Japo Godbless Lema ametangaza nia ya kurudi nyumbani, na kwamba yuko tayari kwa lolote, naamini Mbowe atamtaka asirudi nyumbani

Maisha yako yakiwa magumu usifikirie na wengine wote wana maisha kama yako.
Maisha ya kuishi ukimbizini hayajawahi mpa mtu raha ya rohoni,acha kujifariji.
Lema hakuwa na sifa za ukimbizi na hivyo kwa kiasi kikubwa anaishi kwa kutegemea mfuko wake binafsi.
Lema pia hana kiwango chochote cha elimu kuweza kumruhusu kufanya kazi nchini Canada.
Hii imebuma yeye arudi asote mtaani kama kina Heche na wenzake kina Msigwa na kampuni yote.

CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO.
 

Muda wa uchaguzi umekaribia? Ww utakuwa ni mzee, au mpiga propaganda fala.
 
Kumbe shida hakuwa Uncle???
 
Mbwembwe tu, aje alipe madeni hakuna kingine
 
Manategemea muujiza gani? Watu ni hawa hawa, Bunge ni hovyo la kizuzu,Serikali ndio hivyo tena hohehahe, halafu eti Mahakama iwe super,hao watu watatoka wapi maana ni miongoni mwa watu wa serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…