Waje lakini wawe makini na hatua zao, naamini watatafutiwa sababu yoyote na hii serikali dhalimu ilimradi wafungwe mdomo, we are in a critical stage in a do or die situation at the moment.
Uwepo wake utasaidia kuamsha hari ya wengine kwenye kulaani ukandamizaji unaofanywa na CCM kupitia mahakama, na jeshi la polisi, naamini na Lissu nae atafikiria hatma yake ni ipi kama akiendelea kuwa nje ya nchi muda mrefu kwa siasa zetu.
Kina Sugu naona baada ya Samia kuingia madarakani wakaanza kumsifia anafungua milango matokeo yake amejifunga kisaikolojia sasa hivi yuko kimya hawezi kukemea lolote analinda biashara yake.