Kuna vitu, ukiona au ukisikia, vingine, mwisho wa uwezo wako ni kusema na kunyamaza, na kuna vingine, ukiona ni kunyamaza kimya kabisa!, Kinyamwezi wanasema "funga kalomo", hivyo ukisema, ukapuuzwa, unafunga kalomo!, siku ya siku, unarejea kukumbusha tuu kuwa tulisema lakini!, tulishauri!, kama ushauri wangu kwenye
HII .
P