Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
True shetani ashapigwa minyororo Hakuna tishio la corona tenaSasa kamanda kwanini asirudi? Kwa faida ya nani? Mi nafikiri ni muda sasa wa makamanda wote kurudi. Tundu Lissu pia..watakaa wanaogopa mpaka lini?