Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Point nzur sana

Uwongo kwa msingi wa ku escape some bad reality sio mbaya kama uwongo wa kuuwa na kufitini wengine ili wewe upande...
Uwongo wa TL ni mbaya sana.

Bahati mbaya anawafitini waliombeba sana..

Sasaivi anasingizia kutaka kuuwawa na anavaa BP vest kabisa....

Muwongo na Mulozi ni watu wa "kuchoma"
TL amepungukiwa hekima sana.

Hato mengine ya Kuropoka kila kinachokuja kinywani vingekuwa vinatoka kwa Busara angekuwa moja ya asset kubwa sana CDM.

Ila hii ya kupaka watu matope ili upande ngazi ni tabia chafu sana.

Muda utasema, ila kuaminika kwake kwa sasa kuko tinted sana.
 
Hoja yako

Una hoja nzuri na inaeleweka.
Japo kuna mambo kwa namna yoyote hayawezekani!
Muda wa CCM kuondoka madarakani kwa sasa Bado sana.!
Tatizo haliko upinzani peke yake.
Lakini uhalisia ni kwamba pamoja na madhaifu makubwa waliyonayo wapinzani lakini CCM wana mipango imara ya kuendelea kukaa madarakani.
Inajulikana rais Samia ni mwenyekiti wa chama tawala na 2025 anagombea.
Kwa nafasi yake kama mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu na mwenyekiti wa chama tawala.
Kumuondoa madarakani ni kazi ngumu sana hata wapinzani wakiungana wote na kusimamisha mgombea mwenye sifa zote za kuwa rais wa TZ ambaye hana doa lolote sio rahisi hata kidogo 2025 wapinzani kuiona ikulu.
Mkuu Maiko Dudi, Michael Dudicoff , numbers don't lie Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Wanabodi,

Kuna msemo usemao numbers don't lie, hili ni bandiko la numbers na data,

11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye 2015 hatakuwa mke tena, bali atageuka mume kule Zanzibar, CUF ndiye kidume cha Zanzibar 2015 na kumuoa huyo mume aliyenae sasa 2015 ategeuzwa mke!.

13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

14. Voting statistics[/SIZE][/COLOR]

Tanzania: 2010 Presidential election results
Updated January 2010

The United Republic of Tanzania elections for parliament and the presidency were held on 31 October 2010.


Voting statistics
Registered Voters 20 137 303
Total votes 8 626 283
% Turnout 42.84
Valid votes 8 398 394
Spoilt votes 227 889
% Spoilt votes 2.64

Table source
Commonwealth 2010, 31.

Results
Candidate Party Votes % Vote
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5 276 827 62.83
WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2 271 941 27.05
Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695 667 8.28
Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96 933 1.15
Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26 388 0.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17 462 0.21
Yahmi Nassoro Dovutwa United People's Democratic Party (UPDP) 13 176 0.16
Total
8 398 394 99.99

Table source
Commonwealth 2010, 31.

References
COMMONWEALTH 2010 Report of the Commonwealth Observer Group: Tanzania General Elections 31 October 2010.

15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 30, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 5 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 25 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM! na Watanzania wengi zaidi ambao hawajiandikishi na hata wakijiandikisha hawajitokezi kupiga kura!. The magic ni uhamasishaji na reaching out kuwafikia!.

17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote -haswa hawa grassroots level na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea maandamano na mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of "changing the mindset" ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV and convert chumba kimoja pale Ufipa into a modern studio! na kuwa na YouTube Channel yake ya live stream na active interactive social media pages, Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu! CCM ina media yake na TV yake ya TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .

Wasalaam.

Paskali


NB. Paskali, sasa ni mwanachama, mfuasi na mshabiki wa chama fulani cha siasa, in fact ni kada!. Lakini ni kada Mzalendo contemporary mwenye kutanguliza mbele utaifa na maslahi ya taifa ndio maana licha ya kuwa kada wa chama kingine bado anawashauri vyama vingine the right thing to do.
Hata uchakachue vipi, numbers zitagoma!.
P
 
Wanabodi,
Leo nawaendeshea somo la kitu kinachoitwa assets and liabilities, kwenye siasa.

