataba wa kimataifa na parties to contract which has no capacity to contract international treaty hivyo ku vitiate makubaliano kugeuka void hivyo makubaliano hayo yanakuwa null and void ab initio!. NB. Mtu au kampuni, taasisi yoyote ya Kitaifa au kimataifa, inaweza kuingia mkataba na mtu, kampuni, serikali lakini sio international Treaty, ni international contracts or agreements za non state parties.
  2. Mkataba wa IGA na HGA wa state parties inaingiwa kati ya serikali na serikali za nchi na nchi, hivyo ukisoma documents za makubaliano utaona ni kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya UAE, lakini signatories kwa serikali ya Tanzania ni serikali kweli, lakini kwa serikali ya UAE, signatories ni Mwarabu wa Dubai wa DP World na sio serikali ya UAE, kwenye mkataba wameandika serikali ya Dubai, Dubai is not a state, hivyo hapa kunauwezekano tunatapeliwa!. Serikali yetu inaingizwa mkenge kuingia mkataba na a private company disguised as a government of UAE kumbe ni kampuni binafsi!.View attachment 2653406
  3. Mkataba Kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ni batili kwenye sheria za kimataifa. Maana Dubai sio nchi, a sovereign state kama ilivyo Tanzania, Dubai hapa inajitambulisha kama a State Party, Dubai is not a state hivyo haiwezi kuwa a state party, it has no the capacity to transact as an international state IGA, haiwezi kuingia mikataba ya kimataifa na nchi na nchi!, inaweza kuingia mkataba wa kimataifa wa nchi na kampuni au kampuni na taasisi kama ilivyoingia na mamlaka ya Bandari, taasisi kwa taasisi, kama ilivyofanya hapa View attachment 2653409ambapo DP World iliingia mkataba na Mamlaka ya Bandari TPA, mkataba ambao Rais Samia aliushuhudia ukisainiwa kule Dubai during Expo Dubai.
  4. Sasa kampuni hii ya DP World iliyoingia mkataba na mamlaka ya Bandari, sasa inajigeuza nchi, sovereign state of Dubai, imeingia mkataba wa kimataifa wa state party na serikali yetu!, huku ni kututapeli!. Dubai is not a state, it's not a nation na nchi isiyo na sovereignty!. DP World is not a state, it's a private company, hapa imejigeuza ni nchi!. Huu sio utapeli?. View attachment 2653458
  5. Mikataba ya kimataifa ya state parties, inaingiwa kati ya nchi na nchi, hapa nchi inayotambuliwa ni Falme ya Kiarabu, UAE, ndio inayotambulika kwenye sheria za kimataifa as a state, na sio Dubai ambayo ni sehemu ya UAE, sio state, hivyo hapa kuna utapeli!. Due diligence ingefanyika, hili lingeonekana!.
  6. Status ya Dubai kwe UAE ni sawa na status ya Zanzibar ndani ya JMT, Zanzibar has no capacity to transact an international treaty kwasababu Zanzibar sio sovereign state, haina sovereignty. Dubai pia sio sovereign, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwaniaba ya Zanzibar, IGA na HGA inapaswa kuingiwa kati ya Tanzania na UAE na sio Tanzania na Dubai!.
  7. DPW ni kampuni kama inavyoonyesha hapaView attachment 2653462
  8. Wanasheria wanapoamua kufanya magumashi ya kisheria, wanakuzuga kwa maneno ya kweli kwenye mkataba, mfano hapa Dubai inatambulishwa kama nchi,View attachment 2653466lakini mkataba wetu hii iliyoandikwa kama nchi, sio nchi kweli bali ni kampuni ya DPW!.
  9. Kwa vile kwa upande wetu ni serikali yetu, ili kuonyesha IGA ni kati ya serikali mbili, hapa wameitaja kampuni ya kiserikali ili kuiserikalisha kampuni binafsi ya DPW kuwa ni serikali View attachment 2653471
  10. Hivyo mikataba ya HGA utaokuja kuingiwa na serikali yetu, sio mkataba wa kimataifa wa kiserikali kati ya serikali yetu na serikali ya UAE, lakini hakuna chochote cha UAE bali kampuni binafsi ya DPW iliyoserikalishwa na kujifanya ni serikali!.View attachment 2653477View attachment 2653481
  11. Kwa vile mikataba ya kimataifa inahusisha state parties, HGA inayokwenda kuingiwa ni HGA kati ya nchi ya Tanzania ambayo ni state na kuingia na DPW iliyo ji stetisha kama a state ambapo huu pia sio utapeli?.View attachment 2653488
  12. Kwa Tanzania mamlaka yote ya nchi, mtu yoyote ili asaini mkataba wa kimataifa wa kuiingiza nchi, anapaswa apewe the Power of Attorney na Rais wa JMT. Hii hapa chini ni POA ya Rais Samia kumpa mamlaka Prof. Mbarawa kuingia huo mkataba kwa niaba ya Tanzania, View attachment 2653454POA hii kisheria ni defective, kwasababu japo imesainiwa na Rais Samia, lakini haina muhuri wa rais, au muhuri wa serikali, hizi documents za kisheria ikisemwa POA must be signed and stamped by the official seal, lazima iwe hivyo, not otherwise!, kama walivyofanya hawa counter parts hapa chini.View attachment 2653455
  13. Ili serikali yetu iingie kwenye mkataba wa kihalali wa kimataifa na taasisi ambayo sio nchi, kulitakiwa kuwepo POA toka UAE kuipa mamlaka Dubai kuingia mkataba wa kimataifa kwa niaba ya UAE, then ndipo Emirate wa Dubai angeweza kuwapa POA DPW kujigeuza ni nchi.
  14. Hapa Prof. Mbarawa almanusura angekosea kusaini View attachment 2653452
  15. Hakuna ubaya wowote kwa kampuni yoyote kuingia mkataba na serikali under PPP, lakini hili la kampuni binafsi iliyo serikalishwa kuingia an International treaty na serikali yetu, halikakaa vizuri!.
  16. Jambo jingine, kuna kipengele cha kuizuia nchi isiendeleze Bandari nyingine, hivyo kuiweka mashakani Bandari ya Bagamoyo, hili halikubaliki hata kidogo!.
Hitimisho
Kwa vile Rais Samia ana nia njema ya dhati kuisaidia nchi yetu, wasaidizi wa rais na sisi Watanzania wengine wote tuna wajibu wa kumsaidia rais wetu na kulisaidia taifa letu na huu ndio uzalendo wa kweli.

Paskali.
Tukisema nchi imeuzwa wanakataa?
What is a social inference?
Making social inferences means understanding information that is inferred or not directly stated. It involves observing a situation, then using clues with background knowledge of an observer to figure out what has happened or what is happening.
An observer in this case is Tanzania members of parliament and state advocates
 
Back
Top Bottom