Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #61
Mkuu Maseke ya Meme ,kila nikikutana na jina lako,namkumbuka Bavon Marie Marie, assets na liabilities za kwenye business ndio supported by data,postulates and proofs,lakini kwenye politics ni only by sentiments。Mkuu assets na liabilities are defined by objective and concrete data (numbers),
Lissu ni liability kwa kauli zake za uropokaji。umeconclude vipi kwamba mzee Lissu ni liability kwa hizi qualitative, deducive, thoughts, feelings and emotional info ulizojaza kwa bandiko lako?
yes,unazipima kwa matokeo,Unaweza kujustify ukashawishi kwamba patterns zako za info zinaweza kuwa kweli na zinaweza kuaminika katika ulimwengu wa technorats?
hapana sio mawazo yangu,ni trends readings。 Mfano angalia tarehe ya bandiko hili la trends za JPM Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe MagufuliAu tuassume ni mawazo yako tu ya kuchangamsha mijadala jf?
angalia nilisema nini na kikatokea nini?。
P