Kwenye biashara assets ni mtaji na rasilimali na liabilities ni madeni, na hasara, biashara ikiwa nzuri, assets ni faida, biashara ikianguka, una dispose some of your assets into liabilities kuiokoa biashara isifilisike.

Kwenye siasa , the biggest and the most valuabe assets ni watu, na the biggest liabilities ni viongozi wa hovyo.

Kwenye assets na liabilities, kunatumia kanuni ya kibaya chako ni kizuri cha mwenzio kama ganda la mua la jana, wewe umelitupa kama uchafu, kwa chungu kwake ni kivuno.

Mfano mzuri wa asset na liabilities ni Edward Lowassa, japo alikuwa ni a liability kwa urais kupitia CCM, ile 2015, alikuwa ndie asset kwa urais kupitia Chadema uchaguzi wa 2015 na alishinda ila ndio vile tena!. Hoja ya Lowassa kushinda uchaguzi wa 2015 ni hii Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! na ushahidi usiotia shaka ni huu Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Sasa ni zamu ya Tundu Lissu, japo he is a very bad liability kwenye uenyekiti wa Chadema, lakini kwa the political dynamics ya siasa zetu na political landscape ya uwanja wetu tenge wa mchezo wa siasa, Tundu Lissu ndie the one and only asset Chadema has kwenye urais kuweza kuwangiza Ikulu!.

Kama 2015 Chadema ilimtumia Lowassa kama mtaji wa kuvunia kura licha ya tuhuma zake za ufisadi, Je this time around, Mwenyekiti Mbowe na Chadema, watakuwa tayari, autose uenyekiti wa Chadema, kumpisha Lissu ili kuutumia mtaji wake kuwaingiza ikulu 2025, kisha huko mbele ndio watawekana sawa, au wataamua, kuliko ku risk Chadema chini mtu hatari kama Lissu, kwenye usukukani, maana kuna kitu Lissu ni zaidi ya Magufuli!,

Magufuli japo alikuwa ni dikteta, lakini alifanya mambo makubwa, Tundu Lissu ni kama Magufuli na zaidi ya Magufuli Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Magufuli alikuwa ni mkweli na hakopeshi, Tundu Lissu pia ni mkweli na hakopeshi Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Tofauti ya Tundu Lissu na Magufuli, Magufuli alikuwa ni mkweli aliyenyooka, hapindishi pindishi, Lissu ni mkweli ila pia ni muongo muongo, ile kauli ya Rushwa Chadema kutaka kuhongwa na Abdul na Mama yake, kumbe ni uongo mtupu!, ukweli ni huu
View: https://youtu.be/K41w3m6jjT4?si=G41HEK6aNenz9eKl

Lissu is a very bad liability kwenye uongozi wa pamoja, he is not a good team player, hivyo niliwahi wauliza Chadema Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? Msikilize mwenyewe hapa
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI?si=hwz4yOgUbqsn8O47
Hizo ndio lugha GenZii wanataka kuzisikia!.

Moja ya very bad liabilities za Tundu Lissu ni mropokaji, mdomo wake hauna breki!, huu uropokaji wa Tundu Lissu ambao japo ni liability, ndio the biggest asset ya kumuingiza ikulu 2025 kama kura tegemeo ni za GenZii, wanataka waropokaji wa type ya Lissu Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Tundu Lissu sio tuu ni kama Magufuli, pia ni kama Donald Trump Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?

Tundu Lissu ni mbaguzi sana wa jinsia, Mbowe alitakaga kuwasamehe wale wadada 19, baada ya Chadema kuwatimua, Mbowe akawaita Nairobi, akawabembeleza waombe msamaha, Lissu akagoma Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Lissu atavuna sana kura za kundi kubwa la wajinga wajinga ndio walio wengi Kiukweli wazungu ni wabaguzi Sana!, Sio tuu wanawabagua wanawake, bali hata Afrika, Sijui Wanatuona Kama Manyani?

Swali ni je Chadema wataamua kuutumia huu mtaji wa Tundu Lissu na kuingia ikulu 2025 kwa Mbowe kumpisha Lissu kwenye Uenyekiti, au bora Mbowe aendelee na wao waendelee tuu kuwa wapinzani milele?.

