Japo Godbless Lema ametangaza nia ya kurudi nyumbani, na kwamba yuko tayari kwa lolote, naamini Mbowe atamtaka asirudi nyumbani

Japo Godbless Lema ametangaza nia ya kurudi nyumbani, na kwamba yuko tayari kwa lolote, naamini Mbowe atamtaka asirudi nyumbani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
 
Waje lakini wawe makini na hatua zao, naamini watatafutiwa sababu yoyote na hii serikali dhalimu ilimradi wafungwe mdomo, we are in a critical stage in a do or die situation at the moment.

Uwepo wake utasaidia kuamsha hari ya wengine kwenye kulaani ukandamizaji unaofanywa na CCM kupitia mahakama, na jeshi la polisi, naamini na Lissu nae atafikiria hatma yake ni ipi kama akiendelea kuwa nje ya nchi muda mrefu kwa siasa zetu.

Kina Sugu naona baada ya Samia kuingia madarakani wakaanza kumsifia anafungua milango matokeo yake amejifunga kisaikolojia sasa hivi yuko kimya hawezi kukemea lolote analinda biashara yake, Msigwa niliona tangazo anarudi kanisani.
 
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
Nani alimfukuza Lema?
Nani ana shida na Lema?
Yeye arudi apambane na hali yake?
Maisha yameisha mpiga kule maana kule hajapewa hadhi ya ukimbizi aliotarajia!
 
Asirudi, mbali ya hujuma,mateso na unafiki anaoweza kufanyiwa akirejea, anafanya jukumu muhimu kulisemea taifa akiwa huko.
 
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.

Kuna watu wameumbwa na mioyo fulani ya uchungu, Lema nimeshakaa naye mara chache kuzungumza he is one of them!

Dhulma kwa Mbowe na moyo wake wa dhati ndo vitamrudisha, na atakuja kweli, ila laiti CCM wangejua, wangekuwa wapole.
 
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
Sasa kamanda kwanini asirudi? Kwa faida ya nani? Mi nafikiri ni muda sasa wa makamanda wote kurudi. Tundu Lissu pia..watakaa wanaogopa mpaka lini?
 
Back
Top Bottom