Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

lkn unajua kwamba uropokaji ni kukosa filter? na kukosa filter iko classified kama mental illness kwa mtu mzima, mara nyingi watoto ndiyo huwa hivyo hawawezi filter cha kusema lkn mtu mzima akikosa filter ni mgonjwa wa akili labda mnachanganya hilo, sasa mtu ambaye hawezi kufilter cha kusema anawezaje hata kuwa kiongozi mkuu chama, how? kwamba mkiongea kitu behind closed doors siku mkitingishana kidogo anaropoka kila kitu halafu unasema awe raisi wa nchi? come on man …
 
Tundu Lissu ni mbaguzi sana wa jinsia, Mbowe alitakaga kuwasamehe wale wadada 19, baada ya Chadema kuwatimua, Mbowe akawaita Nairobi, akawabembeleza waombe msamaha, Lissu akagoma Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji.

Kwamba kwa Maoni na Uelewa wako Mkubwa , unaamini Msamaha ni suala la Kijinsia zaidi.

Kwamba kwako ni Rahisi Mwanamke kusamehewa regardless ya Kosa alofanya,? Adhabu inawastahili wanaume ?.


NADHANI MSALITI, HAPASWI KUSAMEHEWA KWA NAMNA YOYOTE ILE.
 
Haya ndio huitwa mahaba niue.
 
Kuhusu unachodai ni uongo wa Lissu,,,, Je habari za Wenje kukiri anawasiliana na Abdul, haitoshi kutilia mkazonwa tuhuma anazozisema LISSU?.


Kuhusu kuvaa Bullet Proof, Sio yeye alotahadharisha mapema, akapuuzwa na hatimaye Dunia ikashihudia Risasi 16 mwili Kwa LISSU ?. Kwa muktadha huo, Leo hii kapewa Taarifa kama ilivyokua mwanzo, sio haki yeye kujilinda?.

Katika Twita ya LISSU ,mwisho alikazia, kama ilivyomtokea fulan, ndivyo itakavyómtokea Fulani...... Maneno hayo ni Maneno ya MTU mwenye uhakika wa tishio alonalo na zaidi anaonya.


Kwangu Mimi Binafsi, kitendo Cha LISSU kudai yamepangwa hayaa,ili asingiziwe Mwenyekiti..... Kwanini adai FAM nasio mwingine? Je FAM anahistoria ya kuua mpinzan wake??

LISSU, NI MOJA YA WANADAM WASOONEA, WASOUMIZA WENGINE KWA MANUFAA YAO, ILA NI MBAYA SANA ENDAPO UTAMGUSA AU KUGUSA HAKI ZA WENGINE.
 
I second you, Wengi wanaompinga Lissu ni wala Rushwa, watu ambao hawajanyooka, Lissu has proved beyond reasonable doubt kwamba ni Kiongozi Muaminifu, Mwenye Msimamo na asiyependa Rushwa.. Hayo Mambo ya Busara waachieni wazee wa Mila.

Ni Mpumbavu pekee na mtu asiye na Maadili ndio atakayempinga Lissu!
 
Wahuni tu wote.


Labda waingie Ikulu ya kusadikika
 
Ubaya ubwela mkuu, siku hazigandi,kuna kesho tuweke akiba ya maneno
 
Nimependa analysis yako ipo vizuri.
 
Hakika wajinga watampa kura Lissu.
 
Eti Lissu atapata kula za wajinga ?? Paschal hakuna mwanasiasa Tanzania hii kwa Sasa anaeleweka kwa watu walioenda shule Kama Lissu
Kuna mtu aliyekwenda shule anaweza kuwa na muda wa kuandamana na kuhudhuria mikutano ya hadhara kutwa nzima?。

Umewahi kumsikia Lissu akimwaga sera yoyote?。Lissu anapendwa sana kwasababu ni very vocal。
Lissu anachukiwa na wapigaji na janja janja misheni town
Hachukiwi but ni type ya populist leader using populisim。
Lissu ngoja aje awanyooshe na natamani awanyooshe zaidi ya Magufuli asiue tu !!
Baada ya kauli ya leo ya Mbowe kutetea kiti chake, this the end of the road kwa Lissu Chadema Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je atabaki ama atatimka?. Lissu Cool Down!, usiitishe Press kumjibu Mbowe!
P
 
Mkuu siasa za kidemokrasia zinataka mass mobilisation, kwani siasa ni numbers.
Kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu,bila numbers huwezi kuchukua nchi.
Bahati mbaya numbers zimethohofishwa na akina bora mimi walio vimega au kuvidumaza au kuviua kabisa vyama au sera ya upinzani.
Ina maana Chadema ilioyokuwa kama mtoto anaekimbia sasa karudishwa nyuma hadi mtoto wa kuketi tu!Hana Wabunge,hana madiwani hana wenyekiti wa mtaa wala wajumbe wa mtaa! Kwa lugha nyepesi Chadema ni mdogo kuliko ACT Wazalendo by numbers.
Ili Chadema ifikilie kusimika President nominee,irudi kwanza kuhimiza uwepo wa fair play.Ambayo ni katiba rafiki.
Kwa lugha nyepesi yakitimia hayo ndio utakuwa mwanzo na matumaini mapya ya fair elections.
In other words inataka viongozi wavumilivu kupitia machungu hayo tena kwa muda mrefu.
Focus ya uchanguzi ngazi ya uongozi wa kitaifa kwa Chadema ilenge sio umaarufu tu ball ujenzi wa chama upya kuanzia msingi.
 
Mkuu assets na liabilities are defined by objective and concrete data (numbers), umeconclude vipi kwamba mzee Lissu ni liability kwa hizi qualitative, deducive, thoughts, feelings and emotional info ulizojaza kwa bandiko lako? Unaweza kujustify ukashawishi kwamba patterns zako za info zinaweza kuwa kweli na zinaweza kuaminika katika ulimwengu wa technorats? Au tuassume ni mawazo yako tu ya kuchangamsha mijadala jf?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…