Jibu litapatikana leo saa 5:00 asubuhi hii.

Paskali.

Umegusa mulemule mkuu 🤝
 
Rushwa ndio kipaumbele changu Cha kwanza kwa kiongozi

Utawala wa Sheria ndio kipaumbele changu Cha pili kwa kiongozi

Uchumi ndio kipaumbele changu Cha tatu kwa kiongozi

Ingawa uchumi sio lazima binafsi uwe mchumi unaweza kuwa na watu wa kukusaidia

Ila ukisimamia rushwa na sheria nchi inaenda bila shida yeyote na hizi sifa Tundu Lissu anazo !!
 
Pascal hakuna Chama cha upinzani chenye Namba za kuwaingiza ikulu. Hii ni common sense tu ya kawaida. Hakuna mwarobaini wowote au muujiza wowote kwa hali ya siasa iliyopo eti tuwe na Chama kitakacho Pata hata 30% ya kura.

Labda tuanzishe Chama kingine cha upinzani kitachojitenga na siasa tulizoziona kwa takribani miaka 10.
 
Eti Lissu atapata kula za wajinga ?? Paschal hakuna mwanasiasa Tanzania hii kwa Sasa anaeleweka kwa watu walioenda shule Kama Lissu

Lissu anachukiwa na wapigaji na janja janja misheni town

Lissu ngoja aje awanyooshe na natamani awanyooshe zaidi ya Magufuli asiue tu !!
 
Wanabodi,
Leo nawaendeshea somo la kitu kinachoitwa assets and liabilities, kwenye siasa.

Kwenye biashara assets ni mtaji na rasilimali na liabilities ni madeni, na hasara, biashara ikiwa nzuri, assets ni faida, biashara ikianguka, una dispose some of your assets into liabilities kuiokoa biashara isifilisike.

Kwenye siasa , the biggest and the most valuabe assets ni watu, na the biggest liabilities ni viongozi wa hovyo.

Kwenye assets na liabilities, kunatumia kanuni ya kibaya chako ni kizuri cha mwenzio kama ganda la mua la jana, wewe umelitupa kama uchafu, kwa chungu kwake ni kivuno.

Mfano mzuri wa asset na liabilities ni Edward Lowassa, japo alikuwa ni a liability kwa urais kupitia CCM, ile 2015, alikuwa ndie asset kwa urais kupitia Chadema uchaguzi wa 2015 na alishinda ila ndio vile tena!. Hoja ya Lowassa kushinda uchaguzi wa 2015 ni hii Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! na ushahidi usiotia shaka ni huu Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Sasa ni zamu ya Tundu Lissu, japo he is a very bad liability kwenye uenyekiti wa Chadema, lakini kwa the political dynamics ya siasa zetu na political landscape ya uwanja wetu tenge wa mchezo wa siasa, Tundu Lissu ndie the one and only asset Chadema has kwenye urais kuweza kuwangiza Ikulu!.

Kama 2015 Chadema ilimtumia Lowassa kama mtaji wa kuvunia kura licha ya tuhuma zake za ufisadi, Je this time around, Mwenyekiti Mbowe na Chadema, watakuwa tayari, autose uenyekiti wa Chadema, kumpisha Lissu ili kuutumia mtaji wake kuwaingiza ikulu 2025, kisha huko mbele ndio watawekana sawa, au wataamua, kuliko ku risk Chadema chini mtu hatari kama Lissu, kwenye usukukani, maana kuna kitu Lissu ni zaidi ya Magufuli!,

Magufuli japo alikuwa ni dikteta, lakini alifanya mambo makubwa, Tundu Lissu ni kama Magufuli na zaidi ya Magufuli Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Magufuli alikuwa ni mkweli na hakopeshi, Tundu Lissu pia ni mkweli na hakopeshi Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Tofauti ya Tundu Lissu na Magufuli, Magufuli alikuwa ni mkweli aliyenyooka, hapindishi pindishi, Lissu ni mkweli ila pia ni muongo muongo, ile kauli ya Rushwa Chadema kutaka kuhongwa na Abdul na Mama yake, kumbe ni uongo mtupu!, ukweli ni huu
View: https://youtu.be/K41w3m6jjT4?si=G41HEK6aNenz9eKl

Lissu is a very bad liability kwenye uongozi wa pamoja, he is not a good team player, hivyo niliwahi wauliza Chadema Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? Msikilize mwenyewe hapa
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI?si=hwz4yOgUbqsn8O47
Hizo ndio lugha GenZii wanataka kuzisikia!.

