Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Tukutane NovembaLabda ubunge wa choon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutane NovembaLabda ubunge wa choon
Unanisumbuaje?Huo ndio ugonjwa wenyewe unaokusumbua
Acha upuuzi basiSisi wananchi tulio wengi, hatutaona Rais akikwamishwa na hao vibaraka wasoitakia mema nchi yetu, maendeleo yatapaa sana sababu Rais atakuwa na full support ya wananchi.
Ok asanteKama huna ujualo ni vyema kukaa kimya. Wapinzani sasa hivi ni marufuku kutoa chochote kwenye jamii kwani inaonekana watakubalika sana kwa wananchi. Tumeona kwa macho yetu misaada na michango ya wapinzani ikizuiwa, na hata kukataliwa kwa amri toka juu. Sasa hivi ni ngumu mpinzani hasa cdm, kukubaliwa kufanya lolote la maendeleo kwenye eneo lake eti kisa itakubalika. Hizi siasa za kishenzi zimekuwa wazi sana kipindi hiki cha awamu ya tano. Inaonekana una ufahamu mdogo sana wa uhalisia, ndio maana umeandika hiki ulichoandika.
Wamepanga kufanya zaidi ya goli la mkono. Wizi wa kura zaidi ya balaa na kufuru.Wanabodi,
"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "
Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.
Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, na katika uchaguzi uliopita, wasio wa kijani waliungwa mkono na Watanzania zaidi ya milioni 6, na kuna wabunge 145 wasio wa kijani, na kwa upande wa Zanzibar na Pembe kwa mujibu wa matokeo halali ya NEC, wasio wa kijani ndio wengi kuliko kura zote za kijani!, hivyo wote hawa ni Watanzania wenye haki sawa licha ya kutofautiana rangi!. Kauli hii ndio ukweli wenyewe wa uchaguzi wa 2020!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.
Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.
Hongereni sana 'Wakijani'
Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.
Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.
Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.
Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.
Paskali
CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu ujaoWapinzani jipangeni 2025.
KabisaaaaKazi inaendelea.
p