Moja ya very bad liabilities za Tundu Lissu ni mropokaji, mdomo wake hauna breki!, huu uropokaji wa Tundu Lissu ambao japo ni liability, ndio the biggest asset ya kumuingiza ikulu 2025 kama kura tegemeo ni za GenZii, wanataka waropokaji wa type ya Lissu Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Tundu Lissu sio tuu ni kama Magufuli, pia ni kama Donald Trump Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?

Tundu Lissu ni mbaguzi sana wa jinsia, Mbowe alitakaga kuwasamehe wale wadada 19, baada ya Chadema kuwatimua, Mbowe akawaita Nairobi, akawabembeleza waombe msamaha, Lissu akagoma Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Lissu atavuna sana kura za kundi kubwa la wajinga wajinga ndio walio wengi Kiukweli wazungu ni wabaguzi Sana!, Sio tuu wanawabagua wanawake, bali hata Afrika, Sijui Wanatuona Kama Manyani?

Swali ni je Chadema wataamua kuutumia huu mtaji wa Tundu Lissu na kuingia ikulu 2025 kwa Mbowe kumpisha Lissu kwenye Uenyekiti, au bora Mbowe aendelee na wao waendelee tuu kuwa wapinzani milele?.

Jibu litapatikana leo saa 5:00 asubuhi hii.

Paskali.

Lissu anautaka urais kuliko Uenyekiti. Na chama pekee kinachoweza kumtimizia ndoto hiyo ni Chadema. Kwa sababu hiyo, hata akikosa Uenyekiti, atagombea urais. Mbowe (kama ilivyokuwa kwa Lowassa) anajua kuwa hamna namna CCM na serikali yake wtakubali Lissu awe rais. Ila anajua ana uwezo wa kuvuna kura nyingi kuliko mtu mwingine atakayeweza kusimamishwa na Chadema ( pamoja na yeye). Kura hizo zitawasaidia kwenye suala la ruzuku. Aidha, uwepo wa Lissu kwenye tiketi utawabeba wagombea wengi wa ubunge wa CDM na angalau kuipa nafasi ya kuwa credible upinzani bungeni. Ikiwa patakuwa na uchaguzi huru na wa haki, CDM wataingia Ikulu na wakuwa majority bungeni.

Amandla...
 
Mfano mzuri wa asset na liabilities ni Edward Lowassa, japo alikuwa ni a liability kwa urais kupitia CCM, ile 2015, alikuwa ndie asset kwa urais kupitia Chadema uchaguzi wa 2015 na alishinda ila ndio vile tena!. Hoja ya Lowassa kushinda uchaguzi wa 2015 ni hii Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! na ushahidi usiotia shaka ni huu Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda
Una uhakika alishinda ?....hizi ni sarcasm
 
Wanabodi,
Leo nawaendeshea somo la kitu kinachoitwa assets and liabilities, kwenye siasa.

Kwenye biashara assets ni mtaji na rasilimali na liabilities ni madeni, na hasara, biashara ikiwa nzuri, assets ni faida, biashara ikianguka, una dispose some of your assets into liabilities kuiokoa biashara isifilisike.

Kwenye siasa , the biggest and the most valuabe assets ni watu, na the biggest liabilities ni viongozi wa hovyo.

Kwenye assets na liabilities, kunatumia kanuni ya kibaya chako ni kizuri cha mwenzio kama ganda la mua la jana, wewe umelitupa kama uchafu, kwa chungu kwake ni kivuno.

Mfano mzuri wa asset na liabilities ni Edward Lowassa, japo alikuwa ni a liability kwa urais kupitia CCM, ile 2015, alikuwa ndie asset kwa urais kupitia Chadema uchaguzi wa 2015 na alishinda ila ndio vile tena!. Hoja ya Lowassa kushinda uchaguzi wa 2015 ni hii Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! na ushahidi usiotia shaka ni huu Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Sasa ni zamu ya Tundu Lissu, japo he is a very bad liability kwenye uenyekiti wa Chadema, lakini kwa the political dynamics ya siasa zetu na political landscape ya uwanja wetu tenge wa mchezo wa siasa, Tundu Lissu ndie the one and only asset Chadema has kwenye urais kuweza kuwangiza Ikulu!.

Kama 2015 Chadema ilimtumia Lowassa kama mtaji wa kuvunia kura licha ya tuhuma zake za ufisadi, Je this time around, Mwenyekiti Mbowe na Chadema, watakuwa tayari, autose uenyekiti wa Chadema, kumpisha Lissu ili kuutumia mtaji wake kuwaingiza ikulu 2025, kisha huko mbele ndio watawekana sawa, au wataamua, kuliko ku risk Chadema chini mtu hatari kama Lissu, kwenye usukukani, maana kuna kitu Lissu ni zaidi ya Magufuli!,

Magufuli japo alikuwa ni dikteta, lakini alifanya mambo makubwa, Tundu Lissu ni kama Magufuli na zaidi ya Magufuli Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Magufuli alikuwa ni mkweli na hakopeshi, Tundu Lissu pia ni mkweli na hakopeshi Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Tofauti ya Tundu Lissu na Magufuli, Magufuli alikuwa ni mkweli aliyenyooka, hapindishi pindishi, Lissu ni mkweli ila pia ni muongo muongo, ile kauli ya Rushwa Chadema kutaka kuhongwa na Abdul na Mama yake, kumbe ni uongo mtupu!, ukweli ni huu
View: https://youtu.be/K41w3m6jjT4?si=G41HEK6aNenz9eKl

Lissu is a very bad liability kwenye uongozi wa pamoja, he is not a good team player, hivyo niliwahi wauliza Chadema Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? Msikilize mwenyewe hapa
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI?si=hwz4yOgUbqsn8O47
Hizo ndio lugha GenZii wanataka kuzisikia!.

Moja ya very bad liabilities za Tundu Lissu ni mropokaji, mdomo wake hauna breki!, huu uropokaji wa Tundu Lissu ambao japo ni liability, ndio the biggest asset ya kumuingiza ikulu 2025 kama kura tegemeo ni za GenZii, wanataka waropokaji wa type ya Lissu Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Tundu Lissu sio tuu ni kama Magufuli, pia ni kama Donald Trump Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?

Tundu Lissu ni mbaguzi sana wa jinsia, Mbowe alitakaga kuwasamehe wale wadada 19, baada ya Chadema kuwatimua, Mbowe akawaita Nairobi, akawabembeleza waombe msamaha, Lissu akagoma Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Lissu atavuna sana kura za kundi kubwa la wajinga wajinga ndio walio wengi Kiukweli wazungu ni wabaguzi Sana!, Sio tuu wanawabagua wanawake, bali hata Afrika, Sijui Wanatuona Kama Manyani?

Swali ni je Chadema wataamua kuutumia huu mtaji wa Tundu Lissu na kuingia ikulu 2025 kwa Mbowe kumpisha Lissu kwenye Uenyekiti, au bora Mbowe aendelee na wao waendelee tuu kuwa wapinzani milele?.

Jibu litapatikana leo saa 5:00 asubuhi hii.

Paskali.

gashi otena masala
 
Lissu atavuna sana kura za kundi kubwa la wajinga wajinga ndio walio wengi...
Sawa Pascal Mayalla, na mimi usisahau kuniweka kwenye hilo kundi la wajinga wajinga.
Nakukuhakikishia kwamba kwa Tundu Lissu Chadema itakuwa imepata turufu ya uhakika!
Leo ni leo, asemaye kesho ni muongo na mnafiki...sifa kuu za wasioona ingawa wana macho!
 
Mtoa mads umesema vema. Kwa maoni yangu, TL hata asiposhinda Urais atawasaidia CHADEMA kupata kura nyingi za Urais kwa ujumla wake, hivyo ruzuku zaidi kwa chama, na pia watashinda viti vingi vya Bunge na madiwani.
 
Back
Top Bottom